Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
FUNDI KHAMIS MIGEBUKA wa KigomaWakali wa media ni wale wadau waliokuwa maarufu sana maredioni karibia kila kipindi wao wanapiga simu kutoa maoni
Ikafika hatua media zikawa zimesave number zao kabisa na kuwa treat kama ni sehemu ya wadau wakubwa wa redio
Kutokana na mchango wao media ilikuwa inawapigiwa promo biashara zao na hata siku ikitokea events studion walikuwa wana alikwa. Kama ushawahi msikia Daudi wa Kota, Chesko Matunda nk hao ni mfano tu ila walikuwa wengi
Hawa watu wa media waliambiwa wawe wana request nyimbo za msanii fulani ambaye huyu msanii ndio ana maslahi na media ili kuaminisha wasikilizaji kuwa msanii anakubalika na wadau
It's still a cheap excuse, Roma and Stamina hawapishani na sana na Dizasta kuingia kwenye game and they don't mumble whatsoever but they're big guns in the game. They've flows and lyrics of tremendous standards to make them be where they are.Kuna vitu unashindwa kuviweka katika uwiano sawa
Hao kina Sugu, Afande Sele, Prof J nk ndio watu wa mwanzoni walioitambulisha Hip Hop kwetu, walikuwepo kwenye kipindi ambacho mziki ulikuwa una room ndogo sana.
Katika hicho kipindi kulikuwa hakuna evolution ya Rap, wote wali Rap mtindo mmoja na kutokana na industry yao kuwa ndogo ndipo walipopata fursa ya kusikika sana.
Modern rap ambayo ndio imekuja ku violet Hip Hop Culture imeanza miaka ya hivi karibuni ambayo saizi ndio inafahamika kama ni Hip Hop commercial.
They don't mumble, but they don't rap hardcore tooIt's still a cheap excuse, Roma and Stamina hawapishani na sana na Dizasta kuingia kwenye game and they don't mumble whatsoever but they're big guns in the game. They've flows and lyrics of tremendous standards to make them be where they are.
Hopefully you gonna come with another excuse.
Talking of commercial rap zimeanza kitambo, enzi za akina Run DMC, KRS ONE you gotta know that Big Daddy Cane was classified as a commercial rapper. LL Cool J alipoingia kwenye game as a youngster Cool Moe Dee alimsema kuwa hakuwa real rapper that he was just a commercial rapper(just because aliingia kwenye game na I NEED LOVE which back then was the hottest hit rap track) and DJ Jazzy Jeff and The Fresh Prince were also classified as commercial rappers hivyo this issue of commercial rap started since way back. Nelly was and still is a commercial rapper as well.
Hawapishani sana ndio tafsiri nyingine kuwa hawapishani?It's still a cheap excuse, Roma and Stamina hawapishani na sana na Dizasta
Dizasta wako unajidanganya sana kuhusu yeye, but it's your choice and you have the right to choose what you desire.Hawapishani sana ndio tafsiri nyingine kuwa hawapishani?
Roma wakumfananisha na Dizasta ni yule wa kwenye Mr President, Pastor, Tanzania na Mathematics
Stamina wakumfananisha na Dizasta ni yule kwenye Kabwela, na some Collabo walizofanya na kina Darasa
Roma wa sasa na Stamina wa sasa huwezi kumfananisha na Dizasta japo najua wana uwezo wakufanya makubwa wakiamua ila kwa ngoma zao za miaka ya sasa hakuna anayemfikia Dizasta
Kwa hiki ulichokiandika unanipa mashaka kujua kama we ni mtu unayeujua mziki wa Hip Hop na nini maana ya lyricalDizasta wako unajidanganya sana kuhusu yeye, but it's your choice and you have the right to choose what you desire.
Frankly speaking Dizasta hakuna kitu pale, lyrically and flows he is far below average and when it comes to storytelling he is below zero, hata dogo wa juzi Rapcha kwenye storytelling yuko vizuri mno anaweza hata kuwa kama Prof J akiongeza umakini kwenye uandishi.
Umemtolea mfano Tupac, kwangu mimi he was the best storyteller. Mashairi yake yanaishi and that's a damn big deal kwenye uandishi.
Rapcha kamzidi Dizasta tena kwenye storytelling? Duuh!🤔Dizasta wako unajidanganya sana kuhusu yeye, but it's your choice and you have the right to choose what you desire.
Frankly speaking Dizasta hakuna kitu pale, lyrically and flows he is far below average and when it comes to storytelling he is below zero(negative), hata dogo wa juzi Rapcha kwenye storytelling yuko vizuri mno anaweza hata kuwa kama Prof J akiongeza umakini kwenye uandishi.
Umemtolea mfano Tupac, kwangu mimi he was the best storyteller of all time. Mashairi yake yanaishi and that's a damn big deal kwenye uandishi.
Hii nimeikosa kwenye platform zote mkuuKadgo
Nimezaliwa naye tumbo moja namuita pacha, mama ananiambia kanizidi dakika tu sio mwaka.../
Yupo hai hajafa hivi navyoongea, amenihasa amenifunza haswa nisije potea.../
Ni identical twins, two kings same blood same color same height and two beings.../
Sasa niende home alipotoka baba, na mama mzazi pia ndio root ya grandfather.../
Kwa raha ndugu yake upendo ndani ya familia, maisha kuongeza mwendo mienendo ikaanza tabia.../
Kufungua ukurasa madarasa yakafuatia, ikafika muda wa kuachana na pacha ambaye namuaminia.../
Siku moja niko stand nasaka mlungula, kosa jinsi niliyovaa nikavishwa misala ya kulwa.../
Kipigo cha mbwa mwitu nikashtuka siku kadhaa, siku muwekea bifu moyoni sikutaka balaa.../
Siku zikapita ikafika siku ya mnada, sokoni napita pembeni yuko siter na father.../
Ghafla mbele yangu akatokea pedeshee, mwenye visanga na kulwa na hakutaka nijitetee.../
Akaanzisha ugomvi mbele ya umati father akaingilia, bwashee si akaitoa risasi dingi akaitoka dunia.../
Kwa macho nikishuhudia najuta kufafana, najua dunia ni njia kulwa acha unachofanya.../
Song: pacha
Kwenye storytelling telling Dizasta is below zero, that's whether you like it or not. Nime-notice biasness ya baadhi ya watu ime-base kwenye ushabiki which makes this kinda dialogue useless, but be assured that in due time hizi arguments zitakufa natural death kwani kilicho bora kita-shine zaidi though hardcore fans will stick to what they believe.Kwa hiki ulichokiandika unanipa mashaka kujua kama we ni mtu unayeujua mziki wa Hip Hop na nini maana ya lyrical
Rapcha kwenye story telling ana mzidi Dizasta?
Serious?
Mbona unaandika vitu vya mzaha sana halafu kama unataka uchukuliwe serious?
Dizasta yuko below zero kwenye story telling?Kwenye storytelling telling Dizasta is below zero, that's whether you like it or not. Nime-notice biasness ya baadhi ya watu ime-base kwenye ushabiki which makes this kinda dialogue useless, but be assured that in due time hizi arguments zitakufa natural death kwani kilicho bora kita-shine zaidi though hardcore fans will stick to what they believe.
Listening to a storyteller rap is like reading a novel, getting one full story from one song. A good story. Ref: Dear mama - Tupac.
Hivi hawa hadi 2020 walikuwa background?Najua wengi ni mashabiki wa wasanii fulani fulani wa mziki pendwa wa hip hop ila leo nataka tuangazie kidogo hawa ma underground hip hop.
Katika tansina ya muziki huu wa hip hop tunaona jinsi gani evolution ilivyobadili ladha ya mziki huu kiasi cha wasanii kuimba nyimbo ambazo hazina lyrical wala critical.
List yangu ni hii hapa na wewe unaweza kuweka yako.
1. Dizasta vina
2. Nala mzalendo
3. Kadgo
4. Boshoo ninja
5. Kinya mistari
6. Shaolin senetor
7. Mbeya boy chuma
8. Hamis mistari
9. Ado gado
10. Nyenza MC
Wapo wengi ila kwasasa nianze na hao halafu chini nitanukuu mistari yao katika baadhi ya nyimbo zao
ahsante nimeipata