MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
- #41
Hujanielewa kabisa.
Kichwa cha habari cha mada yako kwa jinsi kilivyo (kwangu mimi) hakiakisi upeo mkubwa na uzito wa maelezo uliyoandika hapa. Kuna wakati nilidhani unaongea habari ya karma kama mwana-JF mwenzetu mmoja anavyopenda kufafanua (kwamba what goes around comes around). Yaani kuhusisha uvamizi wa Urusi huko Ukraine na ushiriki wa Ukraine katika uvamzi haramu wa Iraq. Usishangae nikikuambia sikuelewa kabisa the gist and object ya mada.
Hata comment yako ya mwisho uliyonijibu kuhusu sovereignty ya Ukraine, I admit, did'nt make any sense to me. I clicked the thanks just to appreciate the effort.
Ungeniambia tu mzee hapa hujaelewa kitu ningekukubalia moja kwa moja kwa sababu mambo ya "kukaza fuvu" hayako katika ulimwengu wangu.
After reading this long input, I now note you have a deeply treasured message you wish to articulate to the public. I again stand aside and continue my learning process.
Nisamehe Mkuu Drifter, Nimekusoma na Natengua Kauli.