Himars zailipua daraja muhimu sana kwa Urusi

Himars zailipua daraja muhimu sana kwa Urusi

Ulitaka nizungumzie hizo satan na nyinginezo?
Na kwamba hizo SARMAT zinaweza kubeba nuclear payload au conventional payloads kama thermobaric explosives au H.E., bottom line is: Miami sio mbali hata kwa hypersonic missiles and glide vehicles hawa jamaa wanajitafutia balaa - Dunia imebadirika sana, mambo ya kutamba tamba,viburi na ujeuri ndio zimeanza kukaribia tamati - Dunia itaanza kuongozwa kwa misingi ya multipolarity no more Unipolarity crap.
 
Kwanini Marekani asiende mwenyewe kumsaidia Ukraine kupigana na Urusi?

Anachoogopa ni nini hasa mbona anaishia kutuma silaha tu?
Russia alisema ole wake atakayemsaidia Ukraine sasa yeye kwa nini asimpige Marekani kwa kumsaidia Ukraine? Jibu kwanza hapo.
 
Yaani ulipue daraja la nchi yako. Unayo dai unataka kuikomboa. Afu ujisifu. Ujinga wa PhD.
Military tactic..
Wanajeshi wa Tz walisambaratisha daraja la mto Kagera (ndani ya Tz) ili kuzuia wavamizi wa Uganda waliokuwa wanakaribia kuvuka pale!
 
Naona Urusi anayachukua tu mapande [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tukiwambia humu Putin master plan muwe mnaelewa [emoji1787], Nato weusi endeleeni na nyuzi zenu za Himales sjui ndio nn, mtajua hamjui [emoji16][emoji16][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

A month after #Russian passports have been given to certain #Kherson residents, the region decides to plan a referendum that will make it an entity of the Russian Federation.

#Russia
#Ukraine
Propaganda
 
Lengo ni kumkamata mwizi na kumuua/kumpelekaa Jela asirudi tena kukuibia.

mbona mission nyingine alienda mwenyewe hakutuma mbwa wake?[emoji28][emoji28][emoji28]
jibu ni NYINGINE sio hii yaan hazifanan
 
Naona Urusi anayachukua tu mapande [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tukiwambia humu Putin master plan muwe mnaelewa [emoji1787], Nato weusi endeleeni na nyuzi zenu za Himales sjui ndio nn, mtajua hamjui [emoji16][emoji16][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

A month after #Russian passports have been given to certain #Kherson residents, the region decides to plan a referendum that will make it an entity of the Russian Federation.

#Russia
#Ukraine
hata Hitler aliongoza ubaoni kwa miaka 4 sembuse kwa miez 5 huku akiteteleka dhid ya nchi moja tu
 
Na kwamba hizo SARMAT zinaweza kubeba nuclear payload au conventional payloads kama thermobaric explosives au H.E., bottom line is: Miami sio mbali hata kwa hypersonic missiles and glide vehicles hawa jamaa wanajitafutia balaa - Dunia imebadirika sana, mambo ya kutamba tamba,viburi na ujeuri ndio zimeanza kukaribia tamati - Dunia itaanza kuongozwa kwa misingi ya multipolarity no more Unipolarity crap.
unaandika km mtu timamu , hlf mtesekaji wa huo mfumo ni ww , Afrika ina wajinga wengi sn
 
Military tactic..
Wanajeshi wa Tz walisambaratisha daraja la mto Kagera (ndani ya Tz) ili kuzuia wavamizi wa Uganda waliokuwa wanakaribia kuvuka pale!
Sio kweli, labda ulikuwa mdogo au ulikuwa hujazaliwa. Daraja la kagera lililipuliwa na Amin, baada ya mabomu ya ndege zake kushindwa kulipua ndio akamfuata mlipuaji wa baruti kutoka iliyokuwa mgodi wa shaba kule Kasese, Uganda ndio akailipua.
 
Military tactic..
Wanajeshi wa Tz walisambaratisha daraja la mto Kagera (ndani ya Tz) ili kuzuia wavamizi wa Uganda waliokuwa wanakaribia kuvuka pale!
Zamani 1978. Hivi uliona gari walizo tumia Jwtz kwenda vitani? Mabasi/lori. Uki tumia leo nyote ni marehemu.

Kwa sasa kuna Technolojia ya Temporary bridges za chuma zina elea hata Vifaru vya aina gani vina pita. Pia kuna Amphibia Tanks. Hizi zina ogelea majini kama boti. Zikifika nchi kavu ni kifaru cha gari kama kawaida. Ingia yuotube angalia Taiwan Training leo tarehe 29/7 uta ona. Ukijumlisha Helicopita na Ndege uta ona Ukraine haina akili kubomoa daraja lao.
 
Back
Top Bottom