Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
then asilalamike kubaki underground..na akubali rapcha anaposema anamfanya kuwa relevantMajibu yapo kwenye ngoma yake hii mbona,sio kila mtu lazima afanye mnachotaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
then asilalamike kubaki underground..na akubali rapcha anaposema anamfanya kuwa relevantMajibu yapo kwenye ngoma yake hii mbona,sio kila mtu lazima afanye mnachotaka
wewe umekuja na mpya, hiphop imeanzia caribean mashambani? sio US tena?Mkuu hip hop msingi wake ni kuelimisha na sio kuburudisha,jipe muda upitie historia ya hip hop tokea caribean mashambani huko enzi hizo jipe muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika ukweli..mkumbushe wimbo wa ukisikia PA wa JCB..Hit ni sayansi...Huwezi kutoa ngoma mbovu ikahit
inabidi utoe ngoma kali kuliko zote(kwa genre zote) kwa kipindi hiko au iwe top 5 ili iwe hit,
hizo zote ulizotaja jerusalem na muziki ni ngoma kali.
Tatzo Dizasta hajawahi kutoa ngoma ikawa kali hata top 10 kwa kipindi hiko
NB: Napoongelea ukali wa ngoma ni package yote sio mistari tu..kuanzia idea,topic,beat,style,nk.
Halafu hizi diss zinatrend kwasababu ya drama, wabongo wanapenda drama
Line 1 Kwenye line 10Basi huwa humuelewi jamaa. Kuna mtu anacheza na maneno na lines zake zimejaa double entendres kama Dizasta?
Kama unafatilia vizuri utaona Hip Hop ni mziki uliokuwa unafanywa uswahilini kwa wahuni miaka ya mwishoni mwa 1960 lakini ukifatilia wimbo wa kwanza utaona ulitolewa 1979, so jiulize mwenyewe back to 1978-1960 mwishoni Hip Hop ilikuwa inafanywa vipi?ngoma ya kwanza ya kiharakati imetoka mwaka gani na inaitwaje?
Umerudisha nyuma magoli tena, wewe si ndo ulisema ilianza miaka ya 70,saivi imekuwa 60 tena.Kama unafatilia vizuri utaona Hip Hop ni mziki uliokuwa unafanywa uswahilini kwa wahuni miaka ya mwishoni mwa 1960 lakini ukifatilia wimbo wa kwanza utaona ulitolewa 1979, so jiulize mwenyewe back to 1978-1960 mwishoni Hip Hop ilikuwa inafanywa vipi?
Anyways...ingekuwa ilikuwa mainly mziki wa harakati, basi ngoma ya kwanza kurekodiwa si ingekuwa ya kiharakati au?Mwanzoni mwa 1970 ndio mwaka ambao Hip Hop ilivuma kufatia hatua ya ukosoaji wa mambo negative katika serikali na siasa kiujumla
Hip Hop ina Historia kubwa sana, na kile ambacho kinawekwa kama data huwa kinawekwa kuzingatia tukio au jambo lililofanyika kwa wakati huo.Umerudisha nyuma magoli tena, wewe si ndo ulisema ilianza miaka ya 70,saivi imekuwa 60 tena.
Anyways...ingekuwa ilikuwa mainly mziki wa harakati, basi ngoma ya kwanza kurekodiwa si ingekuwa ya kiharakati au?
Top 4..nje ya mada,hivi kuna rapper US mwenye punchlines kumzidi Big L???
Bronx, New York, 1970sHip Hop kwa mara ya kwanza ilianzishwa miaka ya 1960 lakini haikuweza kusikika mpaka miaka ya 1970 ambapo ndio ikaja kubatizwa kuwa mziki rasmi
Ngoma ya kwanza ipi sasa?
Ya saizi kapiga dakika 11 kabisa
Ngoma ya mwanzo kabisa ni miaka ya 1960,s kuna jamaa walikua wanatoa calpiso hip pop kabla ya hip pop funky&disco!!!Nikipata details nitakupatiaHip Hop ina Historia kubwa sana, na kile ambacho kinawekwa kama data huwa kinawekwa kuzingatia tukio au jambo lililofanyika kwa wakati huo.
Hip Hop kwa mara ya kwanza ilianzishwa miaka ya 1960 lakini haikuweza kusikika mpaka miaka ya 1970 ambapo ndio ikaja kubatizwa kuwa mziki rasmi
Ndio maana ukiangalia Delight ilitolewa september 1979 halafu ukicheki birthday date ya Hip Hop ni 1973. Sasa unaweza jiulize mwenyewe ina maana tangu 1973 hakukuwa na wimbo wowote wa Hip Hop mpaka ilipopita miaka almost 7?
Ngoma ya kwanza ipi sasa?
Yupo sahii calpso za mwanzo huko mashambani kwa watumwa Caribbean ndizo zimezaa urban hip pop miaka ya 1960,s na 1970,s huko USAwewe umekuja na mpya, hiphop imeanzia caribean mashambani? sio US tena?
Nitajie ngoma ya kwanza ya hiphop kurekodiwa
Hakuna rapper wa kumzidi Big L kwa punch na free style na yeye alimrithi Notorious Big kwa vyote!!!!Vifo vyao vimeacha pengoTop 4
1. Royce da 5'9
2. Big L
3. Lord Finesse
4. Inspectah Deck
Hio Top 4 ni yangu mimi chief,Hakuna rapper wa kumzidi Big L kwa punch na free style na yeye alimrithi Notorious Big kwa vyote!!!!Vifo vyao vimeacha pengo
Royce da 5,9 mtoe hapo namba moja!!!Vipi Scarface kaka????Au wewe sio wa down south na bay area????Top 4
1. Royce da 5'9
2. Big L
3. Lord Finesse
4. Inspectah Deck
Aaaah ni yako kaka!!!Lakini wakongwe tunajua Big L ni namba nyingine kama BIG vile wazee wa free style na punchHio Top 4 ni yangu mimi chief,
Utaje huo wimbo, kwanini tuandikie mate?Sasa unaweza jiulize mwenyewe ina maana tangu 1973 hakukuwa na wimbo wowote wa Hip Hop mpaka ilipopita miaka almost 7?
Ngoma ya kwanza ipi sasa?
Ngoja niwasidie kitu wadogo zangu msibishane!!!!Miaka ya 1960,s ilikua hivi Dj anapiga beat watu wanafree style na zipo rekodi za free style juct for funy and brotherhood identiy for blocks ila kurekodi nyimbo studio kiutaalamu kama serious business kulianzia miaka ya 1970,s!!!Utaje huo wimbo, kwanini tuandikie mate?
Mimi nasema hakukuwa na mwimbo ilikuwa ni ile utamaduni wa maMC kuvamia party kumwambia DJ aachie sehemu ya biti la funk lisilo na vocal anaanza kuchana juu ya mabiti kama freestyle, kurekodi ndio wakaanza kurekodi hiyo 79
Wewe unayesema mimbo ilikuwepo before itaje.