Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
45% ni hisa ndogo?! Sema unatania!Kwani unaongelea nn tv na redio ni zake yule au anahisa ndogo tu?!
Sifuatilii maisha yake... Kwanza simu ndo nawasha sa hiviNdio maana lazima utafuatilia tu maisha yake
Mwanzo mzuri sureYaani jamaa wamejaza uwanja ila wameshindwa kuwapa wanachokitaka.
Nadhani wamejifunza next time watajipanga
Biashara kubwa ya media ni matangazo! Je, unadhani Wasafi TV na Wasafi FM hawapati matangazo ya kutosha kwa kuzingatia muda wao kwenye industry?!mnhhh labda unafaidika na hio TV ikienda utakosa ugali wako,anyway ni ushauri tuu anaweza akauchukua au kuuacha...
Sitanii mm kwa kua naskia wenye hisa wapo3 na mondi ndo mwenye hissa ndogo zaidi akifautiwa na kusaga zaidi ya hapo sijui kwakua si mfatiliaji wa bongo fleva45% ni hisa ndogo?! Sema unatania!
[emoji23] media inawasemaji ile kila kona, sawa bwana Assad mussa Assad was wasafi mediaMasikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha
Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
Hujui kitu kichwa cheupe hicho km mvi za lowassa.ngoja upewe darasa hapa hapa.
Mke wa Kusaga (na sio Kusaga) ana 53%! Watu wanamchukulia poa yule Mngazija kwa sababu hawaifahamu familia yake... in short, mke wa Joe kwao wana pesa!! So, zile 53 zinaweza kuwa kweli ni za Kusaga au hata mke wake Kusaga (ndie aliye kwenye mafaili) kwa sababu na yeye pesa ipo!!Sitanii mm kwa kua naskia wenye hisa wapo3 na mondi ndo mwenye hissa ndogo zaidi akifautiwa na kusaga zaidi ya hapo sijui kwakua si mfatiliaji wa bongo fleva
Sitanii mm kwa kua naskia wenye hisa wapo3 na mondi ndo mwenye hissa ndogo zaidi akifautiwa na kusaga zaidi ya hapo sijui kwakua si mfatiliaji wa bongo fleva
Umemaliza kumbe?, kama bdo endelea kuandikaNasikia,japo sijui kwakua si mfatiliaji wa bongo flava..
Unajua ulicho kiandika..izi pumba mna tumiaga nini kuandika ..kama ujui kaa kimya sio kuandika vitu usivyo jua
OkywMke wa Kusaga (na sio Kusaga) ana 53%! Watu wanamchukulia poa yule Mngazija kwa sababu hawaifahamu familia yake... in short, mke wa Joe kwao wana pesa!! So, zile 53 zinaweza kuwa kweli ni za Kusaga au hata mke wake Kusaga (ndie aliye kwenye mafaili) kwa sababu na yeye pesa ipo!!
Mwenye hisa chache ni mzee mmoja wa Kizanzibari, yeye ana 2%!! Huyu mzee I think ana uhusiano fulani na mke wa Kusaga manake kwenye issues nyingi za mke wa Kusaga, yule babu yupo!!
Diamond anazo 45%.