Hili tangazo la ajira lipo sahihi kweli au mimi ndio sielewi?

Wana wa mnyaaazi mungu! Kigezo kuvaa makubazi!
 
Hapa kwenye mshahara kutokuwa na mbamba, ni pa kujiuliza sana hukawii ombewa dua wakati pesa yako yasekwa
Hapo ukidai mshahara unarukiwa au kipigwa carateπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…