Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hivi viongozi wa Yanga wana nini cha ziada wanachokihitaji kutoka kwa huyu jamaa???
Haiwezekani mtu tangu akabidhiwe timu hakuna siku hata moja timu ikafanya vizuri ,kila kukicha afadhali ya jana.
Inabidi viongozi waingilie kati suala hili ,wachukue uamuzi mgumu wa kuvunja mkataba naye tu maana hakuna namna tumechoka kumvumilia.
Yaani ushindi kwetu imekuwa suala la bahati sana na hata ukifuatilia magoli yote tulioshinda mpaka sasa kwa mechi chache tulizocheza ni magoli ya kubahatisha sana.
Mashabiki tumechoka kwa kweli mtatuuua siku si zetu .
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Haiwezekani mtu tangu akabidhiwe timu hakuna siku hata moja timu ikafanya vizuri ,kila kukicha afadhali ya jana.
Inabidi viongozi waingilie kati suala hili ,wachukue uamuzi mgumu wa kuvunja mkataba naye tu maana hakuna namna tumechoka kumvumilia.
Yaani ushindi kwetu imekuwa suala la bahati sana na hata ukifuatilia magoli yote tulioshinda mpaka sasa kwa mechi chache tulizocheza ni magoli ya kubahatisha sana.
Mashabiki tumechoka kwa kweli mtatuuua siku si zetu .
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]