Acha maelezo mengiHisense zinatofautia, kuna za China, South Africa [emoji1221] nk.. pia series, 4 series, 6 series na 8seriees!! Pia kuna Hisense zinatumia OS ya Vidaa, Android au Google Tv.
Ndio nimekuuliza we yako ni kama ipi?Thank you boss wafahamishe maana wengine hawajuii haya mambo
Mzee umeamua kummaliza Jamaa bila huruma [emoji23][emoji23]
Najaribu tu kumpa aina tofauti tofauti za Hisense 75" Smart 4K ili aseme yake ni ya aina ipi katika hizo ili nikiridhika na hayo maelezo ninunue kwake.Mzee umeamua kummaliza Jamaa bila huruma [emoji23][emoji23]
Boss picha hazifungukii kwaiyo nashindwa kuona hapo vizuriiiNajaribu tu kumpa aina tofauti tofauti za Hisense 75" Smart 4K ili aseme yake ni ya aina ipi katika hizo ili nikiridhika na hayo maelezo ninunue kwake.
Vidaa os 4k/uhdNajaribu tu kumpa aina tofauti tofauti za Hisense 75" Smart 4K ili aseme yake ni ya aina ipi katika hizo ili nikiridhika na hayo maelezo ninunue kwake.
Sasa boss ulitaka nipunguze mpk beii ganiiiUmeitoa 2.7-2.3mil
Kitu kikitumika bei yapaswa ipungue zaidi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mi si mtejaSasa boss ulitaka nipunguze mpk beii ganiii
Nami nilikuwa nashangaa tena mpya unaweza pata punguf ya hapo na ukaletea mpaka nyumban na wakakufungia kabisa kwa gharama zaoKwani mpya bei gani?Dukani
Tv zipo tofaut mtapigwaaNami nilikuwa nashangaa tena mpya unaweza pata punguf ya hapo na ukaletea mpaka nyumban na wakakufungia kabisa kwa gharama zao
Sasa utanipangia aje beii mzee pesa huna kausha Acha wenye pesa yao wanunue