Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Wanapigia wapi kwa maana ipi?
Freestyle zilianza kusikika na kufanyika maeneo gani? Mashuleni, kanisani, Kwenye mikutano ya hadhara, kwenye sherehe au kwenye maparty na maclub??
 
Go find details mdogo wangu!!!Sorry umezaliwa 70,s or 80,s!!!!!!Kama ni kuanzia miaka ya 90,s huwezi kunielewa!!!!You can't prove it through jamii forum mdogo wangu
Hii sasa ndo ile mtu anasema kuna kunguru mweupe, ukimuuliza anasema hawezi kuonesha hapa jf ila source ni 'trust me bro'
 
Hii sasa ndo ile mtu anasema kuna kunguru mweupe, ukimuuliza anasema hawezi kuonesha hapa jf ila source ni 'trust me bro'
Tafuta source mdogo wangu!!!Usitegemee uletewe kila kitu hapa jamii forum au safiri kidogo uende USA utapanuka zaidi kimaarifa kuhusu hip pop
 
Freestyle zilianza kusikika na kufanyika maeneo gani? Mashuleni, kanisani, Kwenye mikutano ya hadhara, kwenye sherehe au kwenye maparty na maclub??
Mtafute chief ramso wa kwanza unit au sebastian maganga atakujibu maswali yako yote mdogo wangu
 
Rich Boy ft Polo Da Don - Throw Some D's

Nasikiliza hilo beat mda huu

02:35
 
Freestyle zilianza kusikika na kufanyika maeneo gani? Mashuleni, kanisani, Kwenye mikutano ya hadhara, kwenye sherehe au kwenye maparty na maclub??
Mitaani mzee

Hujui kuwa Hip Hop ilikuwa imeanzia uswahilini kwenye magang?
 
Moja
Mbili
Tatu
Nne

Nikichambua hadi mwisho na ukisikiliza sivyo km ulivyoandika, hakuna vina na ameenda nje ya beat pia, kwenye ukweli sema ukweli na mrekebishe mtu sio kila kitu unasifia tu akibolonga mchane pia ili akae kwenye mstari
Hahahahahaha hii reply yako sikuiona ila kiukweli Mkuu nimecheka sana inaonekana mziki umekupita mbali sana

Ngoja nikupe ufafanuzi hapa kidogo, sehemu ambayo ina kina nitaiwekea italic na kui color kwa red


"Na kufata siasa...ambayo inakulaza na njaa.../" hii ni verse ya mwisho ambayo ilikuwa inakamilisha kina. Kwa hiyo ukitaka kujua kama line ina kina unapaswa kuangalia line ya nyuma yake ambayo ilikuwa ni hii "Na ubaya ni kwamba...umeanza kuikacha sanaa..."

Ukamilisho wa verse ulikuwa upo hivi

"Na ubaya ni kwamba...umeanza kuikacha sanaa...
Na kufata siasa...ambayo inakulaza na njaa..."

Hayo maneno niliyo ya italic na kuyawekea rangi nyekundu ndio vina vyenyewe hivyo

"Zamani...ulikuwa una sembe ya kusaza...
Uliabudu kazi...ukaliweka jembe kwenye shamba..."

"Unalala ndani...kungoja hisani ya wenye nguvu...
Nyumba iko wazi..wewe uko ibadani unaabudu...

Unavamia diplomasia..unatunga hotuba...
Na hakuna mwenye hisia...kuwa upo nyuma ya muda..
 
Hahahahahaha hii reply yako sikuiona ila kiukweli Mkuu nimecheka sana inaonekana mziki umekupita mbali sana

Ngoja nikupe ufafanuzi hapa kidogo, sehemu ambayo ina kina nitaiwekea italic na kui color kwa red


"Na kufata siasa...ambayo inakulaza na njaa.../" hii ni verse ya mwisho ambayo ilikuwa inakamilisha kina. Kwa hiyo ukitaka kujua kama line ina kina unapaswa kuangalia line ya nyuma yake ambayo ilikuwa ni hii "Na ubaya ni kwamba...umeanza kuikacha sanaa..."

Ukamilisho wa verse ulikuwa upo hivi

"Na ubaya ni kwamba...umeanza kuikacha sanaa...
Na kufata siasa...ambayo inakulaza na njaa..."

Hayo maneno niliyo ya italic na kuyawekea rangi ya blue ndio vina vyenyewe hivyo

"Zamani...ulikuwa una sembe ya kusaza...
Uliabudu kazi...ukaliweka jembe kwenye shamba..."

"Unalala ndani...kungoja hisani ya wenye nguvu...
Nyumba iko wazi..wewe uko ibadani unaabudu...

Unavamia diplomasia..unatunga hotuba...
Na hakuna mwenye hisia...kuwa upo nyuma ya muda..
Mimi niliona hiyo comment yake kisha nikaangalia na michango yake ya hip hop hapa nikabaki tu nashangaa maana ukiangalia vile anaongelea hip hop ni wazi unaona huyu anaijua

Sasa alipokuja kuandika hiyo comment nikabaki nasema Hiiiiiiiiiiiii...! Nika conclude kuwa tulikuwa tunabishana na mtu anaefatilia hip hop kwa msaada wa google

Niwe mkweli baada ya hiyo comment yake nikampuuza mshkaji, pamoja na Heshima niliyokuwa nampa kutokana na michango yake kwenye nyuzi za hip hop, That was very too low for him...!
 
Mimi niliona hiyo comment yake kisha nikaangalia na michango yake ya hip hop hapa nikabaki tu nashangaa maana ukiangalia vile anaongelea hip hop ni wazi unaona huyu anaijua

Sasa alipokuja kuandika hiyo comment nikabaki nasema Hiiiiiiiiiiiii...! Nika conclude kuwa tulikuwa tunabishana na mtu anaefatilia hip hop kwa msaada wa google

Niwe mkweli baada ya hiyo comment yake nikampuuza mshkaji, pamoja na Heshima niliyokuwa nampa kutokana na michango yake kwenye nyuzi za hip hop, That was very too low for him...!
Yani mwenyewe nimeshangaa sana kwakweli
 
Hahahahahaha hii reply yako sikuiona ila kiukweli Mkuu nimecheka sana inaonekana mziki umekupita mbali sana

Ngoja nikupe ufafanuzi hapa kidogo, sehemu ambayo ina kina nitaiwekea italic na kui color kwa red


"Na kufata siasa...ambayo inakulaza na njaa.../" hii ni verse ya mwisho ambayo ilikuwa inakamilisha kina. Kwa hiyo ukitaka kujua kama line ina kina unapaswa kuangalia line ya nyuma yake ambayo ilikuwa ni hii "Na ubaya ni kwamba...umeanza kuikacha sanaa..."

Ukamilisho wa verse ulikuwa upo hivi

"Na ubaya ni kwamba...umeanza kuikacha sanaa...
Na kufata siasa...ambayo inakulaza na njaa..."

Hayo maneno niliyo ya italic na kuyawekea rangi nyekundu ndio vina vyenyewe hivyo

"Zamani...ulikuwa una sembe ya kusaza...
Uliabudu kazi...ukaliweka jembe kwenye shamba..."

"Unalala ndani...kungoja hisani ya wenye nguvu...
Nyumba iko wazi..wewe uko ibadani unaabudu...

Unavamia diplomasia..unatunga hotuba...
Na hakuna mwenye hisia...kuwa upo nyuma ya muda..
Una energy nyingi sana ya kuelimisha watu wagumu kuelewa,hongera sana mimi HAPANA
 
Cado Kitengo ni kwenye freestyle tu swala la uandishi ni zero kabisa

Na hiyo imekuwa kama nature kwa watu wenye uwezo mkubwa wa freestyle mara nyingi kuandika wanakuwa hawana viwango

Ni mara chache sana unaweza ukawakuta wana fit angle zote mbili kama ngwair na Langa
Mkuu kama hutojali embu tuekee clip yoyote ile langa akifanya freestyle...sijawahi kujua hii.
 
Mkuu kama hutojali embu tuekee clip yoyote ile langa akifanya freestyle...sijawahi kujua hii.
Clip zake niliwahi kuziona kwa P Mawenge afu ni muda kidogo

Jamaa freestyle anazibonda fresh kabisa, alikuwa talented kwenye angle zote
 
Back
Top Bottom