Hili wimbi la maparachichi ya kijani na makubwa yalojazana Dar yanatoka wapi?

Hili wimbi la maparachichi ya kijani na makubwa yalojazana Dar yanatoka wapi?

Kweli kbs Maparachichi natural hayana tabia ya kufanana complete kutoka mti mmoja na mwingine yanakuwa na kautofauti flani. Lakini haya ya kijani yanafanana sanaa utafikiri yote yametoka mti mmoja lazima apo kuna kaartificial flani ndani yake tusidanganyane apa.
GMO zipo sawa, lakini tembelea Burundi na Rwanda na maeneo jirani Kama Ngara na Kigoma ukajionee, kingine wachumaji wanafanya sorting wakati wakichuma parachichi..hizo ndio parachichi asilia kwenye hayo maeneo, wanayo ya brown pia lakini ni makubwa kuliko haya uliyoyazowea, mazingira na Hali ya hewa inawapa favour
 
Kwa scale ile sidhani kama ni natural, labda uniambie hao waburundi wanazalisha parachichi kwa ajili yetu tu wao hawali,
Vigezo vya zao kuwa GMO siyo wingi. Kama unaongelea wingi wa parachichi tembelea Mbeya, Kilimanjaro, Tarime au sehemu yoyote inayoyalima utakuta yamejaa. Maparachichi ya Mbeya, Tarime, Kilimanjaro wala siyo madogo kama inavyodaiwa. Pia parachichi kuna yale ambayo ni kijani na kuna ya purple pia yote makubwa tu. Parachichi yakoaina mbalimbali naa ukubwa tofauti.
 
Vigezo vya zao kuwa GMO siyo wingi. Kama unaongelea wingi wa parachichi tembelea Mbeya, Kilimanjaro, Tarime au sehemu yoyote inayoyalima utakuta yamejaa. Maparachichi ya Mbeya, Tarime, Kilimanjaro wala siyo madogo kama inavyodaiwa. Pia parachichi kuna yale ambayo ni kijani na kuna ya purple pia yote makubwa tu. Parachichi yakoaina mbalimbali naa ukubwa tofauti.
Wingi ninaozungumzia wala sio huo unaosemea , naongelea wingi wa parachichi zinazofanana kwa ukubwa rangi na pengine hadi uzito,
Seed engineering ni kama vile unavyoyaona apple za south Africa ,zafanana kwa kila kitu , ukipewa box uchague lipi ni bora utaona karibu yote yanalingana .
Ni kama vile unavyoona banda la kuku wa broilers , utaona karibu kuku wote wanafanana , tofauti kabisa na banda la kuku wa kienyeji kila kuku utakuta wanatofautiana.
Parachizi za mbeya , njombe ,nk ukiyaweka kumi tu , utaona tofauti zake
 
Sio matam kama yale madogo
Aah wapi,tukuyu hayo miaka mingi nyuma yalikuwepo,hayakuwa na soko.
wachina wakawadanganya wakate miti asili ya maparachichi.
Yalikua makubwa km kichwa cha mtoto.
Ndo kuleta mbegu hivi viduchu.
Wauze mbolea pia.
Hayo natural ulikua unapika ugali unaandaa chumvi na maharagwe mabichi parachichi moja watu wanne hammalizi huo ugali.
Likiisha unaenda nyuma ya nyumba unabeba lingine.
Yalikuwepo tu uani na yakiivaa yanaanguka.
Unalikuta hapo chini.
Nilikuta miti imekatwa miparachichi.
nilitukana sana.
Nikaambiwa ni wachina waliwashauri kukata wapande hivi vidogo km ngumi.
So wenzetu huko yalikotoka hawakuskiliza hawa macho ndogo.
Ndo unayaona sasa.
Uganda,Burundi,Rwanda yapo.
 
Sasa hivi Dar imevamiwa na maparachichi fulani hivi ambayo sio kama yale tulozoea ya Kilimanjaro, Arusha, Bukoba na Mbeya lakini sasa hivi yameingia maparachichi ya tofauti kbs

Haya maparachichi amezagaa kila mahali na kila kona ya jiji la Dar es sallam

Swali haya maparachichi yanatoka wapi?Jee ni GMO?
1 Wakorintho 10:25
[25]Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri;
Whatsoever is sold in the shambles, that eat, asking no question for conscience sake:
 
Aah wapi,tukuyu hayo miaka mingi nyuma yalikuwepo,hayakuwa na soko.
wachina wakawadanganya wakate miti asili ya maparachichi.
Yalikua makubwa km kichwa cha mtoto.
Ndo kuleta mbegu hivi viduchu.
Wauze mbolea pia.
Hayo natural ulikua unapika ugali unaandaa chumvi na maharagwe mabichi parachichi moja watu wanne hammalizi huo ugali.
Likiisha unaenda nyuma ya nyumba unabeba lingine.
Yalikuwepo tu uani na yakiivaa yanaanguka.
Unalikuta hapo chini.
Nilikuta miti imekatwa miparachichi.
nilitukana sana.
Nikaambiwa ni wachina waliwashauri kukata wapande hivi vidogo km ngumi.
So wenzetu huko yalikotoka hawakuskiliza hawa macho ndogo.
Ndo unayaona sasa.
Uganda,Burundi,Rwanda yapo.
Amasokela ghali manyafu fijho nkamu
 
Aah wapi,tukuyu hayo miaka mingi nyuma yalikuwepo,hayakuwa na soko.
wachina wakawadanganya wakate miti asili ya maparachichi.
Yalikua makubwa km kichwa cha mtoto.
Ndo kuleta mbegu hivi viduchu.
Wauze mbolea pia.
Hayo natural ulikua unapika ugali unaandaa chumvi na maharagwe mabichi parachichi moja watu wanne hammalizi huo ugali.
Likiisha unaenda nyuma ya nyumba unabeba lingine.
Yalikuwepo tu uani na yakiivaa yanaanguka.
Unalikuta hapo chini.
Nilikuta miti imekatwa miparachichi.
nilitukana sana.
Nikaambiwa ni wachina waliwashauri kukata wapande hivi vidogo km ngumi.
So wenzetu huko yalikotoka hawakuskiliza hawa macho ndogo.
Ndo unayaona sasa.
Uganda,Burundi,Rwanda yapo.
Haya makubwa yanauzwa na Waturuki moja linafika 12,000
 
🤣🤣mkuu, ni nani alikata??!
Bana we mali za urithi ujue tena.
bamdogo alifanya misheni.
na alinambia yoote hayo nimeandika.
Nilipoondoka tu week mbili akafa.
Na tumeagana kijijini mzima wa afya kabisa.
Na kitimoto tumekula pamoja kabla hajarudi kwake.
Ile inaniumaga sana.
 
Ni kweli na mimi natamani kujua ni nini chanzo chake, ni kama vile yaliandaliwa kuuzwa nje ya nchi halafu ghafla soko likafungwa inabidi kusambazwa humu humu au ni ya kutoka nchi jirani
Swali limekaa kinafiki mno
 
Then hayo watakua wanapiga udalali tu,yapo waganda wanayo nishanunua sana kwao
Piga picha Sky.
Labda ya kutoka Ecuador na Argentina thats why.
12000
Waturuki ndiyo wauzaji wakubwa wa korosho Ulaya, na Uturuki hakuna mikorosho. Sitashangaa kuwa ni maparachichi ya Uganda na Burundi yanauzwa Uturuki.
 
Waturuki ndiyo wauzaji wakubwa wa korosho Ulaya, na Uturuki hakuna mikorosho. Sitashangaa kuwa ni maparachichi ya Uganda na Burundi yanauzwa Uturuki.
Nakuelewa,Cuba wanawauzia bado.yapo Europe yote mpaka ndizi Bukoba makongoro,kambale,vipo huko.kisamvu ambacho hakipatikani mchicha.majani ya maboga.
Nenda maduka ya wacongo nunua matembele yameandikwa ukienda kupika unagundua mchicha huu🤣🤣🤣.
Ukubwa wa hilo namaanisha

os-avocado-cut.jpg
 
Back
Top Bottom