Hili wimbi la maparachichi ya kijani na makubwa yalojazana Dar yanatoka wapi?

Hili wimbi la maparachichi ya kijani na makubwa yalojazana Dar yanatoka wapi?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Sasa hivi Dar imevamiwa na maparachichi fulani hivi ambayo sio kama yale tulozoea ya Kilimanjaro, Arusha, Bukoba na Mbeya lakini sasa hivi yameingia maparachichi ya tofauti kabisa

Haya maparachichi amezagaa kila mahali na kila kona ya jiji la Dar es Salam

Swali haya maparachichi yanatoka wapi?Jee ni GMO?
 
Sasa hivi Dar imevamiwa na maparachichi fulani hivi ambayo sio kama yale tulozoea ya Kilimanjaro Arusha bukoba na mbeya lakini sasa hivi yameingia maparachichi ya tofauti kbs

Haya maparachichi amezagaa kila mahali na kila kona ya jiji la Dar es sallam

Swali haya maparachichi yanatoka wapi?Jee ni GMO?
Yanatoka Njombe
 
We mbwiga kweli yaani hata picha hakuna??
Alafu hayo ni GMO yawezekana watu wameanza kuyazalisha kwa wingi kwa sababu tangu zamani yalikuwepo ila kwa wachache
 
Hayo maparachichi unayoyazungumzia yanatokea BURUNDI.

Ni Organic kabisa ondoa shaka..!
Hii lugha huwa inanishangaza Sana... Kila kitu ukiuliza siku hizi unaambiwa ni Organic.

Vithibitisho ni vipi kuwa sio GMO na kuwa ni Organic??
 
Ni kweli na mimi natamani kujua ni nini chanzo chake, ni kama vile yaliandaliwa kuuzwa nje ya nchi halafu ghafla soko likafungwa inabidi kusambazwa humu humu au ni ya kutoka nchi jirani
 
Sasa hivi Dar imevamiwa na maparachichi fulani hivi ambayo sio kama yale tulozoea ya Kilimanjaro Arusha bukoba na mbeya lakini sasa hivi yameingia maparachichi ya tofauti kbs

Haya maparachichi amezagaa kila mahali na kila kona ya jiji la Dar es sallam

Swali haya maparachichi yanatoka wapi?Jee ni GMO?
Mbona hamna picha

TUNATAKA PICHA JAMANI!
 
Hayo maparachichi ni GMO, kwani yanachukua muda mfupi mti wake kukua, kukomaa na kutoa matunda, yana gamba gumu (tofauti na maparachichi ya kawaida ambayo yakiiva hulainika upesi), pia ladha yake ni tamu sana. Kwa kifupi siku hizi kuepuka GMO ni ngumu sana kwani mimea mingi imeboreshwa ili kuweza kustawi kwa muda mfupi na kutoa mavuno mengi.
 
hayo maparachichi ni GMO, kwani yanachukua muda mfupi mti wake kukua, kukomaa na kutoa matunda, yana gamba gumu (tofauti na maparachichi ya kawaida ambayo yakiiva hulainika upesi), pia ladha yake ni tamu sana. Kwa kifupi siku hizi kuepuka GMO ni ngumu sana kwani mimea mingi imeboreshwa ili kuweza kustawi kwa muda mfupi na kutoa mavuno mengi.
Aiseee
 
Ni makubwa alaf ni mazito
Yatakuwa gmo tu maana hayana nyuzi ndan
 
Back
Top Bottom