Ivi seminary na saints uwa zinaajiri kwa vigezo kama ivyo?
Shule ya kiislamu inatafuta walimu wa masomo yafuatayo:
1. Advanced Maths & Physics (1 teacher)
2. English & Kiswahili (1 teacher).
Sifa:
- Muislamu
- Jinsia ya kiume
- Amehitimu chuo kikuu kwa fani yoyote na awe amepitia Advanced level kwa masomo husika.
Mshahara mnono hawana mbamba kwenye malipo.
Tuma VYETI na CV: 0693900148.