Vicky Cruz
Member
- Nov 11, 2017
- 85
- 214
Impact kubwa ila watashindwa kuimantain mwishowa siku hao walioenda jana watakua ambassadors wa mwakan ss hao ambassadors wamewaachia nn kichwan mwishowe unakuta miaka inavozidi kwenda impact inapungua nawashauri washughurikie madhaifu waloona this time wasije wakabuma mbeleen hukoHata mbuyu ulianza kama mchicha ,ndio kwanza wameeanza na impact imekuwa kubwa kupita kawaida wamejifunza watarekebisha,hamna mtu aliyeanza kitu na kufanya vizuri siku hiyo hiyo HAMNA na ndio maana kuna shule na Training.