Hili tatizo la mtandao wa tigo kusumbua ikifika saa mbili usiku ni mimi au ?

Hili tatizo la mtandao wa tigo kusumbua ikifika saa mbili usiku ni mimi au ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Nimejaribu kuhamia mtandao huu kwa wiki ya pili sasa lakini sina hamu nao, yaani ikifika mida ya saa mbili usiku spidi ya internet inashuka sana kiasi kwamba hata kucheki video ni kwa kusua sua, mida hii ndio huwa napenda kutumia net lakini kwa hali nayokutana nayo ni mateso tu, si enjoy hata kidogo kutumia mtandao.....



mitandao mingine kama halotel na voda nimeitumia haina hili tatizo
 
Kuna kipnd nao halotel walikuwa wana lower internet ikifika tu ss nne..ila.kwa ss sion tena hilo tatzo
 
Back
Top Bottom