Hisia za mapenzi hamna siku hizi kwa sababu ya hizi smartphone

Hisia za mapenzi hamna siku hizi kwa sababu ya hizi smartphone

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Sasa hivi watu wako busy kuperuzi mitandaoni kwani dunia ni kama Kijiji mtu unapata vyote ambavyo unavihitaji..

Ukitaka kufurahi na kuvunja mbavu huitaji mpenzi akuchekeshe unaingia katika page za vituko unakutana na comedy.

Ukitaka mtu wa kufanya naye sex unaingia tu katika site za X unaunganishwa na roho za Wengine unafanya Kama Ni punyeto n.k mpaka una cum..hatari sana..

Ukitaka Ushauri kutoka kwa mpenzi hauhitaji kuwa na mpenzi unaenda forum mbalimbali Kama vile Jf unaomba Ushauri watu wanakupa.
 
kuna x nilimgegeda siku moja katikat ya mchezo akanambia baby unajua saiv nina followers wengi instagram.nilikuw nmepaka vumbi la kongo ila stimu ilikata

Katikati ya mchezo??!!!! kakudharau sana... ina maana alikuwa hahisi chochote 😛 😛 😀😀😀😀 jipange jombaaaa
 
kuna x nilimgegeda siku moja katikat ya mchezo akanambia baby unajua saiv nina followers wengi instagram.nilikuw nmepaka vumbi la kongo ila stimu ilikata
Kumbe hata ukipaka vumbi la kongo kuna wakati hua stimu zinakata..?😂😂
 
"I fear the day that technology will surpuss our human interactions"..... Albert Einstein
 
kuna x nilimgegeda siku moja katikat ya mchezo akanambia baby unajua saiv nina followers wengi instagram.nilikuw nmepaka vumbi la kongo ila stimu ilikata
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom