Hili suala likemewe vikali JF na kwenye magroups

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
[emoji1318]
WAKUU,
KWENYE MA_GRUPU KUNA MAMBO YA KIBOYA SANA!!!

UNAKUTA MTU ANAKUITA MAJINA MAZURI_MAZURI MPAKA UNAONA HAPA SASA ND'O WAKATI MWAFAKA WA KUFANYA MICHAKATO YA KIBAHARIA-

UKIENDA INBOX KUTENGENEZA MUSTAKABALI,
ANAKWAMBIA YE' HAMAANISHI HIVYO,
BALI ANACHANGAMSHA GRUPU TU.

INAUMA HIYO WAKUU!!!

SHENDHI!!!
[emoji51][emoji51][emoji51]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] usikubali mzee baba mkomalie hadi mwisho, anakupetije aseme hakumaanisha
 
Soma umalize shule kijana haya mapenzi yapo tu
 
ID yako inasoma 2013 sikutegemea unaweza kua naubongo marijuana kiasi hiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akiitwa Baby anapagawa.. nilikuwa naishi karibu na hostel za TIA mbeya aisee wale wadada wakianza kukuita majina matamu utasema unagongaa keshoo kumbe[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akiitwa Baby anapagawa.. nilikuwa naishi karibu na hostel za TIA mbeya aisee wale wadada wakianza kukuita majina matamu utasema unagongaa keshoo kumbe[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Afu inaonekana huyu jamaa anatumia ID ya mtu haiwezekani mtu wa 2013 awe nauandishi wanamna hii mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu inaonekana huyu jamaa anatumia ID ya mtu haiwezekani mtu wa 2013 awe nauandishi wanamna hii mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
itakuwa ni mtoto bado[emoji23][emoji23][emoji23] Me chuo kuna demu tulikuwa tunaitana Mpenzi lakini hata kumkiss sijawahii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
itakuwa ni mtoto bado[emoji23][emoji23][emoji23] Me chuo kuna demu tulikuwa tunaitana Mpenzi lakini hata kumkiss sijawahii[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikua unaishi karibu Na transformer afu umeme wanapata wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana Mkuu, wenzio huku tumeshafaidi Sanaa mpaka sasa tunapeleka mahari ifuate ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…