Hili vumbi mjini noma sana; Wababa tuwe na hiyana, ukiona sketi imebinuliwa mbele yako fumba macho

Hili vumbi mjini noma sana; Wababa tuwe na hiyana, ukiona sketi imebinuliwa mbele yako fumba macho

Vumbi kama lote; msimu Wa kimbunga mjini, wale wavaa sketi na misuli tuwasitiri; dada zetu kuadhilika nje nje! sketi zinafunuliwa mithili ya mwavuli;

balaa lioje wengine ndani hawavaagi chochote zaidi ya tandabui, ukiona hii wanaume tufumbe macho !!!

kwa wenye magari (keep distance) msisahau kukaa mbali na vi -babyWolker barabarani maana ni vinayumba balaa!!!!
Kwann usiweke hata picha 1 ya sketi iliyofunuliwa
 
heeh Ukiandika neno M-a-r-inda bila kuweka videshi humu zinatokea nyota nyota
 
Kwann usiweke hata picha 1 ya sketi iliyofunuliwa
20181023_091829.png


20181023_091427.png
 
Labda yuko Mbeya maana sio kwa upepo huo na vumbi la kutosha
 
Vumbi na upepo kibao ila wapo macho hakuna kinachofumuliwa . Wapo macho wakihisi upepo wanaweka mambo sawa ,anaesubiri kuona atasubiri sana !!
 
Tena unaambiwa ni ukanda wote wa pwani, kuna jamaa yangu yupo Lindi boti yake imeng'oa nanga usiku wa manane bahati nzuri imeokotwa pembezoni ya bahari, ufukweni. Watu wote wachukue tahadhari hasa watumiaji wa vyombo vya usafiri majini.
Hatari hii
 
Back
Top Bottom