Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #21
Hili nalo neno.Yanga hutuna fedha,fedha ingekwepo kocha angeondoka mapema tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo neno.Yanga hutuna fedha,fedha ingekwepo kocha angeondoka mapema tu,
anakosa mfumo mzuriMapengo ya hao watu (Niyonzima na Msuva)hakuna .
Tuna wachezaji wengi wazuri tu ,tatizo kocha.
Je kipindi Msuva na Niyonzima kabla hawajaondoka .je timu ilikuwa ikifanya vizuri chini ya huyu kiumbe?anakosa mfumo mzuri
Weka picha.Hivi viongozi wa Yanga wana nini cha ziada wanachokihitaji kutoka kwa huyu jamaa???
Haiwezekani mtu tangu akabidhiwe timu hakuna siku hata moja timu ikafanya vizuri ,kila kukicha afadhali ya jana.
Inabidi viongozi waingilie kati suala hili ,wachukue uamuzi mgumu wa kuvunja mkataba naye tu maana hakuna namna tumechoka kumvumilia.
Yaani ushindi kwetu imekuwa suala la bahati sana na hata ukifuatilia magoli yote tulioshinda mpaka sasa kwa mechi chache tulizocheza ni magoli ya kubahatisha sana.
Mashabiki tumechoka kwa kweli mtatuuua siku si zetu .
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
angalau ila sio kama sasa hivi hairidhishiJe kipindi Msuva na Niyonzima kabla hawajaondoka .je timu ilikuwa ikifanya vizuri chini ya huyu kiumbe?
Kipindi kile Hans alikuwa yupo benchi la ufundi hawakumfukuza moja kwa moja ,ila tangu aondoke matokeo ndio haya.angalau ila sio kama sasa hivi hairidhishi
Ni shida mkuu aseehKipindi kile Hans alikuwa yupo benchi la ufundi hawakumfukuza moja kwa moja ,ila tangu aondoke matokeo ndio haya.
Ulikuwa jela nini ?Je kipindi Msuva na Niyonzima kabla hawajaondoka .je timu ilikuwa ikifanya vizuri chini ya huyu kiumbe?
50 nyingi sana sidhani kama hata 30 tutapata aibu sana tunapataMsimu huu tukifikisha hata goli 50 tushukuru Mungu kwa kweli.
Yanga wamecheza mechi tano mbili waneshinda (mji njombe na ndanda) tatu wametoa sare (lipuli, majimaji mtibwa) uwe na kumbukumbu kabla ya kukimbilia kupostRwandamila mbona mzuri tu.
Tangu ligi ianze Yanga fc, wamecheza mechi nne.
Mechi mbili wameshinda vs Njombe na Lipuli
Mechi mbili wametoa sare vs Majimaji na Mtibwa.
Au inatakiwa Yanga washinde mechi zote...!
Kumbukeni timu zote zimejiandaa vizuri nazo pia zinahitaji ushindi.
Ndivo kocha alivowafundishaWe jamaa una chuki na Lwandamina tu mana mda mwingi unaandika thread za kumponda. Team inacheza vizuri tu tatizo ufungaji ndo tatizo na ilo ni suala la washambuliaji sio la kocha.
Kama leo Buswita kakosa yeye na goli badala apige juu anapiga chini, Ngoma nae anapiga kichwa uku anafumba macho apo utamlaumu Kocha?
50 nyingi... 30 tuMsimu huu tukifikisha hata goli 50 tushukuru Mungu kwa kweli.
Mkuu shida ya yanga haina mdhamini ukijitosa wewe kudhamini tutakushangilia na huyo kocha mzambia ataondoka na kuletwa kocha MkaliHivi viongozi wa Yanga wana nini cha ziada wanachokihitaji kutoka kwa huyu jamaa???
Haiwezekani mtu tangu akabidhiwe timu hakuna siku hata moja timu ikafanya vizuri ,kila kukicha afadhali ya jana.
Inabidi viongozi waingilie kati suala hili ,wachukue uamuzi mgumu wa kuvunja mkataba naye tu maana hakuna namna tumechoka kumvumilia.
Yaani ushindi kwetu imekuwa suala la bahati sana na hata ukifuatilia magoli yote tulioshinda mpaka sasa kwa mechi chache tulizocheza ni magoli ya kubahatisha sana.
Mashabiki tumechoka kwa kweli mtatuuua siku si zetu .
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Yaani mpaka nimemkumbuka Hans Van De Plujm
Pia,
Pengo la Msuva..Niyonzima linaonekana...
Ndio, Yanga chini ya Lwandamila wakati wa udhamini wa Manji ilikuwa inafanya vizuri.Ila kumbuka Lwandamina tumekuwa naye tangu mwaka jana mzunguko was kwanza kipindi ambacho Manji hakuwa na maswahibu yoyote yale.
Lakini je hata hiyo mwaka jana alikuwa anafanya vizuri?
na malinzi piaYebo bhana...mtamkumbuka sana babu mzungu aisee..