think center
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 485
- 527
Kwann usiweke hata picha 1 ya sketi iliyofunuliwaVumbi kama lote; msimu Wa kimbunga mjini, wale wavaa sketi na misuli tuwasitiri; dada zetu kuadhilika nje nje! sketi zinafunuliwa mithili ya mwavuli;
balaa lioje wengine ndani hawavaagi chochote zaidi ya tandabui, ukiona hii wanaume tufumbe macho !!!
kwa wenye magari (keep distance) msisahau kukaa mbali na vi -babyWolker barabarani maana ni vinayumba balaa!!!!