Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Nature ya Hip Hop ni kuelimisha zaidi kuliko kuburudisha na ndio maana ilikuwa ikitumiwa kwenye maswala ya kiharakati za uhuru

Baadaye ndio watu wakaja na modern style ambayo humo wakaweka maswala ya burudani
Hii nayo ni misconception nyingine...Hiphop since day 1 ilianza kama mziki wa kuburudisha na ma MC wa kwanza kabisa walikuwa wanarap kwenye mabeat ya funk kwenye maparty huko bronx
walikuwa wanaomba DJ aaache sehemu biti liko wazi wanaanza kunarap vitu vya kuchekesha na kuburudisha (Huwezi kuanza kuhubiri kwenye party)
Hata ngoma ya kwanza ya rap kurekodiwa haikuwa ya kiuana harakati

Haya mambo ya harakati ndiyo yaliingia baadae baada ya harakati za uhuru,,,,Lakini hiphop has always been commercial

Hata founders wa hiphop wakifufuka saizi na kuona rap ndio new pop lazima watakuwa proud.
 
Umezingua usijitie ujuaji unajifaragua now get off, usirudie tena kujifaragua kwamba wewe ndio rapper wewe ndio unajua kuhusu rap wengine hawajui kuhusu rap, ujinga huo
Ice ice baby
Ice ice baby…


Bum rush the speaker that booms
I’m killin’ your brain like a poisonous mushroom

You better gain way
You better hit bull’s eye
The kid don’t play
 
Nature ya Hip Hop ni kuelimisha zaidi kuliko kuburudisha na ndio maana ilikuwa ikitumiwa kwenye maswala ya kiharakati za uhuru

Baadaye ndio watu wakaja na modern style ambayo humo wakaweka maswala ya burudani
Hivi hip hop darasa ilifia wapi??maana wanao rap now wengi hata hawajui nini wanafanya...na jamii ndio inawakubali kua WAKALI..
 
Hii nayo ni misconception nyingine...Hiphop since day 1 ilianza kama mziki wa kuburudisha na ma MC wa kwanza kabisa walikuwa wanarap kwenye mabeat ya funk kwenye maparty huko bronx
walikuwa wanaomba DJ aaache sehemu biti liko wazi wanaanza kunarap vitu vya kuchekesha na kuburudisha (Huwezi kuanza kuhubiri kwenye party)
Hata ngoma ya kwanza ya rap kurekodiwa haikuwa ya kiuana harakati

Haya mambo ya harakati ndiyo yaliingia baadae baada ya harakati za uhuru,,,,Lakini hiphop has always been commercial

Hata founders wa hiphop wakifufuka saizi na kuona rap ndio new pop lazima watakuwa proud.

Harakati ziliingia baadaye nani kasema?

Hiyo unayozungumzia hapo ni mwaka gani?
 
Mwanzoni mwa 1970 ndio mwaka ambao Hip Hop ilivuma kufatia hatua ya ukosoaji wa mambo negative katika serikali na siasa kiujumla
ngoma ya kwanza ya kiharakati imetoka mwaka gani na inaitwaje?
 
Back
Top Bottom