Hirizi ya Lwandamina yaonekana mwenyewe akanusha!!

Weka picha.
 
Mkuu unachosema ni sahihi kabisa yaan sasa hiv ni bahati nasibu kocha kwetu ni hans van plujim sijui kwanni walimtoa huyu mzee mm namkubali sana roho iliniuma sana walivyomtosa sikuona sababu za msingi kabisa
 
Yanga wamecheza mechi tano mbili waneshinda (mji njombe na ndanda) tatu wametoa sare (lipuli, majimaji mtibwa) uwe na kumbukumbu kabla ya kukimbilia kupost
 
Ndivo kocha alivowafundisha
 
Mkuu shida ya yanga haina mdhamini ukijitosa wewe kudhamini tutakushangilia na huyo kocha mzambia ataondoka na kuletwa kocha Mkali
 
Ila kumbuka Lwandamina tumekuwa naye tangu mwaka jana mzunguko was kwanza kipindi ambacho Manji hakuwa na maswahibu yoyote yale.


Lakini je hata hiyo mwaka jana alikuwa anafanya vizuri?
Ndio, Yanga chini ya Lwandamila wakati wa udhamini wa Manji ilikuwa inafanya vizuri.
Kumbuka zile mechi za mwisho Yanga ilishinda kalibu zote tena zilikuwa ngumu sana.
Nakumbuka mechi dhidi ya Azam na Mbeya City, mechi zilikuwa kali sana na Obrey Chirwa aliyekuwa katika kiwango kizuri alikuwa ndiye mfungaji wa mechi zote ngumu hadi Yanga ikawa bingwa.
Tatizo Yanga kwa sasa inakosa udhamini wa uhakika na sio kocha.

Amini hivyo.
 
⚽ una wenyewe na wenyewe ndio

Mnyama mwaka wetu huuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…