Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Kiukweli bado sana. They have a long long way to get there.
Mpangilio, dj and everything was bullshit na pasipo kuwa na hao wasanii wa naija na yeye mwenyewe Diamond sidhani kama watu wangeamasika kwenda.
Sina chuki am just speaking my mind,
Sitaki kuona team wasafi wananishambulia hapa.
Ungejadiliana na mumeo huko ghetto kwenu ulilileta hapa kufanyaje ngoja waje kukupa dawa
 
Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huk
o upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.

Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za
Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na

ZUKU hahahaha













Azam hawapo acha unafiki



Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
 
Kiukweli bado sana. They have a long long way to get there.
Mpangilio, dj and everything was bullshit na pasipo kuwa na hao wasanii wa naija na yeye mwenyewe Diamond sidhani kama watu wangeamasika kwenda.
Sina chuki am just speaking my mind,
Sitaki kuona team wasafi wananishambulia hapa.
Kushambuliwa ni lazima...
Unatakiwa kusifia au kukaa kimya..!
😂 😂😂
 
Baadhi ya wasanii hawajafanya mazoezi na wengi wao wametumia playback nimeona prof Jay anakoroma sijui pumzi ilimuishia otherwise wamejaza nilichoona
 
Amani iwe nanyi wakuu wa jukwaa

Hakika macho yangu bado haya aminini kile nilichokiona pale viwanja vya posta

Hakika watu walijaa ile mbaya

Dunia nzima imeona umati ule

Nimeshangaa sana kwakweli

Kumbe watu pesa bado wanazo!

Kama una roho mbaya utateseka sana dunia hii ya leo ni bora tu uwe na moyo safi kama dada yangu Numbisa


LONDON BOY
 
Lengo la Diamond NI kujaribu pia kurudisha hadhi ya mziki wa zamani na pia kuwashika mkono wasanii ambao walikwisha sahaulika
Najarbu kufuatilia show ya Wasafi Festival grand finale, wat I see jamaa bado wana long way to go, kuna matchup na Fiesta maana hata arrangement yao ni hovyo plus wasanii wao wengi ni wale Old School tu, sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist!
 
TV hii na Radio mpaka unaiona na kuisikiliza
kwako yametumika Mamilioni ya dollar.

Watangazaji wakubwa hao unaowaona
wameletwa kwa mamilioni ya Tanzania
shillings hawajashushwa.



































Kuna technicians, TX operators, sound

engineers akiwemo Tudd Thomas.
Imelipwa pesa nyingi hadi DSTV kuirusha
Wasafi tv Africa nzima hakuna TV ya
Tanzania inayoonekana Africa nzima zaidi
yake.



Sponsors wanazidi kuongezeka na ndio
wanaofanyaga media ziendelee.

Alafu nakukumbusha tu Wasafi tv na FM bado
hata hazijakamilisha safu za vipindi vyake stay tune kwa habari za kushangaza

Wewe ndugu acha kulopoka unaonekana huna hata hicho kisimbuzi cha dstv eti hakuna tv ya tanzania inaooneshwa dstv???! Ipo clouds plus,tbc,tv e, halafu azam haipo hiyo wasafi tv acha ushabiki maandazi halafu hizo tv sio za diamond ni za joe mwenye clouds,diamond ni kipele tu mpiga debe nenda zako na ushabiki wako maandazi
 
Bila Wizkid kuja ingekuwa ndoto, mshukuruni Starboy.
Sio ndoto bali ni mipango mizuri chini ya Wasafi na hata mikoani wamejaza viwanja kwa sh elfu 10 na hakukuwa msanii wa nje.

Najua unaumia ila hao jamaa zako wamepoteza nguvu ya ushawishi kutoka elfu 10 mpaka elfu 5 ,kutoka mikoa zaidi ya 15 mpaka 7.

Zamani walikuwa mabingwa wakupiga picha ktk 90 angle wenyewe Wanziita za utosi,ila siku hizi wanapiga picha ktk matamasha yao ktk angle less than 90 kuficha aibu yao ,wanazani hatufahamu.
 
Wewe ndugu acha kulopoka unaonekana huna hata hicho kisimbuzi cha dstv eti hakuna tv ya tanzania inaooneshwa dstv???! Ipo clouds plus,tbc,tv e, halafu azam haipo hiyo wasafi tv acha ushabiki maandazi halafu hizo tv sio za diamond ni za joe mwenye clouds,diamond ni kipele tu mpiga debe nenda zako na ushabiki wako maandazi
Na wew nenda kapige debe
 
Masikiniiii angalia viewers wa YouTube huko upagawe.
Hapo hatujagusa Wasafi tv na Fm.
Leo wanakusanya zaidi ya 500 million PPV za Azam sijui nisemeje.
Visimbuzi vingine kama DSTV, STARTIMES na ZUKU hahahaha

Ukishaona jiulize anayestahili kuacha hii biashara ni Channel 10, Star tv, Clouds tv na +, TV E, TBC au Wasafi TV kisha unipe jibu
Kwahyo akiwa n.a. viewers wengi ndo nin watu wengi wamenunua ticket kwasab ya BRAND lakini kiukwel kilicho fanyika sijaona yan bado wanahitaj experience zaid yan bado sijaona balaa zito jana halikuepo
 
Wewe ndugu acha kulopoka unaonekana huna hata hicho kisimbuzi cha dstv eti hakuna tv ya tanzania inaooneshwa dstv???! Ipo clouds plus,tbc,tv e, halafu azam haipo hiyo wasafi tv acha ushabiki maandazi halafu hizo tv sio za diamond ni za joe mwenye clouds,diamond ni kipele tu mpiga debe nenda zako na ushabiki wako maandazi
Azam Wasafi,ila mpaka ulipie elfu 1 independent ili uweze kuiona.
 
Lakini wamejaza kwa wasanii wale wale wazamani, hilo ndio muhimu tena kwa shiling 10 elfu kingilio.We wasubirie wazee wa buku 5 na wasanii wao wapya.

Najua huamini unachokiona,Wasafi kujaza kwa kutumia wasanii wa zamani tena kwa shilingi 10.
Wasafi wamejaza uwanjan kwasabu tu ya ule ukubwa wa BRAND ila tukiweka ushabiki pemben tusimame kweny ukwel kabisaa wasafi bado sana kweny matamasha
 
Wasafi wameanza uwanjan kwasabu tu ya ule ukubwa wa BRAND ila tukiweka ushabiki pemben tusimame kweny ukwel kabisaa wasafi bado sana kweny matamasha
Hata mbuyu ulianza kama mchicha ,ndio kwanza wameeanza na impact imekuwa kubwa kupita kawaida wamejifunza watarekebisha,hamna mtu aliyeanza kitu na kufanya vizuri siku hiyo hiyo HAMNA na ndio maana kuna shule na Training.
 
Kwahyo akiwa n.a. viewers wengi ndo nin watu wengi wamenunua ticket kwasab ya BRAND lakini kiukwel kilicho fanyika sijaona yan bado wanahitaj experience zaid yan bado sijaona balaa zito jana halikuepo
Sasa mtu ana views wengi unashangaa kuuza ticket nyingi?
Unasema wameuza ticket sababu ya brand,sasa una kataa nini na una kubali nini kwani ili brand iwe kubwa lazima iwe na mashabiki wengi ambao wanao sababisha views kuwa nyingi,unarudi pale pale Man Utd timu ambayo ina brand kubwa na thamani yake kubwa sababu ina mashabiki wengi SIMPLE.
 
Back
Top Bottom