Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Maneno yako ya mwisho yatakuwaje endapo akatokea mtu akakuwekea bastola kichwani kisha akakupa nafasi uongee maneno yako ya mwisho kabla hajakuua??
Naanza na mimi
Je nitatamani niwaombe msamaha wale wote niliowakosea kabla sijafa?, ili nikifa niende pepo yenye furaha isiyo na maafa/
Je nitajutia maamuzi yangu niliyoyafanya kipindi ambacho nina afya, au nitasizi na kukomaa kimafia?/
Au nitapiga kelele kuomba msaada kwa watu niepukane na kifo, Au kupiga dua kushirikisha malaika wamshushe kristo/
Ugekua wewe ungeweza kumsamehe hadi muuaji ambaye atayateketeza maisha yako, au roho yako itakua ngumu kufunguka kama lango la gereza la keko/
Utaweza kuyafanya hayo ili kuipata pepo uliyoaidiwa na dini yako, au utajivika ukauzu kupuuzia habari za dini na mambo ya upako/
Utakumbuka kutaja ID yako ili tukukumbuke nasisi kwa mchango wako, au hutajali utafanya mambo kibinafsi kivyako vyako?/
Je utajutia kupoteza muda wako,,,kwa watu ambao hawajawahi kuweka muda wao kwa ajiri yako??/
Utakufa ukiwa bado unakinyongo na mimi, kwa zile mada nazozipinga hapa jamvini?/
Inamaana hujawahi kufurahishwa na mimi, hata kwa zile post za utani wa vituko mitandaoni?/
Please dont let me down, nami pia ni mtu japo ngozi yangu ni brown/
.............Mwisho.......
Usisahau kuweka na yako
Mvumbo Daby
Da'Vinci
kurlzawa
Naanza na mimi
Je nitatamani niwaombe msamaha wale wote niliowakosea kabla sijafa?, ili nikifa niende pepo yenye furaha isiyo na maafa/
Je nitajutia maamuzi yangu niliyoyafanya kipindi ambacho nina afya, au nitasizi na kukomaa kimafia?/
Au nitapiga kelele kuomba msaada kwa watu niepukane na kifo, Au kupiga dua kushirikisha malaika wamshushe kristo/
Ugekua wewe ungeweza kumsamehe hadi muuaji ambaye atayateketeza maisha yako, au roho yako itakua ngumu kufunguka kama lango la gereza la keko/
Utaweza kuyafanya hayo ili kuipata pepo uliyoaidiwa na dini yako, au utajivika ukauzu kupuuzia habari za dini na mambo ya upako/
Utakumbuka kutaja ID yako ili tukukumbuke nasisi kwa mchango wako, au hutajali utafanya mambo kibinafsi kivyako vyako?/
Je utajutia kupoteza muda wako,,,kwa watu ambao hawajawahi kuweka muda wao kwa ajiri yako??/
Utakufa ukiwa bado unakinyongo na mimi, kwa zile mada nazozipinga hapa jamvini?/
Inamaana hujawahi kufurahishwa na mimi, hata kwa zile post za utani wa vituko mitandaoni?/
Please dont let me down, nami pia ni mtu japo ngozi yangu ni brown/
.............Mwisho.......
Usisahau kuweka na yako
Mvumbo Daby
Da'Vinci
kurlzawa