safi umefunga topic........Kwangu mimi Nas ni bora zaidi kuliko Jay Z, nina sababu moja strong, Jay Z sikuzote anaimba kuhusu ufalme, utajiri, magari makali, nyumba nzuri, ushetani( illuminati), madem wakali, kujirusha na mengine ya kifahari, Wakati nikimsikiliza Nas nakuta story telling, harakati, habari za mtaani,....... Hapa sina budi kumpenda Nas zaidi. Sikiliza nyimbo ya Nas inaitwa One love.
Duh Jay rock and 50 cent so where is KanyeList yangu ya wakali Wa hip hop Wa mda wrote
1.tupac
2.Eminem
3.jay z
4.big poppa
5.snoop
6.Scarface
7.nas
8.lil Wayne
9.jay rock
10.50 cent
Haina ubishi kwa upande wa Iggy Ila kwa Em🤨Sema Eminem hana kitu ..ni uzungu tu unambeba kama kina Iggy azaelia eti nao wanalinganishwa ni Nicki minaj...hata cardi b angekua pure black asingetrend hivo
Kwanini umesupport kwa Iggy?? Kwasababu Iggy amekuja wewe umeshakua na umepata utambuzi Wa ngano na chuya lakini kwa watoto Wa saivi hawaelewi propaganda na watakuambia Iggy mkal kuliko Nicki..so naww kipind Em anakuzwa ulikuwa mdogo kuzijua propaganda kipindi kile wanamlinganisha na jayz na Wayne when in reality alikuwa hana kitu kwao.Haina ubishi kwa upande wa Iggy Ila kwa Em[emoji2955]
Huu ni zaidi ya upuuzi no 2pac Dr dre coolio harafu Lil Wayne sijui Lamar pumbavu tupu.
😂😂😂unaongea kana kwamba unaujua umri wangu yaani...basi sawa mkuuKwanini umesupport kwa Iggy?? Kwasababu Iggy amekuja wewe umeshakua na umepata utambuzi Wa ngano na chuya lakini kwa watoto Wa saivi hawaelewi propaganda na watakuambia Iggy mkal kuliko Nicki..so naww kipind Em anakuzwa ulikuwa mdogo kuzijua propaganda kipindi kile wanamlinganisha na jayz na Wayne when in reality alikuwa hana kitu kwao.
Real Hiphop ni nini? Wakuu msanii lazima awe na perception na vision yake kisha aanze kutupa burudani na elimu huku akimaliza na biashara katika angle hiyo ya aliyoamua.Jay Z sio msanii wa kawaida ukijipa muda kumsikiliza.Zamani nilikuwa sikubali kabisa kuhusu Jay Z wakati huo ngeli ilikuwa inanipiga ngwara na sikuwa na devices za kufatilia vizuri.Kwangu mimi Nas ni bora zaidi kuliko Jay Z, nina sababu moja strong, Jay Z sikuzote anaimba kuhusu ufalme, utajiri, magari makali, nyumba nzuri, ushetani( illuminati), madem wakali, kujirusha na mengine ya kifahari, Wakati nikimsikiliza Nas nakuta story telling, harakati, habari za mtaani,....... Hapa sina budi kumpenda Nas zaidi. Sikiliza nyimbo ya Nas inaitwa One love.
Mkuu...hata Illmatic haipo?Album bora 5 bora mbele
1.all eyes on me
2.emeritus
3.get rich or die trying
4.the documentary
5.blue carpet
Mzee amekuwa anatoa mizigo mfululizo hapa kati...na zote nyundo!
1.Dizasta vinaTurudi nyumban tz, list ya ma emcs bora miaka yote
Duuuuuu1.Dizasta vina
2.Nikki mbishi
3.P mawenge
..........
KWA ufupi wote waliowai kupita KWA duke,TAMADUN MUZIK
Jamaa Noma HuyuMex Cortez - Barbender 1
Source : Mex Cortez
One The Incredible1.Dizasta vina
2.Nikki mbishi
3.P mawenge
..........
KWA ufupi wote waliowai kupita KWA duke,TAMADUN MUZIK