Wapo wengiMkuu kwani kuna tatizo taasisi kutoa pendekezo la mfanyakazi wanaeona anawafaa ?
Hivi unaweza kwenda Segerea seminary au Ndanda seminary ukakuta mwalimu ni muisilamu pyua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengiMkuu kwani kuna tatizo taasisi kutoa pendekezo la mfanyakazi wanaeona anawafaa ?
Hivi unaweza kwenda Segerea seminary au Ndanda seminary ukakuta mwalimu ni muisilamu pyua?
Ngoja tubalance mzani:Sifa:
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
Hapo hawajaandika ni sifa za ziada Wewe ndo unasema sifa za ziadaNgoja tubalance mzani:
- Hizi huitwa sifa za ziada, Wamezingatia hizo sifa za ziada kuingana na Taasisis husika, Mfano zipo shule za Makanisa (mfano Wasabato) nao huweka wazi sifa za zaida, kwamba muajiriwa awe wa mlengo huo, Msabato.
"Ila ni vyema kuweka mawazo Chanya kwa swala ambalo kidogo unaona / tunaona kuna dosari/walakini , na kushika hamsini zako/zetu, huu ndio uungwa." - Nukuu toka kwa Mhenga mmoja.Hapo hawajaandika ni sifa za ziada Wewe ndo unasema sifa za ziada
Hapa kwenye mshahara kutokuwa na mbamba, ni pa kujiuliza sana hukawii ombewa dua wakati pesa yako yasekwaIvi seminary na saints uwa zinaajiri kwa vigezo kama ivyo?
Shule ya kiislamu inatafuta walimu wa masomo yafuatayo:
1. Advanced Maths & Physics (1 teacher)
2. English & Kiswahili (1 teacher).
Sifa:
Mshahara mnono hawana mbamba kwenye malipo.
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
- Amehitimu chuo kikuu kwa fani yoyote na awe amepitia Advanced level kwa masomo husika.
Tuma VYETI na CV: 0693900148.
Ivi ni sahihi kuita shule ya kiislamu SEMINARY?Nimewauliza Aya ndo majibu Yao hapo chini.
Watu tunatakiwa kuongeza upana wa kufikiri kwenye hili swala la shule za dini
1. Kuna shule za dini (general)
2. Kuna shule za dini (seminary)
Ukiona wanaweka kigezo cha dini fahamu tu kuwa mfumo wa taasisi hiyo ni seminary hivyo ukiajiriwa utapangiwa kuendesha au kusimamia wanafunzi kwenye ibada kama vile misa-kanisani, ibada ya kusoma Quran-msikitini.ka
Ila awe muislamu, ndo niliposhangaa ,ivi izi saints uwa walimu WA dini tofauti na wakristo hawaruhusiwi?
Hawajakosea japo kuna dalili za utapeli, cv zinatumwa kwa whatsapp?Ivi seminary na saints uwa zinaajiri kwa vigezo kama ivyo?
Shule ya kiislamu inatafuta walimu wa masomo yafuatayo:
1. Advanced Maths & Physics (1 teacher)
2. English & Kiswahili (1 teacher).
Sifa:
Mshahara mnono hawana mbamba kwenye malipo.
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
- Amehitimu chuo kikuu kwa fani yoyote na awe amepitia Advanced level kwa masomo husika.
Tuma VYETI na CV: 0693900148.
Takbiiiir......Bila shaka watampata ndugu yao katika imaan. InshaAllah.
Ilimradi awe mwislamu... 😁😁 Yaani kigezo kikubwa ni hicho nduguMtu aliyesoma fani yoyote anaruhusiwa kufundisha ?
Na awe amesomea fani yeyote... Walivyimaanidha hata kama aliyesomea uchumi chuo kikuu ila kama advace alisoma mathematics anakuwa eligible kuajiriwa... NonsenseNgoja tubalance mzani:
- Hizi huitwa sifa za ziada, Wamezingatia hizo sifa za ziada kuingana na Taasisis husika, Mfano zipo shule za Makanisa (mfano Wasabato) nao huweka wazi sifa za zaida, kwamba muajiriwa awe wa mlengo huo, Msabato.
Mazjngiri ya Kaz yemekuwa magumu mm nimeonelea nikae pembeni " waziri sumai MohamedMe naona haina shida
Maana anaweza ajirijiwa mtu hawezi masuala ya kiislam na kazi akaiona ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatka kuwa tapeli watu kwenye Uzi huuUnaweza kuingiza $100+. Kuna website unaweza kufanya task mbalimbli na ukalipwa hapo hapo,
Jana nimejaribu kutest nimelipwa $2, haikuchukua dakika nyingi sana.
Ukiwa serious unaweza kumake parefu
![]()
Toloka: earn money online with zero investment
Toloka lets you earn money in your free time by completing tasks from your computer or smartphone. As long as you can connect to the internet, you can perform tasks from anywhere. Withdraw your earnings through a payment systemwe.toloka.ai
walah wakbar. [emoji23]Takbiiiir......
Ni bora hivi , kuliko kuficha ficha kumbe wana wa aina flani wanamtakaIvi seminary na saints uwa zinaajiri kwa vigezo kama ivyo?
Shule ya kiislamu inatafuta walimu wa masomo yafuatayo:
1. Advanced Maths & Physics (1 teacher)
2. English & Kiswahili (1 teacher).
Sifa:
Mshahara mnono hawana mbamba kwenye malipo.
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
- Amehitimu chuo kikuu kwa fani yoyote na awe amepitia Advanced level kwa masomo husika.
Tuma VYETI na CV: 0693900148.
Wewe sio ndugu yetu katika imani.walah wakbar. [emoji23]
Sasa shule ya kiislamu kuweka kigezo cha dini kuna makosa hapo?Ivi seminary na saints uwa zinaajiri kwa vigezo kama ivyo?
Shule ya kiislamu inatafuta walimu wa masomo yafuatayo:
1. Advanced Maths & Physics (1 teacher)
2. English & Kiswahili (1 teacher).
Sifa:
Mshahara mnono hawana mbamba kwenye malipo.
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
- Amehitimu chuo kikuu kwa fani yoyote na awe amepitia Advanced level kwa masomo husika.
Tuma VYETI na CV: 0693900148.
Mbambamba imehqribu tangazo zimaIvi seminary na saints uwa zinaajiri kwa vigezo kama ivyo?
Shule ya kiislamu inatafuta walimu wa masomo yafuatayo:
1. Advanced Maths & Physics (1 teacher)
2. English & Kiswahili (1 teacher).
Sifa:
Mshahara mnono hawana mbamba kwenye malipo.
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
- Amehitimu chuo kikuu kwa fani yoyote na awe amepitia Advanced level kwa masomo husika.
Tuma VYETI na CV: 0693900148.