yani unanikana leo ckujui
Leo kwa kweli niliamka kiaina umeme ukawa haupo tukutuku ikagoma kuwaka basi tabu tupu nikaja JF nikasuuzika moyo kama kawaida. Ndugu zangu nyie mnanisahaulishaga shida za dunia hii.
Ingekuwa ijumaa ingekuwa balaa aau sio BHT??
Xspin kesho wapi?? au nikusemelee na wewe hisia zangu kwako???
mpenda neno,Mungu,mbishi sanaaaaaaaaaaaaa,mkaka na heshima unazo japo kiduchu(joking)ah ah ah
nipe na ww wasifu wangu,zen umesema mm dume watu hawaelewi bana
Pearl: Mfupi mwembaba. Mweusi kama mama Anna Mkapa. Anakunywa Konyagi na safari bia. Anapenda kuendesha baiskeli. Anapenda kuvaa kanga na kandambili. Anafanya kazi ya mama lishe maeneo ya Kurasini. Ameshatalikiwa mara tatu na kila talaka ina mtoto wake. Hii laptop anayotumia ni ya boifrendi wake wa sasa ambaye ndio ana ujauzito wake.yani mm hata sielewi bana but ngoja nimwambie G,xpin,kaizer,maskai,buji etc wanaonifaham waseme ukweli
akiyanani ww sikupatii picha yani mm mbishi sanaaaaaaaaaa heshima ninazo kiduchu da akutukanae akushaguliii tusi.
ila wewe ni mrembo asa macho unajua kuyatumia vyema,mchapa kazi,mtafiti,mcheshi, mdada aliyetayari kuolewa sema vijana awapo sirious mengine siri yangu
unanifahambut uliposema mm dume hapo ndo umechanganya habari,ngoja nikupe basi wasifu wangu kwa wasio nijua,mchapakazi san,sichagui kazi as long ni legal,mremboooooo,mchangamfu,menidne ngoja nijiangalie kwenye kioo kwanza.
Pearl: Mfupi mwembaba. Mweusi kama mama Anna Mkapa. Anakunywa Konyagi na safari bia. Anapenda kuendesha baiskeli. Anapenda kuvaa kanga na kandambili. Anafanya kazi ya mama lishe maeneo ya Kurasini. Ameshatalikiwa mara tatu na kila talaka ina mtoto wake. Hii laptop anayotumia ni ya boifrendi wake wa sasa ambaye ndio ana ujauzito wake.
Kama kuna nilichokosea / kusahau Geoff please do the needful
Pearl: Mfupi mwembaba. Mweusi kama mama Anna Mkapa. Anakunywa Konyagi na safari bia. Anapenda kuendesha baiskeli. Anapenda kuvaa kanga na kandambili. Anafanya kazi ya mama lishe maeneo ya Kurasini. Ameshatalikiwa mara tatu na kila talaka ina mtoto wake. Hii laptop anayotumia ni ya boifrendi wake wa sasa ambaye ndio ana ujauzito wake.
Kama kuna nilichokosea / kusahau Geoff please do the needful
Twakuomba utusikie!You must be genius.au una kaushehe yahaya kidogo.Itabidi nianze kufunga kumuombea Fidel,Xpin,Geoff n.k wasilewe valua na milas bila kuchoka.
Umepona? Kama umepona ntatafuta sehemu yenye bia nyingi na mdudu wa kuchoma tusafishe nyota!Leo kwa kweli niliamka kiaina umeme ukawa haupo tukutuku ikagoma kuwaka basi tabu tupu nikaja JF nikasuuzika moyo kama kawaida. Ndugu zangu nyie mnanisahaulishaga shida za dunia hii.
Ingekuwa ijumaa ingekuwa balaa aau sio BHT??
Xspin kesho wapi?? au nikusemelee na wewe hisia zangu kwako???
PEARL - Mpole, mdadisi lakini sio mwnamke ni DUME.
FIDE - Machachari, mpenda totozi.
VUKANI - Mtu wa kucomplicate mno, mluga luga.
FIRST LADY - Kama pearl ila yeye ni mtata.
EMMA MAKOFIA - Ana kipara kama Mkapa.
BHT - Ni mwembamba kama Fido dido.
Mbona unachukua madaraka ya Akili kichwani? Na Hizi talaka wewe ulijuwaje haya yote.Unanitia wasiwasi!
Pearl: Mfupi mwembaba. Mweusi kama mama Anna Mkapa. Anakunywa Konyagi na safari bia. Anapenda kuendesha baiskeli. Anapenda kuvaa kanga na kandambili. Anafanya kazi ya mama lishe maeneo ya Kurasini. Ameshatalikiwa mara tatu na kila talaka ina mtoto wake. Hii laptop anayotumia ni ya boifrendi wake wa sasa ambaye ndio ana ujauzito wake.
Kama kuna nilichokosea / kusahau Geoff please do the needful
yote yanawezekana tutafurai sana
Duuuuuuuuuuh bazi ishia hapohapoPearl: Mfupi mwembaba. Mweusi kama mama Anna Mkapa. Anakunywa Konyagi na safari bia. Anapenda kuendesha baiskeli. Anapenda kuvaa kanga na kandambili. Anafanya kazi ya mama lishe maeneo ya Kurasini. Ameshatalikiwa mara tatu na kila talaka ina mtoto wake. Hii laptop anayotumia ni ya boifrendi wake wa sasa ambaye ndio ana ujauzito wake.
Kama kuna nilichokosea / kusahau Geoff please do the needful
Mbona unachukua madaraka ya Akili kichwani? Na Hizi talaka wewe ulijuwaje haya yote.Unanitia wasiwasi!
WOS: Nahisi ni Mwanaharakati fulani anayefanya kazi na taasisi kama TAMWA, TGNP na kadhalika
Mzee Mwanakijiji: huyu sijui kama huwa analala, Mungu azidi kumpa Nguvu zaidi
Pape: Ni Mtu wa maskhara sana, ambaye sijawahi kumchukulia serious
Maxshimba: Huyu atakuwa Mchungaji lazima
Pearl: Wewe uanonekana mtu wa Viwanja sana, mtu wa Kupenda Miziki ya R&B
Kiranga: Anapenda kukata Nyanga zaidi
[/QUOTE]kama ni Mrs wako hainihusu but umemwambia una mtot huku?[QUOTE=Chrispin;839986]Inawezekana. Siku mojamoja dada yangu huyu huwa anazibua ubongo kwa bange.
Nshakuambia dada kalipuliza leo. Kama unabisha msome huyu hapa chini ambaye ndio huwa anamuuzia.
Hapo umepatia kabisaaa. Na Senksi umekula. Ni Mrs wangu yule kwahiyo namjua fika, nje na ndani.
Pearl kasema ana mtoto wa Iribini hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nimeanza sasa unokolist .....
WOS: Nahisi ni Mwanaharakati fulani anayefanya kazi na taasisi kama TAMWA, TGNP na kadhalika
Mzee Mwanakijiji: huyu sijui kama huwa analala, Mungu azidi kumpa Nguvu zaidi
Pape: Ni Mtu wa maskhara sana, ambaye sijawahi kumchukulia serious
Maxshimba: Huyu atakuwa Mchungaji lazima
Pearl: Wewe uanonekana mtu wa Viwanja sana, mtu wa Kupenda Miziki ya R&B
Kiranga: Anapenda kukata Nyanga zaidi