Hio ndio Real Madrid iliyowahi kuwa bora zaidi duniani

Hio ndio Real Madrid iliyowahi kuwa bora zaidi duniani

Hiyo siyo madrid bora, madrid bora kupata kutokea ni iliyojumuisha watu hawa

1. Iker Cassilas
2. Michel Selgardo
3. Roberto Carlos
4. Ivan Helguera
5. Fernando Hiero
6. Fernando Redondo
7. Luis Figo
8. Jose Marie Gutierez H.
9. FernandoMorientes
10. Raul Gonzalez
11. Zinedine Yazid Zidane

De lima, wala Beckham walikuwa hawajafika madrid kipindi hicho. Hawa waliikuta madrid inaanza kuporomoka.
Hata mie wa Barca nilikuwa naiogopa hii mkuu.
 
Sasa hapa Ndiyo Umeuliza nini na Umeongea nini? ulichotaka wewe ni Nani Aliyesajili Mwanzo, au Unachotaka wewe ni aliyesajili tu?

Barcelona Katengeneza Figo mpaka Akawa na Jina, Hatimae Real Kamnyakua Figo Mwenye Jina na Kumsajili....

Bacelona huyu huyu Kamtengeza Ronaldo Mpaka Kawa na Jina, Hatimae inter/Real Kamnyakuwa Na Kumsajili Ronaldo mwenye Jina.....

Man U wamemtengeza Beckam na Ronaldo Mpaka Wamekuwa na Majina! Hatimae Real Kasajili....

The Same Kwa Kaka, McManaman, Owen, Anelka, Zedane.....

Sasa Hapo Nani Mkali Wa Kusaini....?

Mkuu Nahisi Ungefafanua Kuwa Barcelona ni Mkali Wa Kuibua Vipaji tu na Wala Si Wakusaini....

Halfu Mkuu inaonesha Hujawahi Muona Maradona Aliyeichezea Barcelona! Huyu Alikuwa ni Sawa na Yule George Apong Weah aliyeichezea Chelsea.....

Maradona alikuja Barcelona Kumalizia Umri Wake tu na Ndiyomaana Kiwango Chake Kwa Wakati Huo Kilimtia Aibu Kwenye Final ya Champion League Kati ya Barcelona vs AC Milan... Unakijua Kiama Kilichowatokea Barcelona kwa Milan????

Mkuu King Ngwaba hapo pekundu ndio haswa nilikuwa namaanisha. Hapo kwa Maradona kumbukumbu zangu zinaonyesha Barcelona ndio club ya kwanza kabisa kumsajili kwa maana ya kumleta ulaya. Alikaa pale kabla ya kuuzwa Napoli. Soka lake la mwisho alilimalizia klabuni Sevilla. Ndio akarudi kwao Argentina.

I stand to b correct...
 
Mkuu King Ngwaba hapo pekundu ndio haswa nilikuwa namaanisha. Hapo kwa Maradona kumbukumbu zangu zinaonyesha Barcelona ndio club ya kwanza kabisa kumsajili kwa maana ya kumleta ulaya. Alikaa pale kabla ya kuuzwa Napoli. Soka lake la mwisho alilimalizia klabuni Sevilla. Ndio akarudi kwao Argentina.


I stand to b correct...
Maradona Mpira aliucheza Kwao Argentina Miaka ya 80s! Alipokuja Ulaya (Barcelona) Tayari Ameshakua Mbabaishaji tu....
 
Back
Top Bottom