Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
nikiingia mimi hao wakazi wataonekana wageniIngia bro, ingia wewe ndo wale wale wakina wakazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikiingia mimi hao wakazi wataonekana wageniIngia bro, ingia wewe ndo wale wale wakina wakazi
Angalia picha za yesuww unajua? au umeunga folen kusubiria jibu?
"No one is insane enough to battle me,
I am so scary I'll wear my own mask for halloween."
Ukifikiri between lines, utaona uwezo mkubwa wa kufikiri hapa. Uwezo ambao hata Rapcha wakiwa watatu hawawezi kuufikia.
so B it isAngalia picha za yesu
Majibu yapo kwenye ngoma yake hii mbona,sio kila mtu lazima afanye mnachotakahalafu utetezi wao kila siku ni ''nasimamia nguzo''
Nigga you can do both
Ya saizi kapiga dakika 11 kabisa
Yuko sawa, huo mstari ni double entendre.Acha kutuona mazuzu, rack ni kitendo Cha kumtundika mtu au kumsulubisha mtu kwa kuachanisha mwili wake. Hiyo big loose utajiongeza
Basi huwa humuelewi jamaa. Kuna mtu anacheza na maneno na lines zake zimejaa double entendres kama Dizasta?Wordplay,metaphors,similes,double& tripple entendres.
Dizasta hana hizo yeye ana mistali mikavu yenye maana fikirishi.
sawa hata hizo by definition tutasema ni punch..Lakini ni weak punches kama za Hasbulla
Tuite taji la moto. Unaonaga Yesu anachorwa na kama jua limemzunguka kichwani, ile ndiyo halo. Anamwambia Cosmas kuwa taji la storytelling analo yeye.halo ni nini?
"Kuna mistari Vina anasema, "Dogo killer ukifuata hii umebip kifo."Sio kwamba wanadiss diss tu wanaangalia na wakumdiss, sio kila mtu unamtupia diss, behind the scenes wapo peace tu but ni km kuchangamsha rap isipoe Ila killer akitaka na yeye apewe atapewa tu diss akiweza aanzishe kilinge watu waruke nae,
Mkuu hip hop msingi wake ni kuelimisha na sio kuburudisha,jipe muda upitie historia ya hip hop tokea caribean mashambani huko enzi hizo jipe muda tuHii nayo ni misconception nyingine...Hiphop since day 1 ilianza kama mziki wa kuburudisha na ma MC wa kwanza kabisa walikuwa wanarap kwenye mabeat ya funk kwenye maparty huko bronx
walikuwa wanaomba DJ aaache sehemu biti liko wazi wanaanza kunarap vitu vya kuchekesha na kuburudisha (Huwezi kuanza kuhubiri kwenye party)
Hata ngoma ya kwanza ya rap kurekodiwa haikuwa ya kiuana harakati
Haya mambo ya harakati ndiyo yaliingia baadae baada ya harakati za uhuru,,,,Lakini hiphop has always been commercial
Hata founders wa hiphop wakifufuka saizi na kuona rap ndio new pop lazima watakuwa proud.
30000 tu mcheki insta kuna mawasilianoSana..japo nimeshindwa kupata album yake mpya
Ameamua tu kumkanya mtoto,japo masikitiko ni kwamba rapcha kuna punc nyingi sana kwenye hii ngoma hatozielewa.basi atakuja kujisifia kuwa yuko mainstream na anatesa na madem na anafahamika na yo yoo kibaoWhat the fu.ck is this guys?. I mean how can Dizasta waste 11 minutes kumdisi Rapcha. Rapcha, who is nobody in Hip Hop industry.
Nimesikita sana mkuu huyu Rapcha akatafute wamtaani huko hana anachojua.Ameamua tu kumkanya mtoto,japo masikitiko ni kwamba rapcha kuna punc nyingi sana kwenye hii ngoma hatozielewa.basi atakuja kujisifia kuwa yuko mainstream na anatesa na madem na anafahamika na yo yoo kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana material mengi wacha amchane, nakumbuka cassidy alimchana Meek mill na ngoma ina verse 15By the way Dizasta could've minimized his diss track song to four or five minutes and perhaps he is supposing not to waste his energy again, If Rapcha will manage to diss him back.
Ndio nami jamaa kanichanganya, au hajui maana ya double entendre..Rakim ni rapper anaesifiwa kwa rhymes kali na za kuelemisha, na AKA maarufu tangu miaka hiyo ya Rakim in GOD MC..nje ya mada,hivi kuna rapper US mwenye punchlines kumzidi Big L???Yuko sawa, huo mstari ni double entendre.
Be specific beat ipi mbovusema hipop za bongo beat mbovu sana
Ngoma gani?"Kuna mistari Vina anasema, "Dogo killer ukifuata hii umebip kifo."