Historia 2023: Ukraine ilishiriki kwenye uvamizi haramu wa Iraq na kufanya kile inachofanyiwa leo

Historia 2023: Ukraine ilishiriki kwenye uvamizi haramu wa Iraq na kufanya kile inachofanyiwa leo

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124

UTANGULIZI:
Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo.

Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi na kumiliki silaha za maangamizi. Jambo ambalo ilikuja kufahamika baadaye kwamba halikuwa na ukweli wowote ule, zaidi ya maslahi na siasa za kibeberu.

Ili kufanya uvamizi ni lazima taifa lipewe ruhusa na UNSC chini ya Chapter VII ya UN Charter ambayo inazungumzia mambo kama Collective Defense. Hivyo ilitakiwa Marekani aombe kwamba idhini ya UN na kutoa sababu za msingi kwanini Iraq ivamiwe kijeshi, pamoja kutoa ushahidi, kama ilivyokuwa mwaka 1991.

Raisi wa Ukraine Leonid Kuchma, hali akifahamu fika haya ni makosa aliunga mkono Marekani kwa kupelekea wanajeshi zaidi ya 6000 ambao mchango wao mkubwa ulionekana na kusifiwa na vyombo vya habari vya Magharibi.

Kuna watu wanadai kwamba wanajeshi wa Ukraine ndiyo walikuwa wa kwanza kuingia kwenye baadhi ya makasri ya Saddam Hussein kuliko vikosi vya nchi nyingine, jambo ambalo linapingwa mpaka leo kwamba ni uzushi.

Leonid Kuchma alifanya haya kama njia ya kuifanya Ukraine taifa linalokubalika na nchi za Magharibi, jambo ambalo liliwakera mno watu wengi hasahasa raia wake ambao walikuwa wanafahamu fika kwamba Iraq ni moja kati ya nchi rafiki wa Ukraine hasa kwenye ununuzi wa silaha. Urafiki wao ulianza tokea enzi za USSR.

MUHIMU KUKUMBUKA:
Siasa za kimataifa zinaongozwa na Reciprocity na Balance of Power. Endapo jambo baya moja litafanywa na taifa moja kubwa bila kufanyika uwajibikaji wowote ule, basi fahamu fika taifa jingine kubwa litaiga mbinu hiyohiyo kufanya uvamizi kwa taifa jingine dogo.

Marekani, taifa lililokuwa na nguvu zaidi kuanzia mwaka 1991-2008, lisingeingia kwenye hii michezo ya kuvamia mataifa mengine madogo kama Serbia (1998), Afghanistan (2001), Iraq (2003), Libya (2011), na Syria (2011), huenda mataifa mengine kama Urusi na Uchina yasingethubutu kufikiria kuvamia majirani zao bila kuogopa uwajibikaji wowote ule.

NATO wamepoteza, Moral High Ground, a corner stone of Soft-Power Projection.
Leo hii Marekani hawezi kujaribu kukemea uvamizi wowote na dunia ikaheshimu.

JAMBO LA KUJIFUNZA:
Watu wanaweza kuwa wamesahau au hawafahamu, lakini kinachomkuta Ukraine leo hakina utofauti sana na walichokifanya nchini Iraq mwaka 2003. Dunia hailizungumzii hili kwa undani kwasababu waliouwawa ni waarabu na waislamu, na siyo wazungu wa Ulaya.

Mataifa machanga kama Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, DRC, Egypt na South Africa hayatakiwi kabisa kujihusisha na siasa za mataifa makubwa hasahasa linapokuja suala zima la uvunjifu wa sheria za kimataifa na haki za binadamu.

Ukraine wangekuwa ni taifa ambalo lina sifa nzuri, basi naamini mataifa mengi ya Asia wasingeegamia kwa Urusi hasahasa kwenye suala zima la vikwazo. Ukraine ni moja kati ya mataifa yanayoongoza kwa kuuza silaha hatari kwenye soko haramu (Black Market). Silaha za sumu, silaha za makombora ambazo zilifika Syria, Korea Kaskazini na Iraq zimetokea Ukraine hata kabla ya uvamizi.

Miaka nyuma kidogo, Tony Blair akiwa waziri mkuu wa Uingereza alijaribu kuwashawishi viongozi wa Afrika Kusini na Namibia waivamie kijeshi Zimbabwe na kumtoa Raisi Robert Mugabe, jambo ambalo walilikataa waziwazi bila kupepesa macho. Wangefanya yale waliioombwa na waingereza wangefanikiwa, lakini taswira za nchi zao zingeharibika mno.

Endapo jambo baya lingewakuta Namibia na Afrika Kusini, wasingepata kabisa huruma ya dunia, kama ambavyo Dikteta Mobuthu alikosa huruma baada ya kuvamiwa mwaka 1997, au Savimbi kuuawawa mwaka 2002.

Nchi ndogo zinatakuwa kuwa makini sana.
 
"Kwasababu waliouawa ni waislamu na waarabu"
Usipokuwa makini utapelekwa na upepo wa siasa za dunia. Hebu nikupe mfano:

Wanasema hivi "Ukraine War is the first war to ever happen in Europe since the end of WW2"

Lakini ukweli ni upi ???

The First War to ever happen in Europe since the End of WW2 is the Yugoslavian War, followed by NATO's relentless bombing of Belgrade.

Ila kwasababu Anglo-Saxons-Roman and Catholics-Evangelical-Protestants hawawachukulii Slavs kama wenzao ndiyo tatizo linapoanza hapo. Wakina Josef Borrel wanasema dhahiri kwamba Europe is a garden and the rest of the world is bleak jungle.
 
Usipokuwa makini utapelekwa na upepo wa siasa za dunia. Hebu nikupe mfano:

Wanasema hivi "Ukraine War is the first war to ever happen in Europe since the end of WW2"

Lakini ukweli ni upi ???

The First War to ever happen in Europe since the End of WW2 is the Yugoslavian War, followed by NATO's relentless bombing of Belgrade.

Ila kwasababu Anglo-Saxons-Roman and Catholics-Evangelical-Protestants hawawachukulii Slavs kama wenzao ndiyo tatizo linapoanza hapo. Wakina Josef Borrel wanasema dhahiri kwamba Europe is a garden and the rest of the world is bleak jungle.
Maelezo mengi " wanasema hivi...."
 
Kumbe Ukraine imekua na tamaa ya miaka mingi sana kutaka kujiunga na kambi ya Magharibi bila kujali athari zake.
Kua kiongozi ni kazi kubwa sana,kwa sababu kiongozi mzuri ni yule mwenye uwezo wa kutazama mambo yanayoweza kuitokea nchi yake miaka mingi sana ojayo.
Mfano kutamani kujiunga na kambi ya NATO badala ya kua nyutro.
Kua nyutro kungekua na faida zaidi kwa Ukraine kuliko kua kambi ya NATO.
Mfano imekuja kufahamika baadae kua kumbe nchi za EU zilikua zikifanya biashara kubwa sana na Urusi,kitu ambacho hata Ukraine angeendelea kufaidika nacho.
Sasa Kwa vile amekua mjeuri atakosa vingi.
Amepoteza ardhi yenye utajiri.

Hatajiunga na NATO.

Amepoteza uwezo wa kua na viwanda vya silaha kubwa,hapa atakosa biashara ya silaha kubwakubwa,maana viwanda vingi vimeharibiwa.

Jeshi lake limepunguzwa makali.

N.k

Kama angekua nyutro angeendeelea kufaidi mashariki na Magharibi.
 
Mleta mada unayatazama haya masuala mazito ya kimataifa KIRAHISI sana. Dunia ina zunguka (evolve) muda wote. Haijasimama. Tena enzi hizi za kidigitali na AI inaenda mbio sana! Na mambo yake yanageuka (dynamic) all the time. Mfano wa Iraq uliotoa ni wa enzi za kale. Hauna relevance leo hii.

Ukraine ya Leonid Kuchma si Ukraine ya Volodymyr Zelenskyy. Marekani ya Donald Trump si Marekani ya George W. Bush au Joe Biden. NATO? ipi? Muulize Donald Trump akufafanulie. Always the devil is in the details. Bila shaka spectacle ya juzi White House imekufikirisha kiasi chake.

Acha mashabiki wa Simba na Yanga waongee kirahisi rahisi hivyo. Maana kwao hao ni “ama uko na sisi au wewe ni adui yetu”, basi - mpaka mwisho wa dunia!
 
"Marekani, taifa lililokuwa na nguvu zaidi kuanzia mwaka 1991-2008", unamaanisha nini hapa?
A Unipolar Moment, an anomaly in modern history.

Tokea mwaka 1991-2008, Marekani alikuwa na mtaji wa kisiasa wa kuweza kufanya chochote kile bila kuwajibishwa na taifa jingine duniani. Iwe kiuchumi, kijeshi au kisiasa, japo mwaka 2008 mambo yakabadilika ghafla kwenye siasa za dunia.

MATUKIO MAKUBWA YA MWAKA 2008
1. Mdororo mkubwa wa uchumi wa Marekani (Economic Recession) 2008.
2. Uchina kuchukua nafasi kama taifa kubwa zaidi kwenye uzalishaji kiviwanda.
3. Uchina ndiyo likawa taifa la kwanza nje ya G8 ambalo liliokoa uchumi wa USA
4. Marekani alizuiwa kijeshi na Urusi kwenye kujitanua kule nchini Georgia.

NB: Mwaka 2002 hakuna ambaye angeweza kuamini kama Russia itaweza kuinua msuli dhidi ya USA au Uchina ambaye amejiunga na WTO anaweza kuwa tajiri kiasi cha kuweza kumiliki sehemu kubwa ya deni la Marekani.
 
Mleta mada unayatazama haya masuala mazito ya kimataifa KIRAHISI sana. Dunia ina zunguka (evolve) muda wote. Haijasimama. Tena enzi hizi za kidigitali na AI inaenda mbio sana! Na mambo yake yanageuka (dynamic) all the time. Mfano wa Iraq uliotoa ni wa enzi za kale. Hauna relevance leo hii.

Ukraine ya Leonid Kuchma si Ukraine ya Volodymyr Zelenskyy. Marekani ya Donald Trump si Marekani ya George W. Bush au Joe Biden. NATO? ipi? Muulize Donald Trump akufafanulie. Always the devil is in the details. Bila shaka spectacle ya juzi White House imekufikirisha kiasi chake.

Acha mashabiki wa Simba na Yanga waongee kirahisi rahisi hivyo. Maana kwao hao ni “ama uko na sisi au wewe ni adui yetu”, basi - mpaka mwisho wa dunia!
This is an Idiosyncratic Supposition.

Tokea kuzaliwa kwa mataifa ya kisasa (Modern Nation State) mwaka 1648, siasa za kimataifa zinaongozwa na kanuni kama Sovereign Equality, Balance of Power, Reciprocity, Consensus, Consent and GoodFaith. This is a fact.

Jambo ambalo nashangaa hadi wewe limekupita ni kwamba umeshindwa kutofautisha kati ya Serikali a.k.a Government (An Administrative Machinery of a state) na Dola a.k.a State (An Independent Political Entity governing a group of people with common heritage).

Hebu angalia hoja yako kitaalamu. Unaposema serikali ya Kuchma siyo serikali ya Zelensky, unasahau kwamba serikali za Kuchma na Zelensky zote zinaongoza taasisi kubwa ya kisiasa ambayo inaitwa Ukraine. Kwenye International Relations, International Law and Diplomacy, matukio yanayofanywa na serikali yakuwa Attributed to the state.

Nakupa mfano hai: Serikali ya Ujerumani imekuwa ikiwalipa fidia Wayahudi hadi miaka ya hivi karibuni kwa makosa yaliyofanywa na serikali ya Adolf Hitler. Kwanini iko hivi: The Concept of State Responsibility and Attribution.

Nakupa mfano mwingine hai: Serikali ya Magufuli aliacha matatizo makubwa hasahasa kesi kwenye mahakama za kimataifa ambazo serikali ya Samia inateseka nazo. Unadhani ni kwanini ?: Under International Law, the main subject is the state, not government, (Let this sink deep).

AI is not a tool of international relation, politics or law.
 
Kumbe Ukraine imekua na tamaa ya miaka mingi sana kutaka kujiunga na kambi ya Magharibi bila kujali athari zake.
Kua kiongozi ni kazi kubwa sana,kwa sababu kiongozi mzuri ni yule mwenye uwezo wa kutazama mambo yanayoweza kuitokea nchi yake miaka mingi sana ojayo.
Mfano kutamani kujiunga na kambi ya NATO badala ya kua nyutro.
Kua nyutro kungekua na faida zaidi kwa Ukraine kuliko kua kambi ya NATO.
Mfano imekuja kufahamika baadae kua kumbe nchi za EU zilikua zikifanya biashara kubwa sana na Urusi,kitu ambacho hata Ukraine angeendelea kufaidika nacho.
Sasa Kwa vile amekua mjeuri atakosa vingi.
Amepoteza ardhi yenye utajiri.

Hatajiunga na NATO.

Amepoteza uwezo wa kua na viwanda vya silaha kubwa,hapa atakosa biashara ya silaha kubwakubwa,maana viwanda vingi vimeharibiwa.

Jeshi lake limepunguzwa makali.

N.k

Kama angekua nyutro angeendeelea kufaidi mashariki na Magharibi.
Tuelewane mkuu,

Bandiko langu halihalilishi uvamizi wa Ukraine na Urusi.

Linalenga kuonesha uhalisia (Reality) wa siasa za kimataifa hasahasa mzani wa nguvu.
 

UTANGULIZI:
Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo.

Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi na kumiliki silaha za maangamizi. Jambo ambalo ilikuja kufahamika baadaye kwamba halikuwa na ukweli wowote ule, zaidi ya maslahi na siasa za kibeberu.

Ili kufanya uvamizi ni lazima taifa lipewe ruhusa na UNSC chini ya Chapter VII ya UN Charter ambayo inazungumzia mambo kama Collective Defense. Hivyo ilitakiwa Marekani aombe kwamba idhini ya UN na kutoa sababu za msingi kwanini Iraq ivamiwe kijeshi, pamoja kutoa ushahidi, kama ilivyokuwa mwaka 1991.

Raisi wa Ukraine Leonid Kuchma, hali akifahamu fika haya ni makosa aliunga mkono Marekani kwa kupelekea wanajeshi zaidi ya 6000 ambao mchango wao mkubwa ulionekana na kusifiwa na vyombo vya habari vya Magharibi.

Kuna watu wanadai kwamba wanajeshi wa Ukraine ndiyo walikuwa wa kwanza kuingia kwenye baadhi ya makasri ya Saddam Hussein kuliko vikosi vya nchi nyingine, jambo ambalo linapingwa mpaka leo kwamba ni uzushi.

Leonid Kuchma alifanya haya kama njia ya kuifanya Ukraine taifa linalokubalika na nchi za Magharibi, jambo ambalo liliwakera mno watu wengi hasahasa raia wake ambao walikuwa wanafahamu fika kwamba Iraq ni moja kati ya nchi rafiki wa Ukraine hasa kwenye ununuzi wa silaha. Urafiki wao ulianza tokea enzi za USSR.

MUHIMU KUKUMBUKA:
Siasa za kimataifa zinaongozwa na Reciprocity na Balance of Power. Endapo jambo baya moja litafanywa na taifa moja kubwa bila kufanyika uwajibikaji wowote ule, basi fahamu fika taifa jingine kubwa litaiga mbinu hiyohiyo kufanya uvamizi kwa taifa jingine dogo.

Marekani, taifa lililokuwa na nguvu zaidi kuanzia mwaka 1991-2008, lisingeingia kwenye hii michezo ya kuvamia mataifa mengine madogo kama Serbia (1998), Afghanistan (2001), Iraq (2003), Libya (2011), na Syria (2011), huenda mataifa mengine kama Urusi na Uchina yasingethubutu kufikiria kuvamia majirani zao bila kuogopa uwajibikaji wowote ule.

NATO wamepoteza, Moral High Ground, a corner stone of Soft-Power Projection.
Leo hii Marekani hawezi kujaribu kukemea uvamizi wowote na dunia ikaheshimu.

JAMBO LA KUJIFUNZA:
Watu wanaweza kuwa wamesahau au hawafahamu, lakini kinachomkuta Ukraine leo hakina utofauti sana na walichokifanya nchini Iraq mwaka 2003. Dunia hailizungumzii hili kwa undani kwasababu waliouwawa ni waarabu na waislamu, na siyo wazungu wa Ulaya.

Mataifa machanga kama Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, DRC, Egypt na South Africa hayatakiwi kabisa kujihusisha na siasa za mataifa makubwa hasahasa linapokuja suala zima la uvunjifu wa sheria za kimataifa na haki za binadamu.

Ukraine wangekuwa ni taifa ambalo lina sifa nzuri, basi naamini mataifa mengi ya Asia wasingeegamia kwa Urusi hasahasa kwenye suala zima la vikwazo. Ukraine ni moja kati ya mataifa yanayoongoza kwa kuuza silaha hatari kwenye soko haramu (Black Market). Silaha za sumu, silaha za makombora ambazo zilifika Syria, Korea Kaskazini na Iraq zimetokea Ukraine hata kabla ya uvamizi.

Miaka nyuma kidogo, Tony Blair akiwa waziri mkuu wa Uingereza alijaribu kuwashawishi viongozi wa Afrika Kusini na Namibia waivamie kijeshi Zimbabwe na kumtoa Raisi Robert Mugabe, jambo ambalo walilikataa waziwazi bila kupepesa macho. Wangefanya yale waliioombwa na waingereza wangefanikiwa, lakini taswira za nchi zao zingeharibika mno.

Endapo jambo baya lingewakuta Namibia na Afrika Kusini, wasingepata kabisa huruma ya dunia, kama ambavyo Dikteta Mobuthu alikosa huruma baada ya kuvamiwa mwaka 1997, au Savimbi kuuawawa mwaka 2002.

Nchi ndogo zinatakuwa kuwa makini sana.

Ndio maana mama ameamua kujikalia kimya kwa chokochoko za Rwanda.Ijapokuwa Tanzania ikipenda Kagame anaondoka madarakani wiki moja tu.
 

UTANGULIZI:
Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo.

Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi na kumiliki silaha za maangamizi. Jambo ambalo ilikuja kufahamika baadaye kwamba halikuwa na ukweli wowote ule, zaidi ya maslahi na siasa za kibeberu.

Ili kufanya uvamizi ni lazima taifa lipewe ruhusa na UNSC chini ya Chapter VII ya UN Charter ambayo inazungumzia mambo kama Collective Defense. Hivyo ilitakiwa Marekani aombe kwamba idhini ya UN na kutoa sababu za msingi kwanini Iraq ivamiwe kijeshi, pamoja kutoa ushahidi, kama ilivyokuwa mwaka 1991.

Raisi wa Ukraine Leonid Kuchma, hali akifahamu fika haya ni makosa aliunga mkono Marekani kwa kupelekea wanajeshi zaidi ya 6000 ambao mchango wao mkubwa ulionekana na kusifiwa na vyombo vya habari vya Magharibi.

Kuna watu wanadai kwamba wanajeshi wa Ukraine ndiyo walikuwa wa kwanza kuingia kwenye baadhi ya makasri ya Saddam Hussein kuliko vikosi vya nchi nyingine, jambo ambalo linapingwa mpaka leo kwamba ni uzushi.

Leonid Kuchma alifanya haya kama njia ya kuifanya Ukraine taifa linalokubalika na nchi za Magharibi, jambo ambalo liliwakera mno watu wengi hasahasa raia wake ambao walikuwa wanafahamu fika kwamba Iraq ni moja kati ya nchi rafiki wa Ukraine hasa kwenye ununuzi wa silaha. Urafiki wao ulianza tokea enzi za USSR.

MUHIMU KUKUMBUKA:
Siasa za kimataifa zinaongozwa na Reciprocity na Balance of Power. Endapo jambo baya moja litafanywa na taifa moja kubwa bila kufanyika uwajibikaji wowote ule, basi fahamu fika taifa jingine kubwa litaiga mbinu hiyohiyo kufanya uvamizi kwa taifa jingine dogo.

Marekani, taifa lililokuwa na nguvu zaidi kuanzia mwaka 1991-2008, lisingeingia kwenye hii michezo ya kuvamia mataifa mengine madogo kama Serbia (1998), Afghanistan (2001), Iraq (2003), Libya (2011), na Syria (2011), huenda mataifa mengine kama Urusi na Uchina yasingethubutu kufikiria kuvamia majirani zao bila kuogopa uwajibikaji wowote ule.

NATO wamepoteza, Moral High Ground, a corner stone of Soft-Power Projection.
Leo hii Marekani hawezi kujaribu kukemea uvamizi wowote na dunia ikaheshimu.

JAMBO LA KUJIFUNZA:
Watu wanaweza kuwa wamesahau au hawafahamu, lakini kinachomkuta Ukraine leo hakina utofauti sana na walichokifanya nchini Iraq mwaka 2003. Dunia hailizungumzii hili kwa undani kwasababu waliouwawa ni waarabu na waislamu, na siyo wazungu wa Ulaya.

Mataifa machanga kama Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, DRC, Egypt na South Africa hayatakiwi kabisa kujihusisha na siasa za mataifa makubwa hasahasa linapokuja suala zima la uvunjifu wa sheria za kimataifa na haki za binadamu.

Ukraine wangekuwa ni taifa ambalo lina sifa nzuri, basi naamini mataifa mengi ya Asia wasingeegamia kwa Urusi hasahasa kwenye suala zima la vikwazo. Ukraine ni moja kati ya mataifa yanayoongoza kwa kuuza silaha hatari kwenye soko haramu (Black Market). Silaha za sumu, silaha za makombora ambazo zilifika Syria, Korea Kaskazini na Iraq zimetokea Ukraine hata kabla ya uvamizi.

Miaka nyuma kidogo, Tony Blair akiwa waziri mkuu wa Uingereza alijaribu kuwashawishi viongozi wa Afrika Kusini na Namibia waivamie kijeshi Zimbabwe na kumtoa Raisi Robert Mugabe, jambo ambalo walilikataa waziwazi bila kupepesa macho. Wangefanya yale waliioombwa na waingereza wangefanikiwa, lakini taswira za nchi zao zingeharibika mno.

Endapo jambo baya lingewakuta Namibia na Afrika Kusini, wasingepata kabisa huruma ya dunia, kama ambavyo Dikteta Mobuthu alikosa huruma baada ya kuvamiwa mwaka 1997, au Savimbi kuuawawa mwaka 2002.

Nchi ndogo zinatakuwa kuwa makini sana.

Kwa hiyo Putin anatekeleza 'karma' dhidi ya Ukraine?.

Anyway tusubiri 'karma' dhidi ya Urusi itakuwaje?
 

UTANGULIZI:
Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo.

Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi na kumiliki silaha za maangamizi. Jambo ambalo ilikuja kufahamika baadaye kwamba halikuwa na ukweli wowote ule, zaidi ya maslahi na siasa za kibeberu.

Ili kufanya uvamizi ni lazima taifa lipewe ruhusa na UNSC chini ya Chapter VII ya UN Charter ambayo inazungumzia mambo kama Collective Defense. Hivyo ilitakiwa Marekani aombe kwamba idhini ya UN na kutoa sababu za msingi kwanini Iraq ivamiwe kijeshi, pamoja kutoa ushahidi, kama ilivyokuwa mwaka 1991.

Raisi wa Ukraine Leonid Kuchma, hali akifahamu fika haya ni makosa aliunga mkono Marekani kwa kupelekea wanajeshi zaidi ya 6000 ambao mchango wao mkubwa ulionekana na kusifiwa na vyombo vya habari vya Magharibi.

Kuna watu wanadai kwamba wanajeshi wa Ukraine ndiyo walikuwa wa kwanza kuingia kwenye baadhi ya makasri ya Saddam Hussein kuliko vikosi vya nchi nyingine, jambo ambalo linapingwa mpaka leo kwamba ni uzushi.

Leonid Kuchma alifanya haya kama njia ya kuifanya Ukraine taifa linalokubalika na nchi za Magharibi, jambo ambalo liliwakera mno watu wengi hasahasa raia wake ambao walikuwa wanafahamu fika kwamba Iraq ni moja kati ya nchi rafiki wa Ukraine hasa kwenye ununuzi wa silaha. Urafiki wao ulianza tokea enzi za USSR.

MUHIMU KUKUMBUKA:
Siasa za kimataifa zinaongozwa na Reciprocity na Balance of Power. Endapo jambo baya moja litafanywa na taifa moja kubwa bila kufanyika uwajibikaji wowote ule, basi fahamu fika taifa jingine kubwa litaiga mbinu hiyohiyo kufanya uvamizi kwa taifa jingine dogo.

Marekani, taifa lililokuwa na nguvu zaidi kuanzia mwaka 1991-2008, lisingeingia kwenye hii michezo ya kuvamia mataifa mengine madogo kama Serbia (1998), Afghanistan (2001), Iraq (2003), Libya (2011), na Syria (2011), huenda mataifa mengine kama Urusi na Uchina yasingethubutu kufikiria kuvamia majirani zao bila kuogopa uwajibikaji wowote ule.

NATO wamepoteza, Moral High Ground, a corner stone of Soft-Power Projection.
Leo hii Marekani hawezi kujaribu kukemea uvamizi wowote na dunia ikaheshimu.

JAMBO LA KUJIFUNZA:
Watu wanaweza kuwa wamesahau au hawafahamu, lakini kinachomkuta Ukraine leo hakina utofauti sana na walichokifanya nchini Iraq mwaka 2003. Dunia hailizungumzii hili kwa undani kwasababu waliouwawa ni waarabu na waislamu, na siyo wazungu wa Ulaya.

Mataifa machanga kama Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, DRC, Egypt na South Africa hayatakiwi kabisa kujihusisha na siasa za mataifa makubwa hasahasa linapokuja suala zima la uvunjifu wa sheria za kimataifa na haki za binadamu.

Ukraine wangekuwa ni taifa ambalo lina sifa nzuri, basi naamini mataifa mengi ya Asia wasingeegamia kwa Urusi hasahasa kwenye suala zima la vikwazo. Ukraine ni moja kati ya mataifa yanayoongoza kwa kuuza silaha hatari kwenye soko haramu (Black Market). Silaha za sumu, silaha za makombora ambazo zilifika Syria, Korea Kaskazini na Iraq zimetokea Ukraine hata kabla ya uvamizi.

Miaka nyuma kidogo, Tony Blair akiwa waziri mkuu wa Uingereza alijaribu kuwashawishi viongozi wa Afrika Kusini na Namibia waivamie kijeshi Zimbabwe na kumtoa Raisi Robert Mugabe, jambo ambalo walilikataa waziwazi bila kupepesa macho. Wangefanya yale waliioombwa na waingereza wangefanikiwa, lakini taswira za nchi zao zingeharibika mno.

Endapo jambo baya lingewakuta Namibia na Afrika Kusini, wasingepata kabisa huruma ya dunia, kama ambavyo Dikteta Mobuthu alikosa huruma baada ya kuvamiwa mwaka 1997, au Savimbi kuuawawa mwaka 2002.

Nchi ndogo zinatakuwa kuwa makini sana.

Ni 2023 ana 2003?
Screenshot_20250303_143024_Edge.jpg
 
Back
Top Bottom