Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Yes kitambo hicho baba Fid hataki mchezo na jukwaa, ana hasira na Jukwaa balaa kabla hajatoa I am Professional,

dada zako wako wakiniona mtaani utasiki Fid Q/
Fid Q dot Com Mwanza ndio home
Kwenye fid Q dot com mstari uliotesa Sana Ni ule...
Akikupiga ngumi ya jicho na we mpige ngumi ya sikio...
Akikuuliza unaonaje na we muulize unajisikiaje.....
 
Rapcha ana hit song ya Lisa kwanini hana hit song ya nyimbo zingine

Kwanini nyimbo zake zote zisiwe na hit song kama kweli kigezo cha hit song ni ubora na kuwa mainstream sana?

Hit song inaweza ikatokea hata kwa coincidence tu

Mwaka 2017 Darasa alikuwa na hitsong ya maisha na muziki ambayo ilimfunika hadi Diamond ambaye ni msanii wa mainstream kwa muda wote

Yule dada aliyeimba yerusalem unafikiri hana nyimbo zingine?

Ulifatilia Diss ya Mawenge kwa Nikki? Uliona views alizo gain kwa muda mchache tangu aachie ile diss

Kwa hiyo utasema zile numbers alibustiwa na Nikki kutokana na fame yake kwenye mainstream?
Hit ni sayansi...Huwezi kutoa ngoma mbovu ikahit
inabidi utoe ngoma kali kuliko zote(kwa genre zote) kwa kipindi hiko au iwe top 5 ili iwe hit,
hizo zote ulizotaja jerusalem na muziki ni ngoma kali.
Tatzo Dizasta hajawahi kutoa ngoma ikawa kali hata top 10 kwa kipindi hiko
NB: Napoongelea ukali wa ngoma ni package yote sio mistari tu..kuanzia idea,topic,beat,style,nk.

Halafu hizi diss zinatrend kwasababu ya drama, wabongo wanapenda drama
 
Ni ishara ya kuonesha kuwa hata pumzi ya ku flow lisaa limoja anayo

Ni ngumu sana dakika 11 ukaimba cha maana, hilo Dizasta amelifanya lionekane ni rahisi sana kwake
Yap maana Kuna wasanii wanashindwaga kumaliza dakika 10 tu za maangamizi
 
Hahahahhahaah we jamaa sijui Kama unajua unachokiongea....
Kwahiyo Dizasta Hana hit song ..
Umeiskiliza kanisa? Sister kadata, no body is safe, hatia, siku mbaya na SHAHIDI...

Kwanza n aibu Dizasta kubato na dogo Kama Raptcha ambaye hana punchline hata moja tangu aanze kuchana...
Anataka ipokelewe kwa ukubwa ule ule ambao wimbo wa msanii wake anayemkubali ulivyokuwa massive
 
Pale ambapo alipoanza kuonesha nia ya kutaka kurap kuendana na soko
Ahaa nyie ndio wale oldhheads mnataka mtu asiwe versatile abaki kama jiwe.
Kiberiti ni kali kuliko hizo ngoma ulizozitaja sema hujaipa attention

Nakuacha na hizi quotes
Wakati ni ukuta
Change is inevitable
The only thing permanent is impermanence
 
Anataka ipokelewe kwa ukubwa ule ule ambao wimbo wa msanii wake anayemkubali ulivyokuwa massive
Raptcha kuhit na Lisa Wala sio kwamba ilikua ngoma Kali... Sasa kweli eti akapiga tako mbili akamwagia ndani ndo Nini??
Huyu jamaa asikilize punch kwenye ngoma ya KANISA ..
Sikuhitaji maswala ya kugawana madhehebu waumini dhaifu wanahamahama Kama wehu...
 
Hahahahhahaah we jamaa sijui Kama unajua unachokiongea....
Kwahiyo Dizasta Hana hit song ..
Umeiskiliza kanisa? Sister kadata, no body is safe, hatia, siku mbaya na SHAHIDI...

Kwanza n aibu Dizasta kubato na dogo Kama Raptcha ambaye hana punchline hata moja tangu aanze kuchana...
Hizo ni ngoma kali ila sio hit. unajua maana ya hit?
Hizo ngoma unazijua wewe na masela zako wa ghetto na mnazikubali kinyama mkitoka kuvuta bangi
 
Raptcha kuhit na Lisa Wala sio kwamba ilikua ngoma Kali... Sasa kweli eti akapiga tako mbili akamwagia ndani ndo Nini??
Huyu jamaa asikilize punch kwenye ngoma ya KANISA ..
Sikuhitaji maswala ya kugawana madhehebu waumini dhaifu wanahamahama Kama wehu...
inaoneana hamjui hata maana ya mziki..basi tumsikilize sasa hata mpoto
 
Hit ni sayansi...Huwezi kutoa ngoma mbovu ikahit
inabidi utoe ngoma kali kuliko zote(kwa genre zote) kwa kipindi hiko au iwe top 5 ili iwe hit,
hizo zote ulizotaja jerusalem na muziki ni ngoma kali.
Tatzo Dizasta hajawahi kutoa ngoma ikawa kali hata top 10 kwa kipindi hiko
NB: Napoongelea ukali wa ngoma ni package yote sio mistari tu..kuanzia idea,topic,beat,style,nk.

Halafu hizi diss zinatrend kwasababu ya drama, wabongo wanapenda drama
Kwanza unatakiwa kujua

Dizasta hajawahi kutumia nguvu ya media kupromote kazi zake

Huwa anakomaa yeye kama yeye bila support ya mtu mwingine nyuma yake.

Pengine nafasi aliyokuwa nayo Dizasta angekuwa ni Rapcha hata mtaani kwake anpotokea asingejulikana

Na hiyo nafasi ya Rapcha kwa ubora wa Dizasta angekuwa far kuliko hapo alipo Rapcha

Dizasta alikwisha kataa kuwa chini ya management ya mtu na watu wengi wamemfata lakini aliwatolea nje

Yupo mmoja akamuambia uwe unaimba commercial nitaku fund kila kitu lakini aligoma.

Swala la top 10 haliangaliwi kwa kuzingatia ubora wa nyimbo na ndio maana hata huyo Rapcha unamuona analalamika kuhusu tuzo ya Lunya kuwa ilikuwa yake ila kuna figisu zilifanyika

Sasa kama figisu zinafanyika kwenye tuzo inashindikana vipi kwenye top 10

Unajua nini kuhusu scandal za wakali wa media?
 
Kwenye fid Q dot com mstari uliotesa Sana Ni ule...
Akikupiga ngumi ya jicho na we mpige ngumi ya sikio...
Akikuuliza unaonaje na we muulize unajisikiaje.....
Najua inakuuma unapokohoa mi sikohoi/
Unafuja nguvu kwa nyuma ku-rap wewe goigoi/
Unazuga una zangu tuma unatuma unavua kikoi/
Unaposikia upinzani hakuna unanuna unakua uinjoi/

Napakua nyimbo naingia Chimbo km Al-Qaidaaa/
Napiga fimbo kiasi tu kimtindo km kawaidaaaa/
 
Yaani Dizasta haingii kwa Cado
Kwenye upande wa freestyle Cado Ni kisanga acha kabisa unaweza kuabika nilikuaga nahudhuria pale micasa lounge nisikilize tu michano [emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
Kuna maMC walikua wakipagwa na Cado wanatokomea mitini
 
Midamu tu
Kwenye upande wa freestyle Cado Ni kisanga acha kabisa unaweza kuabika nilikuaga nahudhuria pale micasa lounge nisikilize tu michano [emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
Kuna maMC walikua wakipagwa na Cado wanatokomea mitini
 
Najua inakuuma unapokohoa mi sikohoi/
Unafuja nguvu kwa nyuma ku-rap wewe goigoi/
Unazuga una zangu tuma unatuma unavua kikoi/
Unaposikia upinzani hakuna unanuna unakua uinjoi/

Napakua nyimbo naingia Chimbo km Al-Qaidaaa/
Napiga fimbo kiasi tu kimtindo km kawaidaaaa/
Niite mc anayevuma ndevu zinawasha ka upupu
Kama utakua hujavuma vipi utapata umaarufu...
[emoji16][emoji16]
 
Kwanza unatakiwa kujua

Dizasta hajawahi kutumia nguvu ya media kupromote kazi zake

Huwa anakomaa yeye kama yeye bila support ya mtu mwingine nyuma yake.

Pengine nafasi aliyokuwa nayo Dizasta angekuwa ni Rapcha hata mtaani kwake anpotokea asingejulikana

Na hiyo nafasi ya Rapcha kwa ubora wa Dizasta angekuwa far kuliko hapo alipo Rapcha

Dizasta alikwisha kataa kuwa chini ya management ya mtu na watu wengi wamemfata lakini aliwatolea nje

Yupo mmoja akamuambia uwe unaimba commercial nitaku fund kila kitu lakini aligoma.

Swala la top 10 haliangaliwi kwa kuzingatia ubora wa nyimbo na ndio maana hata huyo Rapcha unamuona analalamika kuhusu tuzo ya Lunya kuwa ilikuwa yake ila kuna figisu zilifanyika

Sasa kama figisu zinafanyika kwenye tuzo inashindikana vipi kwenye top 10

Unajua nini kuhusu scandal za wakali wa media?
Skuizi kwa hizi tools kama youtube,boomplay,social medias nk. ni ujinga bado kulalamikia media kuhusu figisu kupata hitsong.
Tuzo ni kitu kingine...Kwanza tuzo kibongobongo hazina maana yoyote sijui hata kwanini wanazililia

Kwa mziki aina ya wake ni ngumu kwenda mainstream kwa soko la sasa.
then kwenda commercial mnasema mnadhani ni simple unaamka tu asbuhi unaamua kuanzia leo naimba commercial, hiyo nayo ni skillset...Na hiyo skill ya commercial dizasta hana,
 
Hizo ni ngoma kali ila sio hit. unajua maana ya hit?
Hizo ngoma unazijua wewe na masela zako wa ghetto na mnazikubali kinyama mkitoka kuvuta bangi
Sasa hapo hata mwenyewe ukiona nyimbo ambayo haina lyrical ipo ipo tu afu ime hit

Wakati huo kuna mkwaju mkali unakila vigezo lakini hausikiki u afikiri doubt yako itakuwa kwenye kitu gani

Hapo si lazima u question fikra za hao watu wanaopapalika na nyimbo mbovu wakati kuna ngoma kali za kueleweka zipo na hawazipi time
 

/No one is insane enough to battle me/
/Im so scary I’ll wear my own mask on Haloween/


Kwangu hii ni best hiphop song of 2023 and best diss truck of the year, na siamini kama Rapcha ataweza kuimudu hii ngoma Disazta ameshamaliza.
 
Skuizi kwa hizi tools kama youtube,boomplay,social medias nk. ni ujinga bado kulalamikia media kuhusu figisu kupata hitsong.
Tuzo ni kitu kingine...Kwanza tuzo kibongobongo hazina maana yoyote sijui hata kwanini wanazililia

Kwa mziki aina ya wake ni ngumu kwenda mainstream kwa soko la sasa.
then kwenda commercial mnasema mnadhani ni simple unaamka tu asbuhi unaamua kuanzia leo naimba commercial, hiyo nayo ni skillset...Na hiyo skill ya commercial dizasta hana,
Mpaka hizo platform zikulipe au zikufanye uwe popular lazima nguvu ya media itumike au ulishajulikana

Na ndio maana wasanii wengine wanaona njia nyepesi wao kujulikana ni kufanya collabo na artists ambao wapo kwenye rank za juu

Wakiamini kwamba kupitia majina ya hao mastaa wanaweza kugain followers na fans ambao watamsaidia ku push kazi zake kwenye platfom hizo ulizozitaja.

Lakini leo hii ukasema uingine studio utoe nyimbo ukitegemea boomplay sijui audiomark mbona utakwama.
 
Back
Top Bottom