Himars bado zinawatesa Russia 65 wauliwa Donetisk

Ndo vita hivyo.Unashangaa mwanajeshi kuuwawa vitani??Kwani wao wameua wa-ukraine wangapi??
Kikubwa Ukraine wakomboe maeneo,wao wanahangaika sana kushinda hii vita mitandaoni kwa mapicha na habari kama hizi, lkn uwanjani hopeless
He umejitoa akili naona, vita sasa unaingia mwaka wa 3 kama urusi ana maeneo kwanini asichukue ile nchi nzima na alikuwa ashaizingira hadi Kyiv mji mkuu,
 
Hiii picha ina ukakasi sana askari wengi wa urusi wanafungaga vitambaa vyekundu au vyeupe mguuni au kwenye mkono lkn hakuna ata mmoja mwenye kitambaa ichoo
Tuseme ni jeshi la M23 labda wamevaa sare za jeshi la urusi eti?
 
Huo mji haujaanguka Jeshi la Ukraine wali withdraw ili kuwazunguka na kuwatia adabu, wewe huna ujualo hii vita toka inaanza ndivyo wataalam wanavyopigana sasa mwaka wa 3 mrusi hajaona ndani ni vilio tuu
 
Rudisheni miji iliyotekwa.
Ata Kyiv ilitekwa kwa msururu wa mavifaru ata idadi havina leo watoto wanaenda shule na kurudi salama salimini
 
Huo mji haujaanguka Jeshi la Ukraine wali withdraw ili kuwazunguka na kuwatia adabu, wewe huna ujualo hii vita toka inaanza ndivyo wataalam wanavyopigana sasa mwaka wa 3 mrusi hajaona ndani ni vilio tuu
Mkishaweza kuondoa majeshi ya Russia na kurudisha mipaka ya zamani ndio muanze kuongea.
 
Mkishaweza kuondoa majeshi ya Russia na kurudisha mipaka ya zamani ndio muanze kuongea.
Sasaivi imebaki kurudisha Cremea tu ambayo tayari soon Ukrean watapokea silaha za kupiga 300 miles kushambulia popote eneo la cremea ambapo hii kabla haikuwa kwenye ratiba Urusu walilichukua jimbo hili toka 2004
 
Ndo vita hivyo.Unashangaa mwanajeshi kuuwawa vitani??Kwani wao wameua wa-ukraine wangapi??
Kikubwa Ukraine wakomboe maeneo,wao wanahangaika sana kushinda hii vita mitandaoni kwa mapicha na habari kama hizi, lkn uwanjani hopeless
Yale maeneo kukomboa ni ngumu sababu kule wanakaa ethnic russia unayakomboaje
Putin ndo alitaka kuuondoa utawala wa kiev kibabe
 
Sasaivi imebaki kurudisha Cremea tu ambayo tayari soon Ukrean watapokea silaha za kupiga 300 miles kushambulia popote eneo la cremea ambapo hii kabla haikuwa kwenye ratiba Urusu walilichukua jimbo hili toka 2004
Zaporizhia bado haijakombolewa hata Donetsk bado haijakombolewa kikamilifu.
Au unadhani sie hatutizami habari??
Eastern Ukraine bado haijapata ukombozi kamili Crimea ni mbali sana kupawaza.
 
Habari za mk254 sio za kuamini, sisi tunajua baada ya usa kuona maji yanakaribia kuvuka shingo akasmua kujitoa na ndipo vita ilipoishia, na russia mshindi
 
Ukraine ni mahodari kwa kusema.Wanauwa kila siku na huku wanasukumwa nyuma.
Hili haliendani na matokeo ya vita
 
Sasaivi imebaki kurudisha Cremea tu ambayo tayari soon Ukrean watapokea silaha za kupiga 300 miles kushambulia popote eneo la cremea ambapo hii kabla haikuwa kwenye ratiba Urusu walilichukua jimbo hili toka 2004

21 FEB, 08:06
Trump reminds Americans that Russia defeated Hitler, Napoleon


NEW YORK, February 21. Former US President Donald Trump has pointed out that in the past, Russia defeated Adolf Hitler and Napoleon Bonaparte.

"Russia, what did they do? They defeated Hitler, they defeated Napoleon. Yeah, they’re a war machine," Trump said, addressing his supporters at an event broadcast on Fox News.

The ex-US president also noted that Washington’s allies in Europe needed to increase their defense spending as there was "a difference of $150 billion" with the US.
 

Victory in Avdeevka: How Russia forced Ukraine to retreat from the most fortified city in Donbass

On Saturday, the Russian Ministry of Defense announced that Avdeevka – long an important stronghold of the Armed Forces of Ukraine (AFU) northwest of Donetsk city – had been liberated. The area had been seen as strategically vital as far back as 2014, when Kiev’s troops fought local Donbass separatists.

The Ukrainian Army, which could not stop the Russian advance and wasn’t able to provide a permanent supply line for its garrison, hastily fled from Avdeevka, leaving behind about 850 prisoners, many bodies of its dead servicemen, and a lot of military equipment. The Ukrainians also had insufficient time to blow up high-rise buildings in the area, from which Russian troops can now obtain a clear view of the AFU’s future lines of defense. According to Russian Defense Minister Sergey Shoigu, in the 24 hours prior to the capture of Avdeevka, the AFU lost more than 1,500 people.
 
21 Feb, 2024
Russia captured up to 1,000 Ukrainian POWs in Avdeevka – NYT

A“devastating loss” for Kiev that “could deal a blow to already weakening morale.”

Reporting on Tuesday, the NYT quoted two unnamed Ukrainian service members as putting the number of POWs and missing soldiers at anywhere between 850 to 1,000. Anonymous Western officials have characterized this range as accurate, the newspaper claimed.

While US officials supposedly do not consider the loss of Avdeevka to be strategically significant for Ukraine, the NYT reported that the “capture of hundreds of soldiers, especially those with battlefield experience,” could pose a serious problem.

According to the article, poor communication between various Ukrainian units who are using different radio equipment may have been a factor.

During a meeting with Russian President Vladimir Putin on Tuesday, Defense Minister Sergey Shoigu said Avdeevka had been taken with minimal losses among Russian troops. He claimed that during their retreat, Ukrainian forces had left behind significant numbers of wounded soldiers, as well as military hardware and equipment.
 
War propaganda.
Ukraine lost a battle in Adveeka a few days ago.
Adveeka is a part of Donbas.
Where were HIMARS to save the face of Ukraine Armed Forces?
 
Jiandaeni kisaikolojia

Kiev and Odessa are ours – Medvedev

Moscow must capture the Ukrainian capital sooner or later, the former president has claimed

Russia will have to continue fighting Ukraine until it takes Kiev and the coastal city of Odessa,both cities have “Russian roots” but are being run by US-led enemies of Moscow, meaning they present an existential threat, according to the senior official, who currently serves as deputy head of Russia’s National Security Council.
 
Ukraine ni mahodari kwa kusema.Wanauwa kila siku na huku wanasukumwa nyuma.
Hili haliendani na matokeo ya vita
Kuhusu kuingia kwa mwaka wa 3 sasa mrusi hajashika hatama Ukraine je?
 
Habari za mk254 sio za kuamini, sisi tunajua baada ya usa kuona maji yanakaribia kuvuka shingo akasmua kujitoa na ndipo vita ilipoishia, na russia mshindi
wapi us kajitoa andika vizuri huenda huongelei habari za ukraine, hufahamiki
 
Kyiv haikufanyiwa intensive attacks kama Donetsk ,Zaporhizia na Crimea.
Russia walipoivamia ukraine walishalidhibiti eneo la Ukrain ikiwemo Kyiv lenye ukubwa wa nchi ya Newzerland sasa jiulize imekuwaje tena mpaka sasa unataja Donetsk, zaporshizia na crimea.

Zelensky rais wa Ukraine alishaingia porini leo amerudi mjini watoto wanaeda zao shule na bunge lao na shughuli za serikali zote zinakwenda kama kawaida, jiulize hilo swali mkuu Russia walikwama wapi na kurudi zao bahari nyeusi kurusha kuangusha nyumba za raia na kuua raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…