Hisia zako zilikuwaje?

Umewaona eeeh! Yaani spidi 120! πŸ™‚

Wanaikimbiza sredi mpaka wale wanao donoa donoa keyboard wanashindwa kunata na beat.

hahaaa mtatukoma leo........nyie mlienda kujenga taifa eeeh!!!!

Hehehehe sisi tunajenga taifa huku tunaburudika na vionjo vya humu lakini spidi imekuwa kubwa mno.
 
hajawahi tangu kuzaliwa biggy, take my word, utani pembeni.......
No wonder. I can prove beyond reasonable doubt.

Hapana mkuu, mimi sio memba wa Billionares Club, pale ni kwa Baba Enock na vivian! πŸ™‚
Afadhali Dah!

Hahahaha umeruka kihunzi vizuri sana.
Vivian kapotea sana sijui yupo vekesheni milimani!!
Vivian kafulia. Baba Enock kamkimbia LOLZ!

Ice cream za Bakhresa bwana, sinanilevya kirahisi sana! Sasa sijui siku nikinywa valuu itakuwaje!
Hapa sasa unaanza kuharibu. Najisikia kama nataka kutapika vile!
 
JS i personally naomba sifa za Fidel80 unambie wewe mpendwa

Fidel ni mtu mcheshi sana, mwongeaji (maneno mengi kweli kama konda wa daladala). Fidel ni MKAKA kwa wale new members wa JF ambao hamjamfahamu bado. Fidel kwa urefu ana kimo cha kawaida na si mnene wala mwembamba. "Mlevi kupindukia" (xspin, geoff na kaizer wanapoteza mdogo wetu huyu). Fidel anapenda wadada sana (hajanitokea mpaka sasa sijui anasubiri nini we fidel hebu fanya the needful). Fidel bwana fidel ni fidel there will be no else like fidel. Mwisho, Fidel yuko single and searching for his soulmate bado.........


Dada FL1 huyo ndo Fidel80 wa JF
 
Wanaikimbiza sredi mpaka wale wanao donoa donoa keyboard wanashindwa kunata na beat.



Hehehehe sisi tunajenga taifa huku tunaburudika na vionjo vya humu lakini spidi imekuwa kubwa mno.

hahaaaa kujenga taifa si lazima ukunje uso bana
 

Hahahahaha dah nimecheka mpaka basi leo nakuandalia mzinga wa Konyagi kabisa.
Kwa sasa umenitia hamu ngoja niende nikasuuze koo maana umenichekesha sana.
 

Napata picha mbili kwa mpigo hapo!!!
 
Nimekusoma.
 
Wewe na huyu hapa



Nyie inabidi mfungwe spidi gavana mnaikimbiza sana hii sredi.
Ngoja tuwasiliane na Mods wawapunguzie kasi maana mnaikimbiza kweli kweli.
Hehehe! Ndio uzuri wa kutumia Blackberry ya kichina.

Umewaona eeeh! Yaani spidi 120! πŸ™‚
Dah! Hata wewe kiongozi?

hahaaa mtatukoma leo........nyie mlienda kujenga taifa eeeh!!!!
Mamushka twenzetu lunch. Shimo la udongo kuna sehemu kuna kongoro za kitimoto za kufa mtu.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ We JS umeanza kuvuta bangi eh?
 

leo umeamkaje na kushinda jeee??? hahaaaaa lol!!! natamani ingekuwa ijumaa vile???
 
Hahahahaha dah nimecheka mpaka basi leo nakuandalia mzinga wa Konyagi kabisa.
Kwa sasa umenitia hamu ngoja niende nikasuuze koo maana umenichekesha sana.
Fanya utaratibu umtume kijana alete kabisa Mbuzi pale Congo bar, fasta.
 
Umeongea ukweli mtupu,dah!Ila hapo kwenye red nadhani yeye ndiyo mwalimu.
 
charity mdada,mpole,mnyenyekevu mcha mungu(ingawa hafungi),mpenda familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…