Hip hop Facts Thread

Hip hop Facts Thread

1461877090261.jpg


Album ya kwanza ya AY kama solo ilitoka mwaka 2003 ikiwa na classics kama Raha tu, Machoni kama watu na Safi hiyoo.
 
Mambo vipi wakuu, hip hop ni fans and not otherwise.......sisi mashabiki ndo tunakubali nani ni best Vs worst MC
pita pita zangu katika net nimekutana na hii page ambayo washabiki ndo tuna choose who is the best

The Greatest Rappers of All Time
Hiyo list namashaka nayo... Eminem juu ya Nas na Notorious na huyo jigga kaingiaje top 5.kwa Tupac wapo sahihi kabisa.
 
According to billboard awa ndio mcs wakali kuwai kutokea duniani




1. BIG POPA

2. Jay Z

3. Eminem

4. Rakim Allah

5. Nas

6. Andre 3000

7. Lauryn Hill

8. GhostFace Killa

9. Kendrick Lamar

10. Lil Wayne
siwezi kushangaa kutoona uwepo wa 2pac coz 2pac ni wa-kipekee,sayari ya pekee hapo hakuna wa kumlinganisha na 2pac labda kwa mbali sana rakim anafuata
 
Songalaeli Joseph Mwagala aka Songa ni rapper kutoka Singida ambaye yupo chini ya label ya Tamaduni Muzik. Anaunda pia kundi liitwalo Miraba Minne akiwa na wenzake P The MC, Nash MC na Zaiid. Songa ni miongoni mwa rappers wapya Tanzania wanaofanya vizuri sana.

Amesimama kwenye misingi yake ya Hiphop tangia day one, naweza sema ni moja ya ma-mc wakali kabisa kutokea kizazi cha sasa.

1457454_669225296537830_3930892499418583179_n.jpg


Tazama video niliyounganisha uelewe kipaji chake.
 

Attachments

ll6.jpg



Rapa bora kabisa LANGA alikuwa na biff kubwa kati yake na J Moe. Chanzo cha biff lao ni J Moe kumchana kwenye wimbo wake wa Jipange kuwa anatumia madawa ya kulevya...

J Moe '' amani kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"

Langa kwenye wimbo wa 'Gangstaa' akajibu "amani kwa kaka voda milionea mwambie mo aache ushoga na umbea"

Baada ya Langa kujitangaza kaacha kula unga alitaka kufanya wimbo na J Moe ila Moe akakataa, ila aliachia huo wimbo huku akirejea ule mstari kwa kusema " amani kwa kaka voda milionea mwambie Moe nimeacha poda sili mmea"

Licha ya kupambana na kuacha madawa ila alidanja kwa overdose.

wimbo bora kabisa toka kwa Langa kwa upande wangu ni Kifo, Jela Au Tahasisi huu hapa
 

Attachments

10363555_960069664048343_2391762768691849029_n.jpg



Nash MC aka Zuzu ndio rapa wa sasa anaetumia kiswahili fasaha zaidi kwenye tungo zake.
Simwelewi kabisa huyu jamaa.
Songalaeli Joseph Mwagala aka Songa ni rapper kutoka Singida ambaye yupo chini ya label ya Tamaduni Muzik. Anaunda pia kundi liitwalo Miraba Minne akiwa na wenzake P The MC, Nash MC na Zaiid. Songa ni miongoni mwa rappers wapya Tanzania wanaofanya vizuri sana.

Amesimama kwenye misingi yake ya Hiphop tangia day one, naweza sema ni moja ya ma-mc wakali kabisa kutokea kizazi cha sasa.

1457454_669225296537830_3930892499418583179_n.jpg


Tazama video niliyounganisha uelewe kipaji chake.
 
ll6.jpg



Rapa bora kabisa LANGA alikuwa na biff kubwa kati yake na J Moe. Chanzo cha biff lao ni J Moe kumchana kwenye wimbo wake wa Jipange kuwa anatumia madawa ya kulevya...

J Moe '' amani kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"

Langa kwenye wimbo wa 'Gangstaa' akajibu "amani kwa kaka voda milionea mwambie mo aache ushoga na umbea"

Baada ya Langa kujitangaza kaacha kula unga alitaka kufanya wimbo na J Moe ila Moe akakataa, ila aliachia huo wimbo huku akirejea ule mstari kwa kusema " amani kwa kaka voda milionea mwambie Moe nimeacha poda sili mmea"

Licha ya kupambana na kuacha madawa ila alidanja kwa overdose.

wimbo bora kabisa toka kwa Langa kwa upande wangu ni Kifo, Jela Au Tahasisi huu hapa

Kwangu ni rafiki WA kweli
 
13012655_1290442464316914_1174326941174116264_n.jpg


Zaiid aka Zaidi Yao ni rapa mwenye undugu na mwanzilishi wa Kwanza Unit Crew Zavara Mponjika au zamani alijulikana kama Chief Rhymson aka MwanaVina.

Zaiid anamuita Zavara mjomba, pia zaidi ni mdogo wa mtangazaji maarufu Soud Mnete.
 
Album bora ya hip hop - Funga kazi (sina uhakika kama ndio iliitwa hivyo) ya Hard Blasters Crew. Ina all time relevant issues. Rushwa, ubadhirifu, Upendeleo, mapenzi, siasa, masuala ya kijamii, etc etc.

Msanii bora wa hip hop wa muda wote - Prof Jay. Album yake ya kwanza ndio ili-transform game yote. + he's got more classics than any other rapper, chemsha bongo, Bongo Daresalaam, etc.

Wimbo bora wa hip hop - Chemsha bongo. Forever a classic.

Kwa mtazamo wangu.
Nuff said
 
Bila kuwasahau ghostface killer, capadona, gza, rza ndani ya wutang clan, az, infamous mobb deep, fu-schinikens,

Lakini pia c.l smooth na Pete Rock. Eric sermon, perish smith wa kundi la epmd.

Hata hivyo sitawasahau west coast rappers kama b-legit, rappin4tay, MC eight, e40, kurupt, daz dilinger, coolio, dramacydle, spice 1, Rufus black, the outlawz, 8ball, mjg,

Sent from my XT1080 using JamiiForums mobile app
RassKass nae ana flow ya hatari.
 
[QUOTE"NEW NOEL, post: 15268215, member: 44297"]Kwanini uamini Billboard?
Wewe unaamini hiyo list imekamilika?
Kwanini infuential rapper kama 2PAC hawajamweka?
Kwanza hiyo list inaonekana ipo biased sana.
Nilitegemea mtu kama 2pac awepo,nilitegemea NWA wawepo.
Kwa sababu mimi ninaamini kuwa mc mkali lazima uwe CHANGE AGENT. Sasa kwa mtu kama Kendric Lamar ambaye hana hata miaka 5 kwenye peak ya muziki huu unakuja kusema ni mc mkali?
Sikatai kuwa Kendric ni mkali lakini hiyo ya kusema mcs wakali kuwahi kutokea duniani.


Billboard ni source makini ukitaka kupresent data za music, na hakika wamefanya research kabla ya kuja na hiyo list man.[/QUOTE]
Billboard is industry centric, kwenye hiphop you have to consider loco and underground MCs, yani pamoja na ufahamu wako kwenye hiyo list kumkosa mtu kana krs-one haikupi shaka?

Fuatilua hiphop vizuri, na hiphop ya kweli haiko billboard wala kwenye mainstream media....
 
Back
Top Bottom