Najarbu kuftalia show ya ya wasafi festival grand final..wat i see jamaa bado wana longway to go kuna matchup na fiesta mana hata arrangment yao ni ovyo plus wasanii wao wengi ni wale oldscul tuu sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist
Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.Mondi stick na Music....huku kwenye TV unapoteza muda na hela zako tuu..
Kwani unaongelea nn tv na redio ni zake au anahisa ndogo tu?!Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha
Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
Lakini wamejaza kwa wasanii wale wale wazamani,hilo ndio muhimu tena kwa shiling 10 elfu kingilio.We wasubirie wazee wa buku 5 na wasanii wao wapya.
Najua huamini unachokiona,Wasafi kujaza kwa kutumia wasanii wa zamani tena kwa shiling 10.
Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha
Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
we mwehu usiuhusishe huo mmea na mambo ya ajabuHao wasanii wote ni kundi la wavuta bangi, hakuna alieimba hapo, kama umetoa pesa yako kwenda kuangalia huo upuuzi jua wewe ni mvulana sio mwanaume mwenye majukumu.
We tambua kama unavuta bangi kichwa chko hakipo sawa kama hao wahuni wenzako waliopanda stejiniwe mwehu usiuhusishe huo mmea na mambo ya ajabu
Na wewe una hisa kiasi gani ?Kwani unaongelea nn tv na redio ni zake yule au anahisa ndogo tu
TV hii na Radio mpaka unaiona na kuisikiliza kwako yametumika Mamilioni ya dollar.mnhhh labda unafaidika na hio TV ikienda utakosa ugali wako,anyway ni ushauri tuu anaweza akauchukua au kuuacha...