think center
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 485
- 527
Kwann usiweke hata picha 1 ya sketi iliyofunuliwaVumbi kama lote; msimu Wa kimbunga mjini, wale wavaa sketi na misuli tuwasitiri; dada zetu kuadhilika nje nje! sketi zinafunuliwa mithili ya mwavuli;
balaa lioje wengine ndani hawavaagi chochote zaidi ya tandabui, ukiona hii wanaume tufumbe macho !!!
kwa wenye magari (keep distance) msisahau kukaa mbali na vi -babyWolker barabarani maana ni vinayumba balaa!!!!
acha unabeKwann usiweke hata picha 1 ya sketi iliyofunuliwa
acha uongo Niko Kariakoo mbona hakuna vumbi wala kimbunga, tunauza simu kwa raha zetu
Nipo posta kuna muda kulikua na upepo hatari sana.acha uongo Niko Kariakoo mbona hakuna vumbi wala kimbunga, tunauza simu kwa raha zetu
Uko wapi mkuu hata mimi nilipo upepo unavumaHuku nilipo upepo unavuma balaa.
vaa Tait ndefu bibieSaiv kipindi cha kuvaa masuruali tu
πππwale wenye nyumba mloweka mawe juu kubana bati kuweni makini!
mda wowote mnaweza kuta jiwe limetua kitandani
Hatari hiiTena unaambiwa ni ukanda wote wa pwani, kuna jamaa yangu yupo Lindi boti yake imeng'oa nanga usiku wa manane bahati nzuri imeokotwa pembezoni ya bahari, ufukweni. Watu wote wachukue tahadhari hasa watumiaji wa vyombo vya usafiri majini.
Hahahahaahaaa....Naitwa Culture Gal wa Keko Machungwa Darisalama, upepo unavuma sana pande za huku hadi tumejifungia ndani.
[emoji21][emoji855][emoji856]
Mbezi mkuuUko wapi mkuu hata mimi nilipo upepo unavuma
Hahahahh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wale wenye nyumba mloweka mawe juu kubana bati kuweni makini!
mda wowote mnaweza kuta jiwe limetua kitandani