Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Sasa hapo hata mwenyewe ukiona nyimbo ambayo haina lyrical ipo ipo tu afu ime hit

Wakati huo kuna mkwaju mkali unakila vigezo lakini hausikiki u afikiri doubt yako itakuwa kwenye kitu gani

Hapo si lazima u question fikra za hao watu wanaopapalika na nyimbo mbovu wakati kuna ngoma kali za kueleweka zipo na hawazipi time
Art is as potent as its audience.
Kazi kuu ya mziki ni kuburudisha, sasa ukiona ngoma yako haihit na ina mistari mikali ujue haiburudishi

sawa mpo nyie mnaoburudika na mistari, ila ni wachache

Artist akiona ngoma yake haihit asilaumu wasikilizaji,inabidi astudy kwanzaa market then awape wanachotaka waburudike.

Afu sio kwamba watu hawapendi mistari mikali, wanapenda ndio,ila kuna vitu vya ziada zaidi ya apo wanataka.....dizasta inabidi acheze na wote yani ngoma inaburudisha na iwe na mistari mikali.
 
Art is as potent as its audience.
Kazi kuu ya mziki ni kuburudisha, sasa ukiona ngoma yako haihit na ina mistari mikali ujue haiburudishi

sawa mpo nyie mnaoburudika na mistari, ila ni wachache

Artist akiona ngoma yake haihit asilaumu wasikilizaji,inabidi astudy kwanzaa market then awape wanachotaka waburudike.

Afu sio kwamba watu hawapendi mistari mikali, wanapenda ndio,ila kuna vitu vya ziada zaidi ya apo wanataka.....dizasta inabidi acheze na wote yani ngoma inaburudisha na iwe na mistari mikali.
ile kichwa imefunga kazi kula msuba tu
 
Mpaka hizo platform zikulipe au zikufanye uwe popular lazima nguvu ya media itumike au ulishajulikana

Na ndio maana wasanii wengine wanaona njia nyepesi wao kujulikana ni kufanya collabo na artists ambao wapo kwenye rank za juu

Wakiamini kwamba kupitia majina ya hao mastaa wanaweza kugain followers na fans ambao watamsaidia ku push kazi zake kwenye platfom hizo ulizozitaja.

Lakini leo hii ukasema uingine studio utoe nyimbo ukitegemea boomplay sijui audiomark mbona utakwama.
tusisahau hao watu wa media they are just that..... 'watu'
Na wao pia ni fans na wanareflect soko.
kwahyo my point ukiwa unajua kwendana na soko hao media watakufata wenyewe tu.
Mbona Rapcha Majani alifunga safari mpaka Shinyanga kumchukua dogo wa form 5?

Hizi stori za media inanibania huwa kwangu hazimake sense
 
Art is as potent as its audience.
Kazi kuu ya mziki ni kuburudisha, sasa ukiona ngoma yako haihit na ina mistari mikali ujue haiburudishi

sawa mpo nyie mnaoburudika na mistari, ila ni wachache

Artist akiona ngoma yake haihit asilaumu wasikilizaji,inabidi astudy kwanzaa market then awape wanachotaka waburudike.

Afu sio kwamba watu hawapendi mistari mikali, wanapenda ndio,ila kuna vitu vya ziada zaidi ya apo wanataka.....dizasta inabidi acheze na wote yani ngoma inaburudisha na iwe na mistari mikali.
Artist ni fasihi na fasihi haikupi kitu kimoja tu (burudani) kama ambavyo unataka kutuaminisha.

Artist anaweza akakuelimisha pia sasa katika hizo nyimbo unazoziita hit song kuna elimu yeyote mle?

Wasanii wa namna hiyo ambayo una wish Dizasta angekuwa, unafikiri mtaani kwenu hawapo?

Why hawasikiki wakati wana rap commercial unayoifikiria kuwa ni nzuri kupata hit?
 
"So ama rack him, giving him a Big L,
Watching him die by my side,
While I enjoy the big sale"


Hizo double entendres zimepigwa humo ni hatari
Rack him =Rakim
Big L(Big Lose) pia rapper mtata Big L
 
Artist ni fasihi na fasihi haikupi kitu kimoja tu (burudani) kama ambavyo unataka kutuaminisha.

Artist anaweza akakuelimisha pia sasa katika hizo nyimbo unazoziita hit song kuna elimu yeyote mle?

Wasanii wa namna hiyo ambayo una wish Dizasta angekuwa, unafikiri mtaani kwenu hawapo?

Why hawasikiki wakati wana rap commercial unayoifikiria kuwa ni nzuri kupata hit?
Art ina vingi zaidi ya burudani lakini burudani ndio Msingi mkuu wa sanaa.
hivi vingine kama Kuelimisha ni kama tyles na rangi tu kwenye nyumba.
Mimi simjui msanii anayeburudisha akalala njaa.
 
tusisahau hao watu wa media they are just that..... 'watu'
Na wao pia ni fans na wanareflect soko.
kwahyo my point ukiwa unajua kwendana na soko hao media watakufata wenyewe tu.
Mbona Rapcha Majani alifunga safari mpaka Shinyanga kumchukua dogo wa form 5?

Hizi stori za media inanibania huwa kwangu hazimake sense
Kwanza unatakiwa ujue vitu kadhaa

Kuchukuliwa na mtu na ukawa chini yake haina maana kwamba anafanya hivyo kwa kusapoti kipaji chako bali na wewe unakuwa ni sehemu ya kuendesha maisha yake.

Meneja ameona kwa umri wa huyu dogo hawezi kuhitaji mambo mengi zaidi ya fame na vipesa vya kubadilishia nguo tu

Which means angemfata mtu anayejitambua kama Dizasta au P Mawenge wangesema tuandikishane mkataba mia nachukua asilima hizi na wewe utakuwa unachukua hizi (kitu ambacho meneja asingeruhusu)

Lakini jambo la pili ni kwamba hao kina Dizasta sio kama hawafatwi na mameneja, ishu ni pale meneja anapotaka akupangie mtindo flani wa uimbaji anaouona yeye kuwa ndio unafaa.

Sasa kwa mtu kama Rapcha hilo kwake inaweza ikawa ni easy sana lakini kwa Dizasta hawezi kukubali

Muangalie Maarifa aliyekuwa anachana way back akiwa kibaha mfananishe na huyu Maarifa baada ya kukutana na Madee
 
Moja
Mbili
Tatu
Nne

Nikichambua hadi mwisho na ukisikiliza sivyo km ulivyoandika, hakuna vina na ameenda nje ya beat pia, kwenye ukweli sema ukweli na mrekebishe mtu sio kila kitu unasifia tu akibolonga mchane pia ili akae kwenye mstari
Kumbe hata hujui rap
 
Art ina vingi zaidi ya burudani lakini burudani ndio Msingi mkuu wa sanaa.
hivi vingine kama Kuelimisha ni kama tyles na rangi tu kwenye nyumba.
Mimi simjui msanii anayeburudisha akalala njaa.
Nature ya Hip Hop ni kuelimisha zaidi kuliko kuburudisha na ndio maana ilikuwa ikitumiwa kwenye maswala ya kiharakati za uhuru

Baadaye ndio watu wakaja na modern style ambayo humo wakaweka maswala ya burudani
 
Sio lazima wakati mwingine kutumia vina..au umesahau ushauri aliopewa fid q na Kabacha wa kwanza unit??
Unarap wewe una ngoma ngapi wewe hadi sasa? Unaejiona unajua ku-rap una ngoma ngap zinazofahamika? Battle ngap ushafanya hadi sasa unaejua ku-rap? Au unabwata tu na wewe uonekane? Fack U
 
Bahati mbaya sijazoea lugha ya matusi, nilidhani tupo kupeana mawili matatu...endelea boss
Umezingua usijitie ujuaji unajifaragua now get off, usirudie tena kujifaragua kwamba wewe ndio rapper wewe ndio unajua kuhusu rap wengine hawajui kuhusu rap, ujinga huo
 
Back
Top Bottom