Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hata mbuyu ulianza kama mchicha ,ndio kwanza wameeanza na impact imekuwa kubwa kupita kawaida wamejifunza watarekebisha,hamna mtu aliyeanza kitu na kufanya vizuri siku hiyo hiyo HAMNA na ndio maana kuna shule na Training.
Impact kubwa ila watashindwa kuimantain mwishowa siku hao walioenda jana watakua ambassadors wa mwakan ss hao ambassadors wamewaachia nn kichwan mwishowe unakuta miaka inavozidi kwenda impact inapungua nawashauri washughurikie madhaifu waloona this time wasije wakabuma mbeleen huko
 
Sasa mtu ana views wengi unashangaa kuuza ticket nyingi?
Unasema wameuza ticket sababu ya brand,sasa una kataa nini na una kubali nini kwani ili brand iwe kubwa lazima iwe na mashabiki wengi ambao wanao sababisha views kuwa nyingi,unarudi pale pale Man Utd timu ambayo ina brand kubwa na thamani yake kubwa sababu ina mashabiki wengi SIMPLE.
Nakubali kuwa ticket zimeuzika ila kilicho fanyika mle ndan hamna kitu...yaan wamefanya vitu ambavyo kwa jinsi BRAND yao ilivyo n.a. zile advertisement haviendan kabisaa
 
Impact kubwa ila watashindwa kuimantain mwishowa siku hao walioenda jana watakua ambassadors wa mwakan ss hao ambassadors wamewaachia nn kichwan mwishowe unakuta miaka inavozidi kwenda impact inapungua nawashauri washughurikie madhaifu waloona this time wasije wakabuma mbeleen huko
Wewe sio Mungu mpaka utabiri kesho ya mtu,najua unaumua Wasafi kujaza mpaka unajitia unabii.
Ili hao ndio wameeanza na kama wakijutuma na kufanya kazi kwa bidii,mwendo utakuwa ni ule ule.
 
Nakubali kuwa ticket zimeuzika ila kilicho fanyika mle ndan hamna kitu...yaan wamefanya vitu ambavyo kwa jinsi BRAND yao ilivyo n.a. zile advertisement haviendan kabisaa
Sikatai kila mtu ana uhuru wa kujieleza,hayo ni maoni yako binafsi,usiwasemee wenzio,lkn kwangu nawapa 8/10 .Husicho kipenda ww usizani kila mtu hakipendi.
 
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa

Hakika macho yangu bado haya aminin kile nilichokiona pale viwanja vya posta

Hakika watu walijaa ile mbaya

Dunia nzima imeona umati ule

Nimeshangaa sana kwakweli

Kumbe watu pesa bado wanazo!

Kama una roho mbaya utateseka sana dunia hii ya leo ni bora tu uwe na moyo safi kama dada yangu Numbisa


LONDON BOY
Tusio na Penseli tunacomment wapi?
 
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa

Hakika macho yangu bado haya aminin kile nilichokiona pale viwanja vya posta

Hakika watu walijaa ile mbaya

Dunia nzima imeona umati ule

Nimeshangaa sana kwakweli

Kumbe watu pesa bado wanazo!

Kama una roho mbaya utateseka sana dunia hii ya leo ni bora tu uwe na moyo safi kama dada yangu Numbisa


LONDON BOY
Kwa kweli jana ndo nimeamini Daslama ina watu wengi,can u imagine ile umati haifiki hata robo ha wakazi hili jiji,yani kwamba kuna watu wengi zaidi walibaki nyumbani wakifatilia live lile show la kiume tangu kuumbwa kwa Tanzania.
 
Najarbu kufuatilia show ya Wasafi Festival grand finale, wat I see jamaa bado wana long way to go, kuna matchup na Fiesta maana hata arrangement yao ni hovyo plus wasanii wao wengi ni wale Old School tu, sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist!
Acha umama wewe unaongea pumba gani slogan ya wasafi HII NI YETU SOTE haibagui wala kuchangua msanii au wasaniii na nimependa kilichofanywa na kuwapa heshma ma legendary walio fanya vizuri kipindi hicho nao wasisahaulike hiyo ni heshma kubwa kwao huenda ikawaweka mahala pazuri baada festival kuisha hao wasanii wapya tunawaona kila siku hivyo wasafi walikuwa sahihi kufanya tamasha na wasanii wakongwe ili na sie was miaka ya 80 tukumbuke tulipotoka
 
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa

Hakika macho yangu bado haya aminin kile nilichokiona pale viwanja vya posta

Hakika watu walijaa ile mbaya

Dunia nzima imeona umati ule

Nimeshangaa sana kwakweli

Kumbe watu pesa bado wanazo!

Kama una roho mbaya utateseka sana dunia hii ya leo ni bora tu uwe na moyo safi kama dada yangu Numbisa


LONDON BOY
Sikukuu ya kitaifa ilikuwa jana , zitakazo kuja tena ujue ni zakundi maalum
 
Back
Top Bottom