Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Show haijaisha but naipa 6 over 10 hiii show kwasababu ya time management aikupangiliwa vizur ...mbosso ajaperform kabisa kwa muda mrefu Imekuwa kama vile kakurupushwa but kwavile ni mwanzo bado nawapa hongera ....kitu nilichopendaa ni performance ya nyimbo ya baila aiseeeee nimefurahiaaa zaidi uimbaji wa live wa diamond nimeamini jamaa ni entertainer mzuri sana.... Hongereni wasafi mwanzo mgumu but you made it somehow....#WCbforlife[emoji41]
 
Huyo jamaa ni mbinafsi, ndio maana wale wasanii wawili waliondoka haiwezekani msanii mkubwa kama Harmonize apande stejini halafu aimbe dakika mbili...
Kiba ana akili sana, kwa hiyo alitaka ampandishe hapo jukwaani halafu dakika 3 wamwambie muda umeisha, na si bure DJ angeweka muziki kwa mikwaruzo mikwaruzo mwanzo mwisho. Sasa hapo hajammaliza kisanii hata kama angempa milioni 10, huyu mtu janja janja nyingi sana.
 
Kiba ana akili sana kwa hiyo alitaka ampandishe hapo jukwaani halafu dakika 3 wamwambie muda umeisha na si bure dj angeweka mziki kwa mikwaruzo mikwaruzo mwanzo mwisho, sasa hapo hajammaliza kisanii hata kama angempa milioni 10, huyu mtu Janja Janja nyingi sana

[emoji3][emoji468][emoji932] Jamaa ana roho mbaya mnoo, hawapi nafasi wale vijana wake kawaweka kwapani. Mi nikajua basi Wasafi wote watapiga ngoma zao mwanzo mwisho kumbe yeye tu. Mmakonde ana haki zote za kukimbia.
 
Hivi wasanii wa kike Bongo Kwanini Wanatuabisha Uvaaji wao Kwenye Show kubwa kama Hizi? Nani Kasema Maviatu yenye visigino virefuuuu ndio kwaaajiri ya show? na Manguo Ya kubana?

Wajifunze kwa TIWASAVAGEEE kavaaaa simpleee na amekiwashaaa ile mbayaaa
 
Namkubali mondi

Sababu ametoa ajira nyingi kwa vijana... Ila sio sababu ya nyimbo zake

The guy is really hustler... I love his moves

That is how all youths needs to fight !
You have killed it all..Wabongo bhana wamejaa chuki mnoo,badala ya kujifunza vitu positive wao hawana haja navyo kutwa kucha kujadili negatives za mtu aliefanikiwa as if zitawapeleka popote..Kumchukia mtu aliekuzidi hakukufanyi uwe sawa nae bali kunalemaza ubongo wako kutofikiri nje ya box uweze kusonga mbele..wabongo tungekuwa na mindset kama hizi zako tungekuwa mbali..








Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
 
Kukaaa jukwaan zaid ya dk 20 n kipaji, Tz anacho mond pekeake.... uliza uambiwe
Sio kweli km hujui ni kwamba msanii anapenda apate muda mwingi hizi dakika tatu tatu minong'ono ilishaanza hata kabla ya hii festival ila ndio hivyo madogo wanaogopa kusema!
 
Alaf wakitoka anawatoza mil 500
Sio kweli km hujui ni kwamba msanii anapenda apate muda mwingi hizi dakika tatu tatu minong'ono ilishaanza hata kabla ya hii festival ila ndio hivyo madogo wanaogopa kusema!
 
Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha

Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
Rebeca mshamba tuu kama mashamba mengine
 
Kiukweli bado sana. They have a long long way to get there.
Mpangilio, dj and everything was bullshit na pasipo kuwa na hao wasanii wa naija na yeye mwenyewe Diamond sidhani kama watu wangeamasika kwenda.
Sina chuki am just speaking my mind,
Sitaki kuona team wasafi wananishambulia hapa.
 
Back
Top Bottom