Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Kwani unaongelea nn tv na redio ni zake yule au anahisa ndogo tu
Wewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.

Tv na Radio vina title yake ambayo yeye ndio founder wake (WASAFI) haijalishi ana hisa 10 au 5 we don't care.

Wewe unamiliki nini zaidi ya majungu?
 
Na wewe teja vilevile ndio maana unaangalia na kufatilia
Kenge wewe, niko nimepumzika kesho naamkia kanisani, tatizo kelele za spika zenu za huko posta zinanivurugia usingizi. Siwezi simama huku nikiangalia mwanaume akiimba hna kupiga makofi kama msukule
 
Wewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.

Tv na Radio vina title yake ambayo yeye ndio founder wake (WASAFI) haijalishi ana hisa 10 au 5 we don't care.

Wewe unamiliki nini zaidi ya majungu?
Nna miliki figo na maini na moyo acha ushabiki maandazi sote tunajua kutukana humu usifkiri mtu kukuuliza ni ndeezi au kukujibu kistaarabu ni kolo
 
Back
Top Bottom