hilo li-chata pembeni ya avatar ya gfsonwin

Wer...........weraaaaaaaaaaaaaaaa,
Wanawake Oyeeeeeeeeeeeeeee,
Wanaume zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz,


Ngoja nami niliweke li Tanzanite fasta
 
heheh . . .
Mie labda nikiokota au nipitishe bakuli la mchango kijijini kwetu!

Kipipi unapaswa kupata muda mzuri wa kulala! You nowadays sleep very late na siyo nzuri kwa afya yako. Mawazo ya nini bibie?
 
Last edited by a moderator:
Hello gfsonwin, umefanya jambo la heri sana kuchangia JF na hata kuanzisha hii thread. najua ni wengi sana wenye uwezo wa kuchangia lakini kwa sababu fulani fulani hawajaweza kufanya hivyo.

Ni ukweli usiopingika kuwa JF kwa sasa inaendeshwa kwa gharama kubwa sana. Tunamshukuru sana Invisible na team yote ya JF staff na Mods kwa kuendelea kujitolea ili JF isonge mbele.

Natoa wito kwa kila mwenye uwezo wa kuchangia JF kuanzia kiasi kidogo cha elfu 20 na kuendelea kufanya hivyo. Kutoa ni moyo na wala haina maana nyingine yoyote. Najua tunatumia pesa nyingi zaidi ya elfu 20 kwa mwaka kuweza kupata access ya bure JF lakini wakati huo huo wengi hawajafanikiwa kuchangia JF.

Kwa heshima na taadhima nawaomba sana wale wote wenye mapenzi mema wachangie JF. Bila shaka mkongwe mwenzangu Bishanga ataungana na gfsonwin kuhamasisha zaidi uchangiaji.

Hongera sana Kungwi gfsonwin.
 
Last edited by a moderator:
mbona tutakoma mwaka huu!
uuuwih jamani hakuna hata wa kuniPM kuhusu hii thread mweh!
mwali mi hata sikubali!'
kwani hilo lijichata pembeni kwako hapo shing ngapi?
lol!
haya haya jamani wareee wooote oh snowhite unajua ,oh nini kwani oh kwani si uniweke tu humo!
ndo munipe sasa lichata!
ahahhahahhahahhahhahahhahaha SITAAAAKI MIMI! Boflo ukinilipia hili chata NITAKUONA BOOOOOONGE LA MWANAUME!
 
Last edited by a moderator:
wanawake na maendeleo tufanye kazi tusonge mbeleee yelele yeleeeeeee eeeh wanawake yelee yeleeee eeh kina mama!!!!!!!!!!!!!!!!!!
gfsonwin Haaaa haaaa nimeipenda hii. Mko juu!


ahahhahahhahahhahhahahhahaha SITAAAAKI MIMI! Boflo ukinilipia hili chata NITAKUONA BOOOOOONGE LA MWANAUME!​

Hapo ndo uzi wa lara 1 unaohusu wavaa suruali kuwa na mkwanja mrefu unaleta maana. lakini kaza buti mama wanawake mnaweza:
snowhite unataka Charter Mamaa? Unataka kujibrand? Hebu shusha mashahiri kwanza tukusikie mbele ya kadamnasi
 
Last edited by a moderator:
chata nalitaka hasa,hadhi yangu ipate msasa
usinia eksiparti nimeuchoka,chata lanipa hamasa
nalikata chata tena hasa,jitanda pembeni lipate pacha
talitafuta chata kwa haraka,yanipite yote wakati huu ni sasa

sitaki tena sitaki hasa ,kubaki nyuma kisa pesa
sikubali tena sikubali kabisa,ima ikawe faima lazima niweke heshima
mwali kanitia hasira na walahi namlipa,iwe iweje sikubali chata naliweka
talifuta chata kwa haraka,yanipite yote wakati huu ni sasa
 

Duuh! hadi raha kweli Wanawake mkipewa nafasi manaweza. Untaka Chata bibie?
 
Duuh! hadi raha kweli Wanawake mkipewa nafasi manaweza. Untaka Chata bibie?

Afu nawee umezidi kwa miandiko na ubaguzi. Kama umeweza kumpa haya maujiko mwalimu gfsonwin unashindwaje kumpa ma mwalimu snowhite mpaka alielie namna hii?

BTW fanya mandingo nishinde tena yale makitu ili unipaishe niwe Tanzanite member mie na comrade Nyani Ngabu. Si unaona mwalimu anavotupiga madongo na haya magold ya "kupewa"? Hahahahah!
 
Last edited by a moderator:
kizuri kula na nduguyo kibaya mtupie mbwa
source : lara 1

Hehehehehe! Hili sasa ni tatizo. Tatizo ukishakula kizuri cha nduguyo unashindwa kufanya siri. Hatimaye kitu kinakuwa hadharani afu mambo yanaharibika.

Usimchezee chatu oooh chatu we, rungu usimtupie utaukosa ushindi..... Sous?: Ah nshasahau ngoja nikazimue.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…