Hisia zinanitesa juu ya huyu Kaka wa kanda pendwa

Bado miaka mingi sanaa kufika huko daah mbali sana huko
Sasa nipe mawasiliano yako mi huwa na deal na mashangazi tuu ka haupo huko basi jua mi sio vitu vyangu....

😂😂😂😂 Am warmly waiting for your PM dear
 
Kama ni private labda yaweza kuwa sawa ingawa haishauriwi na kama serikalini rejea code of good conducts itakusaidia kuacha hizo Geny*e zako.
 
Kwa huu ubaguzi ulioonyesha acha niombe....eeh Mungu wa mbinguni..endelea kumpigisha matukio huyu kiumbe wako mpk aheshimu wanaume wote kwani sote tu wako...na tuseme ameen
 
Ukiona hivo ujue wapo insecured...wanaona wanaume weupe wanawafunika pale hata wakitoka out...na unavyojua mwanamke anapenda Kila kizur kiwd upande wake...Sasa anapozidiwa anajitafutia faraja ya uongo kuwa anapenda mwanaume mweusi...ila I deep down anapenda kudate mwanaume mweupe.
 
Ukiona hivo ujue wapo insecured...wanaona wanaume weupe wanawafunika pale hata wakitoka out...na unavyojua mwanamke anapenda Kila kizur kiwe upande wake...Sasa anapozidiwa anajitafutia faraja ya uongo kuwa anapenda mwanaume mweusi...ila I deep down anapenda kudate mwanaume mweupe...
 
 
natamani sana kuwa na mtu ambae anaeleweka akanipenda nikampenda tukapendana maisha yakaenda… msione watu tumekaa single miezi yote ni vile hatupendi idadi iongezeke (count body)
Punguza kuomba hela mda mfupi baada ya kutongozwa kadogo2
 
Hiyo ni kweli wanaume weusi tunateseka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…