Hili tukio la Simba na chui lingetendeka Kenya tungelichangamkia, lakini Watz wapo wapo tu

We jamaa umemjibu vizuri huyo mkaanga sumu kutoka mathare wazee wa flying toilets hili jambo limekuwa published na mitandao kadhaa ya tz na duniani mbona

Post sent using JamiiForums mobile app
Umeshindwa kunijibu wewe mwenyewe nini? Unashobokea mwanaume mwenzako huna akili zako?Nyie ndo wale wanaume wa marinda eti mnajiita mabraza duu eeh?Utakuwa mshamba tu wa vijiweni unadhani kila mkenya anakaa Nai,mi mkaazi wa Kajiado County baaba afu huyo mme wako ye mwenyewe hajielewi!Thie ukiumaga!
 
Mbona huyo Simba ana mkanda shingoni...sasa bado ni Wild au anafugwa kama Mbwa?
 
Lichangamkie Bas Ewe Mkenya Mwerevu Kuzid Watanzania Wote Dunia Hii,Nchi Yenu Imebarikiwa Kuliko Tanzania Na Nyie Mkaao Humo Mmebarikiwa Werevu. Lichangamkie Ewe Mkenya Maana Sie Watanzania Sio Wajanja Kama Nyie Werevu!!

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 

Tena sikawii, siunajua jinsi huwa tunakula sahani moja kwenye mlima Kilimanjaro ambao wazungu walitunyang'anya na kuwapa wazungu waliokua mabwana wenu Wajerumani.
 
Mlitaka watanzania watoke na vibwebwe washangilie simba kumnyonyesha chui?
 
Tena sikawii, siunajua jinsi huwa tunakula sahani moja kwenye mlima Kilimanjaro ambao wazungu walitunyang'anya na kuwapa wazungu waliokua mabwana wenu Wajerumani.
Ewe Mkenya Mwerevu,Chukua Mlima Kilimanjaro,Chukua Ziwa Victoria,Chukua Magufuli,Chukua Diamond,Chukua AliKiba,Chukua Ziwa Tanganyika,Chukua Ziwa Nyasa,Chukua Serengeti,Chukua Ngorongoro,Chukua Zanzibar,Chukua Selous,Chukua Saadani,Chukua Kila Kitu. Kuanzia Leo Kiite Ni Cha Kenya. Sie Watanzania Wapuuzi Hatuwezi Kuvitumia. Adi Nyerere Mchukueni,Ni Wa Kwenu,Baba Wa Taifa Lenu.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Oneni Mungu alivyo wa ajabu,,anatuonyesha ni jinsi gani simba alivyo naupendo kuliko binadamu,,

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Baadae mtasema Beckam na Usher wameletwa na Wakenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…