Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
Kwa nini watu wengi huwa wanaizungumzia Roman Empire kama himaya kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani au iliwahi hata kuitawala dunia wakati uhalisia ni tofauti kabisa?
Roman Empire kwa kipimo chochote kile sio mojawapo ya himaya kubwa duniani, hii ni Himaya iliyochukua eneo la Ulaya magharibi tu kwa ukubwa pamoja na Uturuki na mashariki ya kati kwa chache.
British Empire ndio Empire kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani ikifuatiwa na ya Wachina na Mongol.
amri inatolewa mahali mtu anapotawala angekuwa hatawali dunia nzima angepata wap mamlaka ya kuagiza watu kama hapo juu?