Hili tukio la Simba na chui lingetendeka Kenya tungelichangamkia, lakini Watz wapo wapo tu

Wajaluo wapo tz,wengi tu!Sa sijui point yako nini?Kawaulize kama ni kweli,mi sijui.Ulipost kiswahili kwenye ukurasa wa rooney ndo iweje ulitaka ajue una bundles,mb kibao?Vitu vingine unatumia tu 'common sense'.
Nilitaka Atambue kuwa Kiswahili ni Lugha namba Mbili Africa baada ya Kiarabu.
We invented it, now we are spreading it kama vile Ukimwi.
What do u say?
 
"mama wa kambo"
Watanzania wapo bize wana angalia shilawadu
 
Fursa nzuri sana hii kwa ss wakenya kujitangaza mitandaoni, acha nikalianzishe kule fb na insta!
Ukifanya hivo usieke jina Kenya popote pale.Taja tz,mali ni yao utakuwa umefanya jambo linaloashiria ujirani mwema!
 
Nilitaka Atambue kuwa Kiswahili ni Lugha namba Mbili Africa baada ya Kiarabu.
We invented it, now we are spreading it kama vile Ukimwi.
What do u say?
Mimi nakienzi kiswahili kwa hivyo sina ubishi.Lakini kuongelesha mzungu au hata mchina kiswahili wakati unajaua vizuri haelewi,huo ni uboya!Afu unapata hata si kwenye mkutano ambapo kuna wakalimani!Kupenda kiswahili haimaanishi usijifunze lugha zingine iwe kiitaliano,Mandarin au hata kiingereza chenyewe!
 
Watz wanamuogopa mzungu kupindukia aisee.Simtangaze basi kwa wachina,wakorea au hata India?Biashara ndo ivo bana!Pesa si ni pesa wakija hata watalii wakinigeria kuona tukio hilo,shida iko wapi?Wah,wabongo bana mlichokosa ni nini?Ubongo au?
Hujui tu wewe mzungu aogopwe ana nn? tumezuia kusafirisha mchanga wametufanya nn halafu mbona hii kitu wameitangaza sana wazungu wenyewe halaf ukiangalia Tz kuna vivutio vingi kibaya cha jitembeza kizuri cha jiuza nyie tangazeni vivutio vyenu sisi vyakwetu vitajiuza na endeleeni kusema kilimanjaro ni yenu mtajibeba
 
Huyo ni poyoyo ndio mana nimempotezea laiti angeona wazungu wanavyoipromote Tanzania kwenye social networks kwa hashtags wala hasingeamini, juzi Tanzania Tourism Board wame confirm number one leading advertising mean ni social media na wageni wengi many of their primary sources kuhusu Tanzania attraction zinatoka kwenye mitandaoni
 
Wageni walikuja kukuletea mashtaka hawapati Huduma sababu ya language barrier??? Ndio mana nyie ni manyang'au uwezo wenu wa kufikiri haujai hata kwenye kisoda
 
Fursa nzuri sana hii kwa ss wakenya kujitangaza mitandaoni, acha nikalianzishe kule fb na insta!

Fanya hima bro, hizi hela tunazipiga fasta, wanakuja kupitia kwetu haafu tunawavusha border baada ya kuwatafuna.....kekekeke
 
πŸ˜• πŸ˜• πŸ˜• Ni ukweli mchungu... penye ukweli huwa sina ubishi wa kijinga...
 
What is Kenya?

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Fursa nzuri sana hii kwa ss wakenya kujitangaza mitandaoni, acha nikalianzishe kule fb na insta!

Na usisahau kuwaambia watumie Kenya Airways kuja Kenya kwanza ndio wavukishwe kufika huko, sawa?
 
πŸ˜• πŸ˜• πŸ˜• Ni ukweli mchungu... penye ukweli huwa sina ubishi wa kijinga...
Ni ukweli tu kama haufatilii ila kiukweli Tanzania tunaongoza kuitangaza Tanzania mitandaoni wewe mwisho wako ni hapa JF so shut up.

Hii ni statistics ndogo kati ya Tanzanian na Kenya kwenye only one social media
 
Unababakia sana Wazungu mpaka unachanganyikiwa, sasa ngoja Mwezi ujao wanamuingiza Raila kwa nguvu ndo mtawajua kwamba Muzungu siyo Babako!

Sibabaikii mzungu lakini ikuingie kwamba huyo mzungu ndiye mtalii. Wewe hapo lini unaweza kutoka kwenu Kolominje usafiri hadi Ngorongoro kwenda kumuona simba akimnyonyesha swara.
 
Kama unadhani hakuna jitihada za kutangaza jambo hilo basi sawa!

Tutaanzia walipoishia BBC news & Swahili, kisha tutaendelea!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…