Hili tukio la Simba na chui lingetendeka Kenya tungelichangamkia, lakini Watz wapo wapo tu

Sibabaikii mzungu lakini ikuingie kwamba huyo mzungu ndiye mtalii. Wewe hapo lini unaweza kutoka kwenu Kolominje usafiri hadi Ngorongoro kwenda kumuona simba akimnyonyesha swara.
Mimi nimekua kwa namna moja nikiwa kwenye hii sector ya utalii bila ushabiki muamko wa kutembelea hifadhi za taifa kwa watanzania upo vizuri, tunauiita utalii wa ndani, ni mkubwa na unaridhisha as the matter of fact Soronera campsite pekee iliopo Serengeti inapokea Wanafunzi elfu 20 in each end of their academic terms annually. Sasa kuna zaidi ya
15 National Parks in Tanzania
 
Yaani wakenya akili zenu sijui ziko wapi.? Mlishasema mt kilimanjaro wenu. Mkaja mkasema olduvai gorge ipo Kenya. N.K yan hata hapo umeandika lakini kwa mtindo wa kuponda. Nataka nikuulize hiyo habari umeitoa wapi kama siyo kwenye mitandao ambayo nayo ni sehemu ya kupromote.
Ipo wizara husika ambayo inatimiza majukumu yake zipo taasisi kwa shughuli hiyo. Msipende kukurupuka shughulikieni vya kwenu kwanza.

Ushauri. Acheni kukurupuka mpambane na hali yenu[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Nokia Jeneza
 
Nyie mnaochangamkia mbona mnaambulia patupu? IAAF imedorora ?

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Sikuhizi mnakuja na habari nyepesi zisizokuwa na mashiko
 
Uko sahihi kiongozi ss watz hatujui kuchangamkia fursa. Ila kwa Habari za Udaku no 1.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wageni walikuja kukuletea mashtaka hawapati Huduma sababu ya language barrier??? Ndio mana nyie ni manyang'au uwezo wenu wa kufikiri haujai hata kwenye kisoda
Hii sasa ni nini hata hueleweki aisee.Kujadili hoja simpo kama hii ni shiida pia.Siko kwenye biashara ya kujaza tu uzi kama wewe aisee!Lekaa!
 
We unaleta uswahili kwenye biashara eti kizuri chajitembeza?Hii sasa ndo lugha ya mvivu na mtu asiye na matumaini kabisaa maishani.Nani huyo aliyesema biashara ni matangazo?Kamtafte akufafanulie kwa mapana alichokusudia!?Maandaas!
 
Tumalizane na upinzani kwanza ndio tutageukia wanyama

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hata nyie. mnaweza kutusaidia kupigia debe mbona mlima Kilimanjaro mmeweza MK254
 
Tourism receipt 2016: Kenya = US$900m na Tanzania = US$2.3b. Huoni hata aibu kuzungumzia masuala ya utalii na Tanzania? Kwa ujinga wenu hata Uganda wanawaacha mbali kwa mapato ya utalii.
 
The most luxurious train in the world "ROVOS RAIL" has arrived today with 75 tourists in Dar es Salaam 's TAZARA

Post sent using JamiiForums mobile app
 
We unaleta uswahili kwenye biashara eti kizuri chajitembeza?Hii sasa ndo lugha ya mvivu na mtu asiye na matumaini kabisaa maishani.Nani huyo aliyesema biashara ni matangazo?Kamtafte akufafanulie kwa mapana alichokusudia!?Maandaas!
tatizo mna wivu wa kike nyie wakenya naona hata wewe ni poyoyo kama tusingekuwa tunapromote tourism recently data zinaonesha tumepata wageni maarufu the issue is mwandishi wa hii habari mwenyewe hajaandika kwa mema so asitegemee atajibiwa mema mjinga mjibu kulingana na ujinga wake that all. Tangu lini wakenya mkatutakia mema? BBC swahili hata hii habari imekuwa promoted magazeti ya TZ mengi yameongelea hii issue kwenye mitandao imeandikwa sana sasa mjinga mmoja kutoka kenya mwenye wivu wake dhidi ya maendeleo ya Tz anatoka huko ameshiba zake mbege anaandika issue zisizokuwa na kichwa wala miguu
 
Heee!na nyie mmezidi.kila kitu fursa.sasa unafikiri mtalii atakuja kuangalia tukio ambalo limeshapita.
Ila mama wa mwenzio ni mama yako.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wakenya mmngemla nyama huyo simba???

Post sent using JamiiForums mobile app
 
We jamaa umemjibu vizuri huyo mkaanga sumu kutoka mathare wazee wa flying toilets hili jambo limekuwa published na mitandao kadhaa ya tz na duniani mbona

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sasa hii insha yote umeiandika kwa madhumuni gani? Hata kuisoma sijaweza! Afu usipende kurukia vitu ovyo ovyo tu!Nilichoandika angalia ni nani yule nilikuwa najibu na alichosema ni nini!Acha kupenda umbea wewe!
 
Wewe ndo umeiona huko ila page ya utalii Tanzania ndo iliko anzia hiyo taarifa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…