Hip-hop freestyle battle : special thread

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Oy! Oy! Oyiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Huu ni uwanja special kwa wana wanaofeel hip-hop, kama we nimkali WA freestyle Kama ni mc Una ngoma zako ziangushe hapa wana wazisikie.

Wana wa michano kuchanana no matusi Karibu tuchane tusukume gurudumu la hip-hop.

Yeah!! Mike Cheki

Kamwe sitoshinda bubu, Nina gadhabu za kutosha..... ///
Mchumba usilete gubu, mi ndo babu ninapambana na Maisha... ///
Macho kwenye ruzuku, ukizubaa unafichwa.. ///

OK! Waharibie
 
Uzi wa namna hii upo. Ila kwa vile mi mdau ngoja nishushe hata vilyrics viwili vitatu.

Ok, beyond rap nation
Mi ndiyo rais/

Paparz take caption
Nagani isiyo rahis/

Pole ulopewa peas
Nakuuasi utamu wa nanasi/

Kwa promo za peps
Na ufutu wa nafsi/

Vimefanya mnatughas
Mnatupenga ka kamasi/

Naburn bais
Kiukweli nipo true/

Marapa wengi still lairs
Muulize hata wahuu/
 
Oh man it's been a minute, not sure I can still kick / a few lines off the top, need some provocation to spit / who's the challenger..? you already know the drift / let's get it on, see if we can get this sh!t lit /
 
Oh man it's been a minute, not sure I can still kick / a few lines off the top, need some provocation to spit / who's the challenger..? you already know the drift / let's get it on, see if we can get this sh!t lit /
Ndiyo Twende
 
Gud
 
Wanajifanya wanaweza wakipewa nafasi wanateleza

Wanonekan wanaweza but bila police mchezo wanaupoteza

Ni mda mrefu wanatuona wajinga kwa kula jasho letu

Na hii haiwekani kufika mwisho mwanakwetu
 
Jua ni Kali na hali Siyo Shwari... //
Msoto nautafakari, ni vipi nitaupata ugali.. //
Dingi ni sadali miaka kumi na mbili..
Anawindwa na hii serikali.... //


DAh najaribu
 
moja mbili tatu
nateleza kama chatu
akili yangu fyatu
kama soli ya kiatu...

dah kaaazi kweli kweli..
hivi kwani form five wanaanzaga kusoma mwezi gani?
 
Wanajifanya wanaweza wakipewa nafasi wanateleza

Wanonekan wanaweza but bila police mchezo wanaupoteza

Ni mda mrefu wanatuona wajinga kwa kula jasho letu

Na hii haiwekani kufika mwisho mwanakwetu
Ndyo irushe mitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…