Historia 2023: Ukraine ilishiriki kwenye uvamizi haramu wa Iraq na kufanya kile inachofanyiwa leo

Historia 2023: Ukraine ilishiriki kwenye uvamizi haramu wa Iraq na kufanya kile inachofanyiwa leo

"Kwasababu waliouawa ni waislamu na waarabu"
Hiyo statement imeharibu uzi mzima, hata mimi nilistuka baada kusoma statement hiyo. Tumfahamishe tu mwandishi, Iraq ya Saddam Hussein was better for Christians than Iraq ya "USA". Hadi kwenye baraza la mawaziri la Saddam, kulikua na Wakristo, mfano ni yule msemaji wake bwana Tareq Aziz, yeye na familia yake wote walikua Wakristo wa madhehebu ya Othodox. Kingine ieleweke, Iraq na Iran sio WAARABU by nature, Iraq ndio iliokua Babel ya miaka ilee, waarabu ni by product ya Ibrahim (Mu Iraq ) na mama/binti wa Kimisri
 
Hiyo statement imeharibu uzi mzima, hata mimi nilistuka baada kusoma statement hiyo. Tumfahamishe tu mwandishi, Iraq ya Saddam Hussein was better for Christians than Iraq ya "USA". Hadi kwenye baraza la mawaziri la Saddam, kulikua na Wakristo, mfano ni yule msemaji wake bwana Tareq Aziz, yeye na familia yake wote walikua Wakristo wa madhehebu ya Othodox. Kingine ieleweke, Iraq na Iran sio WAARABU by nature, Iraq ndio iliokua Babel ya miaka ilee, waarabu ni by product ya Ibrahim (Mu Iraq ) na mama/binti wa Kimsiry
You're lying.

This is a blatant lie, and aggressive mendacity.
 
This is an Idiosyncratic Supposition.

Tokea kuzaliwa kwa mataifa ya kisasa (Modern Nation State) mwaka 1648, siasa za kimataifa zinaongozwa na kanuni kama Sovereign Equality, Balance of Power, Reciprocity, Consensus, Consent and GoodFaith. This is a fact.

Jambo ambalo nashangaa hadi wewe limekupita juu ya kichwa ni kwamba umeshindwa kutofautisha kati ya Serikali a.k.a Government (An Administrative Machinery of a state) na Dola a.k.a State (An Independent Political Entity governing a group of people with common heritage).

Hebu angalia weupe wa hoja yako kitaalamu. Unaposema serikali ya Kuchma siyo serikali ya Zelensky, unasahau kwamba serikali za Kuchma na Zelensky zote zinaongoza taasisi kubwa ya kisiasa ambayo inaitwa Ukraine. Kwenye International Relations, International Law and Diplomacy, matukio yanayofanywa na serikali yakuwa Attributed to the state. Hili nadhani limeruka juu ya kichwa chako.

Nakupa mfano hai: Serikali ya Ujerumani imekuwa ikiwalipa fidia Wayahudi hadi miaka ya hivi karibuni kwa makosa yaliyofanywa na serikali ya Adolf Hitler. Kwanini iko hivi: The Concept of State Responsibility and Attribution.

Nakupa mfano mwingine hai: Serikali ya Magufuli aliacha matatizo makubwa hasahasa kesi kwenye mahakama za kimataifa ambazo serikali ya Samia inateseka nazo. Unadhani ni kwanini ?: Under International Law, the main subject is the state, not government, (Let this sink deep in your cranium).

AI is not a tool of international relation, politics or law.
Maybe this is beyond me. In which case, I'll just ride through.

Kwa hiyo the point (your point) ni kuwa Ukraine inalipizwa ilichofanya 2003? Hivyo, haistahili huruma? - they deserve it! Kwamba wanaowaonea huruma wanakosea?

Kwamba kusiwepo na any sympathy kwa Ukraine bali wote tuambatane na Putin na Urusi? Is that it?

DR Congo wanafanyiwa kipi sasa? Kwa kosa lipi? Nani wanaowaonea huruma? Wamepatia au wanakosea?

Let me admit, your mindset is totally incomprehensible to me. Yaani sioni kabisa lengo (objective) na mantiki ya hii mada.
 
Maybe this is beyond me. In which case, I'll just ride through.

Kwa hiyo the point (your point) ni kuwa Ukraine inalipizwa ilichofanya 2003? Hivyo, haistahili huruma? - they deserve it! Kwamba wanaowaonea huruma wanakosea?

Kwamba kusiwepo na any sympathy kwa Ukraine bali wote tuambatane na Putin na Urusi? Is that it?

DR Congo wanafanyiwa kipi sasa? Kwa kosa lipi? Nani wanaowaonea huruma? Wamepatia au wanakosea?

Let me admit, your mindset is totally incomprehensible to me. Yaani sioni kabisa lengo (objective) na mantiki ya hii mada.
Ukraine is a sovereign state.

A Sovereign state has a right to conduct its own affairs without interference.

Russia Invasion of Ukraine amounts to an International Crime of Aggression.

 
Ukraine is a sovereign state.

A Sovereign state has a right to conduct its own affairs without interference.

Russia Invasion of Ukraine amounts to an International Crime of Aggression.

Sir, I admit inability to comprehend this input. I still don't get the object. I'll just stay aside and learn from those in the know; perhaps then I may grasp somethin' of teachable value. Thank you.
 
Mataifa makubwa yenye nguvu katika nyanja zote muhimu ni ngumu sana kuzingatia sheria hasa pale linapo kuja jambo ambalo linagusa maslahi Yao.

Uzi bora kabisa.
Baada ya vita za Napoleon (Napoleonic Wars) kuisha mwaka 1815, Ulaya nzima ilikutanika kule Vienna kufanya mkutano ambao ungeweza kuzuia vita nyingine kubwa barani humo. Mataifa makubwa yakakubaliana kuanzisha kanuni iitwayo The European Balance of Power, iliohakikisha kwamba hakuna taifa moja kubwa litakaloweza kujaribu kuwa na nguvu kubwa ya kutawala wengine.

Ili kusimamia hili, wakatengeneza mfumo wa pamoja uitwao The Concert of Europe (The Congress System/The Vienna System a.k.a The Congress of Vienna) , ambao ungesimamia The European Balance of Power. Wakasaini mkataba wa Vienna a.k.a Vienna Convention 1815 kusimamia hili.

Ukisoma sasa, utafahamu kwamba The Concert of Europe ndiyo baba wa mifumo kama The League of Nations na United Nations, kwasababu ndicho kilikuwa chombo cha kwanza cha kimataifa kusimamia maslahi ya pamoja ya mataifa makubwa.

Matokeo yake ni kwamba, mataifa makubwa yenye nguvu wakati huo kama Prussia, Austria, France na Russia walikubaliana kukaa meza moja kwa mara ya kwanza na kutatua changamoto za kiusalama zinazowakumba wote. Huu mfumo haukukosa changamoto, mataifa makubwa kama Urusi, Prussia na Austria yaliutumia kuzuia maendeleo ya nchi nyingine ndogo ambazo zilionesha kutaka kufanya mapinduzi, mabadiliko ya kidemokrasia na hata kujipatia uhuru.

Wao waliamini kwamba kama taifa litafanya Democratic Reforms, badi halitachelewa kugeuka Ufaransa ya pili, ambayo baada ya kufanya mapinduzi ya mwaka 1789 walianza kuyasambaza hayo mapinduzi Ulaya kote na kupindua madola ya kifalme, jambo lililopelekea miaka kumi ya The Napoleonic Wars. Mwaka 1848, lilitokea wimbi kubwa la mapinduzi barani Ulaya, na The Concert of Europe ilitumiwa na baadhi ya mataifa kuhakikisha vitaifa vidogo havifanyi mapinduzi bila kutishiwa kijeshi au kutumia majasusi na kuuwawa.

The Balance of Power ilianza kuvurugwa pale ambao vinchi vidogo vya Italia chini ya Sardinia vilianza kuungana ili kutengeneza nchi kubwa, (The Italian Unification), huku Prussia nayo chini ya Birsmark ikiamua kuunganisha mataifa zaidi ya 300 (Germanic States) ili kutengeneza Ujerumani moja kubwa (The Unification of Germany). Italia ilizaliwa mwaka 1861, na Ujerumani mwaka 1871.

Italia na Ujerumani yalibadilisha mfumo mzima wa usalama barani Ulaya kwasababu, mataifa kama Austria, Great Britain, Russia na France walipata wapinzani wapya ambao walikuwa na lengo la kushindana nao. Ndiyo maana ikalipuka vita kubwa mwaka 1871 baina ya Ufaransa na Ujerumani (The Franco-Prussian War) wakingombania majimbo yenye madini ya chuma na makaa ya mawe, (Alsace and Lorraine).

Ushindani huu ulianza mwaka 1871 na kupelekea mataifa haya kushindana kidogo kidogo, hadi kwenye makoloni ya Asia na Afrika. Ukisoma utafahamu kwamba The Fashoda Incident, Moroccan Crisis, na Building of Suez Canal ilikuwa ni sehemu ya changamoto za kiusalama zilizoletwa na ushindani wa mataifa makubwa. Ujerumani na Italia yamezaliwa na kukuta wenzao tayari wana makoloni miaka zaidi ya 100. Hivyo yakaanza kupambana nao yasiachwe nyuma.

Kupitia The Concert of Europe, Bismark baada ya kuona vita zitakuwa kubwa akaamua kuitisha kikao nchini Ujerumani kule Berlin (The Berlin Convention 1884-1885) ili wakubaliane kugawana bara la Afrika na kuzuia vita na mashindano. Kila taifa likapeleka mikataba ambayo lilisaini la Local Rulers, jambo ambalo likapelekea hadi vitafa vidogo kama Belgima kupata koloni kubwa kama Congo. Yote hii ni The Concept of European Balance of Power.

Huu mfumo, The Concert of Europe, mbali na madhaifu yake ulifanikiwa kuzuia vita kubwa ambazo zingehusisha nchi zote za Ulaya kwa zaidi ya miaka 100, tokea 1814-1914, ambapo mfumo huu ulianguka baada ya Urusi na Ujerumani kuleteana vitimbwi. Ukisoma utafahamu vyanzo vya vita ya kwanza ya dunia ya mwaka 1914-1918, moja ya sababu kubwa ilikuwa ni Collapse of The European Balance of Power. Matatizo ya mwaka 1871 yalikuja kuonekana mwaka 1914.

Ufaransa alikaa na kinyongo cha kunyang'anywa majimbo yake na Ujerumani tokea mwaka 1871 na kuamua kulipiza kisasi mwaka 1914, miaka zaidi ya hamsini baadaye. Nchi huwa zinaongozwa na matukio kama haya, ndiyo maana huwa tunasema, Reciprocity na Good-Faith ni nguzo muhimu kwenye diplomasia na siasa za kimataifa. Mataifa makubwa hayawezi kufanya kitu halafu kusiwe na madhara, ndiyo maana huwa napata shida kuona watanganyika wanakaza mafuvu kupinga kwamba matatizo ya taifa kama Marekani hayajapelekea vita za Ukraine.

Marekani leo hii angekuwa na amani sana pale Middle-East kama wakina Allen Dulles na Eisenhower wasingeamua kumpindua Waziri Mkuu wa Iran, Mohammed Mossadegh mwaka 1953 na kuligeuza taifa kuwa la kidikteta chini ya Shah. Marekani kaleta matatizo mwaka 1953, Iran akaja kulipiza mwaka 1979, kwa kutaifisha mashirika ya Marekani, kuteka ubalozi na kuiba maelfu ya nyaraka za kijasusi ambazo zilisababisha mamia ya CIA kupoteza maisha kwasababu Ubalozi wa USA nchini Iran ndiyo ulikuwa makao makuu ya CIA barani Asia.

Mfano mwingine, Marekani aliweka makombora yake ya nyuklia (Thor and Jupiter Missiles) Uturuki, karibu kabisa na mpaka wa USSR. Nikita akishawishiwa na kina Ernesto Che Guevarra, ambao walitaka kuikomesha Marekani kwasababu alituma majasusi zaidi ya 2000 kuvamia Cuba (The Bay of Pigs Incident) kuipindua serikali ya Castro, akaamua kupeleka makombora ya kinyuklia nchini Cuba karibu kabisa na Marekani, dunia ikanusurika kuingia kwenye vita ya kinyuklia.

Bahati nzuri Kennedy alikuwa ni kiongozi mwenye hekima sana akaamua kulimaliza tatizo kidiplomasia na kuondoa makombora yake Uturuki. Mambo yakaisha, ila mpaka leo Marekani ana kinyongo kikali na Cuba, akifahamu kwamba ndiyo taifa pekee duniani, tena dogo ambalo liliweza kutishia usalama wake na kufanya dunia isimame. Walimsaka mno Che Guevarra hadi wakamuua na mpaka leo Cuba haijaondolewa vikwazo.

MUHIMU KUKUMBUKA TU:
Matukio mengi yaliyofanyika kipindi cha WW2 yalikuwa na mzizi wa WW1.

Matukio mengi yaliyofanyika kipindi cha WW1 yalikuwa na mzizi wa 1860-70.

Matukio mengi yanayofanyika leo hii mizizi yake ni miaka ya 1990's.

NB: Hivi unadhania baada ya vikwazo vya Urusi, Uchina anaweza kuvamia Taiwani kirahisi bila kuogopa madhara yoyote yale???

===================================================
Shida ni kwamba watu tunapenda kukaza mafuvu, hasahasa watz tukishaangalia filamu za Hollywood na kupata habari za MSM. Ila uzuri ni kwamba REALITY HITS EVERYONE, hadi Wamarekani wenyewe siku hizi wanaanza kutia akili na kugundua kumbe tulikuwa tunapigwa changa la macho, mataifa kama Uchina yako mbali mno kwenye baadhi ya maeneo kuliko Marekani.

===================================================
Baada ya Wamarekani kujiunga kwa wingi na The Red Note, baada ya kufungiwa kwa TikTok, wakagundua kwamba, Hiiiiiiiii dunia wanayoishi iko nyuma ya dunia ile wachina wanaishi. Haijapita muda, wakaleta DeepSeek, ndiyo watu wakalewa kwamba kumbe dunia iko hivi, mengine yote ni Propaganda za kijinga tu. Hakuna taifa litaleta Ubeberu kama Marekani anavyofanya halafu kusiwe na madhara.

 
Baada ya vita za Napoleon (Napoleonic Wars) kuisha mwaka 1815, Ulaya nzima ilikutanika kule Vienna kufanya mkutano ambao ungeweza kuzuia vita nyingine kubwa barani humo. Mataifa makubwa yakakubaliana kuanzisha kanuni iitwayo The European Balance of Power, iliohakikisha kwamba hakuna taifa moja kubwa litakaloweza kujaribu kuwa na nguvu kubwa ya kutawala wengine.

Ili kusimamia hili, wakatengeneza mfumo wa pamoja uitwao The Concert of Europe (The Congress System/The Vienna System a.k.a The Congress of Vienna) , ambao ungesimamia The European Balance of Power. Wakasaini mkataba wa Vienna a.k.a Vienna Convention 1815 kusimamia hili.

Ukisoma sasa, utafahamu kwamba The Concert of Europe ndiyo baba wa mifumo kama The League of Nations na United Nations, kwasababu ndicho kilikuwa chombo cha kwanza cha kimataifa kusimamia maslahi ya pamoja ya mataifa makubwa.

Matokeo yake ni kwamba, mataifa makubwa yenye nguvu wakati huo kama Prussia, Austria, France na Russia walikubaliana kukaa meza moja kwa mara ya kwanza na kutatua changamoto za kiusalama zinazowakumba wote. Huu mfumo haukukosa changamoto, mataifa makubwa kama Urusi, Prussia na Austria yaliutumia kuzuia maendeleo ya nchi nyingine ndogo ambazo zilionesha kutaka kufanya mapinduzi, mabadiliko ya kidemokrasia na hata kujipatia uhuru.

Wao waliamini kwamba kama taifa litafanya Democratic Reforms, badi halitachelewa kugeuka Ufaransa ya pili, ambayo baada ya kufanya mapinduzi ya mwaka 1789 walianza kuyasambaza hayo mapinduzi Ulaya kote na kupindua madola ya kifalme, jambo lililopelekea miaka kumi ya The Napoleonic Wars. Mwaka 1848, lilitokea wimbi kubwa la mapinduzi barani Ulaya, na The Concert of Europe ilitumiwa na baadhi ya mataifa kuhakikisha vitaifa vidogo havifanyi mapinduzi bila kutishiwa kijeshi au kutumia majasusi na kuuwawa.

The Balance of Power ilianza kuvurugwa pale ambao vinchi vidogo vya Italia chini ya Sardinia vilianza kuungana ili kutengeneza nchi kubwa, (The Italian Unification), huku Prussia nayo chini ya Birsmark ikiamua kuunganisha mataifa zaidi ya 300 (Germanic States) ili kutengeneza Ujerumani moja kubwa (The Unification of Germany). Italia ilizaliwa mwaka 1861, na Ujerumani mwaka 1871.

Italia na Ujerumani yalibadilisha mfumo mzima wa usalama barani Ulaya kwasababu, mataifa kama Austria, Great Britain, Russia na France walipata wapinzani wapya ambao walikuwa na lengo la kushindana nao. Ndiyo maana ikalipuka vita kubwa mwaka 1871 baina ya Ufaransa na Ujerumani (The Franco-Prussian War) wakingombania majimbo yenye madini ya chuma na makaa ya mawe, (Alsace and Lorraine).

Ushindani huu ulianza mwaka 1871 na kupelekea mataifa haya kushindana kidogo kidogo, hadi kwenye makoloni ya Asia na Afrika. Ukisoma utafahamu kwamba The Fashoda Incident, Moroccan Crisis, na Building of Suez Canal ilikuwa ni sehemu ya changamoto za kiusalama zilizoletwa na ushindani wa mataifa makubwa. Ujerumani na Italia yamezaliwa na kukuta wenzao tayari wana makoloni miaka zaidi ya 100. Hivyo yakaanza kupambana nao yasiachwe nyuma.

Kupitia The Concert of Europe, Bismark baada ya kuona vita zitakuwa kubwa akaamua kuitisha kikao nchini Ujerumani kule Berlin (The Berlin Convention 1884-1885) ili wakubaliane kugawana bara la Afrika na kuzuia vita na mashindano. Kila taifa likapeleka mikataba ambayo lilisaini la Local Rulers, jambo ambalo likapelekea hadi vitafa vidogo kama Belgima kupata koloni kubwa kama Congo. Yote hii ni The Concept of European Balance of Power.

Huu mfumo, The Concert of Europe, mbali na madhaifu yake ulifanikiwa kuzuia vita kubwa ambazo zingehusisha nchi zote za Ulaya kwa zaidi ya miaka 100, tokea 1814-1914, ambapo mfumo huu ulianguka baada ya Urusi na Ujerumani kuleteana vitimbwi. Ukisoma utafahamu vyanzo vya vita ya kwanza ya dunia ya mwaka 1914-1918, moja ya sababu kubwa ilikuwa ni Collapse of The European Balance of Power. Matatizo ya mwaka 1871 yalikuja kuonekana mwaka 1914.

Ufaransa alikaa na kinyongo cha kunyang'anywa majimbo yake na Ujerumani tokea mwaka 1871 na kuamua kulipiza kisasi mwaka 1914, miaka zaidi ya hamsini baadaye. Nchi huwa zinaongozwa na matukio kama haya, ndiyo maana huwa tunasema, Reciprocity na Good-Faith ni nguzo muhimu kwenye diplomasia na siasa za kimataifa. Mataifa makubwa hayawezi kufanya kitu halafu kusiwe na madhara,
ndiyo maana huwa napata shida kuona watanganyika kama ndugu Drifter anakaza fuvu kupinga kwamba matatizo ya taifa kama Marekani hayajapelekea vita za Ukraine.

Marekani leo hii angekuwa na amani sana pale Middle-East kama wakina Allen Dulles na Eisenhower wasingeamua kumpindua Waziri Mkuu wa Iran, Mohammed Mossadegh mwaka 1953 na kuligeuza taifa kuwa la kidikteta chini ya Shah. Marekani kaleta matatizo mwaka 1953, Iran akaja kulipiza mwaka 1979, kwa kutaifisha mashirika ya Marekani, kuteka ubalozi na kuiba maelfu ya nyaraka za kijasusi ambazo zilisababisha mamia ya CIA kupoteza maisha kwasababu Ubalozi wa USA nchini Iran ndiyo ulikuwa makao makuu ya CIA barani Asia.

Mfano mwingine, Marekani aliweka makombora yake ya nyuklia (Thor and Jupiter Missiles) Uturuki, karibu kabisa na mpaka wa USSR. Nikita akishawishiwa na kina Ernesto Che Guevarra, ambao walitaka kuikomesha Marekani kwasababu alituma majasusi zaidi ya 2000 kuvamia Cuba (The Bay of Pigs Incident) kuipindua serikali ya Castro, akaamua kupeleka makombora ya kinyuklia nchini Cuba karibu kabisa na Marekani, dunia ikanusurika kuingia kwenye vita ya kinyuklia.

Bahati nzuri Kennedy alikuwa ni kiongozi mwenye hekima sana akaamua kulimaliza tatizo kidiplomasia na kuondoa makombora yake Uturuki. Mambo yakaisha, ila mpaka leo Marekani ana kinyongo kikali na Cuba, akifahamu kwamba ndiyo taifa pekee duniani, tena dogo ambalo liliweza kutishia usalama wake na kufanya dunia isimame. Walimsaka mno Che Guevarra hadi wakamuua na mpaka leo Cuba haijaondolewa vikwazo.

MUHIMU KUKUMBUKA TU:
Matukio mengi yaliyofanyika kipindi cha WW2 yalikuwa na mzizi wa WW1.

Matukio mengi yaliyofanyika kipindi cha WW1 yalikuwa na mzizi wa 1860-70.

Matukio mengi yanayofanyika leo hii mizizi yake ni miaka ya 1990's.

NB: Hivi unadhania baada ya vikwazo vya Urusi, Uchina anaweza kuvamia Taiwani kirahisi bila kuogopa madhara yoyote yale???

===================================================
Shida ni kwamba watu tunapenda kukaza mafuvu, hasahasa watz tukishaangalia filamu za Hollywood na kupata habari za MSM. Ila uzuri ni kwamba REALITY HITS EVERYONE, hadi Wamarekani wenyewe siku hizi wanaanza kutia akili na kugundua kumbe tulikuwa tunapigwa changa la macho, mataifa kama Uchina yako mbali mno kwenye baadhi ya maeneo kuliko Marekani.

===================================================
Baada ya Wamarekani kujiunga kwa wingi na The Red Note, baada ya kufungiwa kwa TikTok, wakagundua kwamba, Hiiiiiiiii dunia wanayoishi iko nyuma ya dunia ile wachina wanaishi. Haijapita muda, wakaleta DeepSeek, ndiyo watu wakalewa kwamba kumbe dunia iko hivi, mengine yote ni Propaganda za kijinga tu. Hakuna taifa litaleta Ubeberu kama Marekani anavyofanya halafu kusiwe na madhara.

Hujanielewa kabisa.

Kichwa cha habari cha mada yako kwa jinsi kilivyo (kwangu mimi) hakiakisi upeo mkubwa na uzito wa maelezo uliyoandika hapa. Kuna wakati nilidhani unaongea habari ya karma kama mwana-JF mwenzetu mmoja anavyopenda kufafanua (kwamba what goes around comes around). Yaani kuhusisha uvamizi wa Urusi huko Ukraine na ushiriki wa Ukraine katika uvamzi haramu wa Iraq. Usishangae nikikuambia sikuelewa kabisa the gist and object ya mada.

Hata comment yako ya mwisho uliyonijibu kuhusu sovereignty ya Ukraine, I admit, did'nt make any sense to me. I clicked the thanks just to appreciate the effort.

Ungeniambia tu mzee hapa hujaelewa kitu ningekukubalia moja kwa moja kwa sababu mambo ya "kukaza fuvu" hayako katika ulimwengu wangu.

After reading this long input, I now note you have a deeply treasured message you wish to articulate to the public. I again stand aside and continue my learning process.
 
Hakuna taifa litaleta Ubeberu kama Marekani anavyofanya halafu kusiwe na madhara.
Huwa nawaambia watu kuwa haya mataifa makubwa huangalia zaidi faida (maslahi) yao kwanza. Vita zote kubwa ugomvi mkubwa ni rasilimali hasa nishati!

Ukiangalia kiini kikubwa cha huu mgogoro wa Ukraine ni ugunduzi mkubwa wa rasilimali! Haya mataifa makubwa yanakupa picha mbili, moja ya ndani (ukweli) na nyingine ya nje (uongo).

Kinachoonekana mabwana wakubwa wawili Urusi na Marekani baada ya kushindana kwa muda,wakaamua watafute suluhu wenyewe wawili!

Yaani wagawane rasilimali za Ukraine wenyewe tu! Urusi yale maeneo anayoyashikilia yana hizo rasilimali, wakakubaliana kuwa Ukraine akubali hayo maeneo ayaachie milele!

Maeneo mengine achukue Marekani ili kufidia hasara! Wakubwa wa Ulaya magharibi wakaona wamepigwa chenga!

Wakaenda kwa Mmarekani nako wakakuta mambo magumu!Wakaamua wavuruge dili kwa kumtumia rais wa Ukraine!Wamefanikiwa lakini kwa muda! Nahisi wote watapata wanachokitaka hapo Ukraine!
 
Huwa nawaambia watu kuwa haya mataifa makubwa huangalia zaidi faida (maslahi) yao kwanza. Vita zote kubwa ugomvi mkubwa ni rasilimali hasa nishati!

Ukiangalia kiini kikubwa cha huu mgogoro wa Ukraine ni ugunduzi mkubwa wa rasilimali! Haya mataifa makubwa yanakupa picha mbili, moja ya ndani (ukweli) na nyingine ya nje (uongo).

Kinachoonekana mabwana wakubwa wawili Urusi na Marekani baada ya kushindana kwa muda,wakaamua watafute suluhu wenyewe wawili!

Yaani wagawane rasilimali za Ukraine wenyewe tu! Urusi yale maeneo anayoyashikilia yana hizo rasilimali, wakakubaliana kuwa Ukraine akubali hayo maeneo ayaachie milele!

Maeneo mengine achukue Marekani ili kufidia hasara! Wakubwa wa Ulaya magharibi wakaona wamepigwa chenga!

Wakaenda kwa Mmarekani nako wakakuta mambo magumu!Wakaamua wavuruge dili kwa kumtumia rais wa Ukraine!Wamefanikiwa lakini kwa muda! Nahisi wote watapata wanachokitaka hapo Ukraine!
Leo asubuhi taarifa zimevuja kwamba kumbe, mwezi January kabla Trump hajaingia ofisini, Zelensky amesaini mkataba wa siri wa madini na Uingereza wa miaka 100. Hii ni kwamba Uingereza ataiunga mkono Ukraine na kuipa fedha za maendeleo kwa miaka 100. Wamarekani wamepata taarifa na Donald Trump kang'aka kwelikweli.

Sasa aidha Trump kaamua kwenda moja kwa moja kwa Urusi ili kuwakomesha Ulaya waliomzunguka, sifahamu. Ila ni kwamba kama hizi taarifa ni kweli, basi Uingereza na EU wamejiingiza kubaya mno, maana kama Marekani ataacha kuunga mkono Ukraine, ni suala la muda tu serikali ya Kiev inaanguka na mashirika ya Marekani yanapewa dili na Urusi kuanzia Ukraine hadi Urusi.

Hii ndiyo Great Power Politics aliyoiandika Prof John Mearsheimer.
 
Nadhani Slav wameushutukia mchezo, ndiyo maana Hawajaunga Mkono azimio la UK prime minister!!!
The Color Revolutions ilikuwa ni uhuni waliouziwa mataifa ya Kislav baada ya 1991. Kuja kugundua ni kwamba wanahama kwa bwana mmoja USSR kwenda kwa bwana Mwingine EU/G8/NATO. Tena baada ya Ukraine sidhani kama kuna taifa la kislav litadiriki kufanya ujinga kama huu.

Ni sawa na leo nawaangalia, mataifa la Latin America kuthubutu kuruhusu uwepo wa mataifa kama Uchina na Urusi ndani ya mipaka yao ni kujitafutia tu matatizo yasiyo na msingi. Marekani akiwavurumusha na kuanza kuwachinja wasilalamike.

Wisdom is understanding, that once you stay near a Baboon be very careful and avoid chest thumping otherwise, you'll clobbered to death. Taiwan and Australia need to also understand this, that despite all the security assurances, if they over-stretch themselves against China, they'll suffer consequences.

Mzee Nyerere aliwahi kusema hivi "Vitaifa vidogo visipende kutunishia misuli wakubwa wa dunia" akiwa anafahamu fika kwamba kuna ujinga ukiufanya lazima utajuta.
 
Sasa aidha Trump kaamua kwenda moja kwa moja kwa Urusi ili kuwakomesha Ulaya waliomzunguka

White House seeks plan for possible Russia sanctions relief, sources say​


The United States is drawing up a plan to potentially give Russia sanctions relief as President Donald Trump seeks to restore ties with Moscow and stop the war in Ukraine, a U.S. official and another person familiar with the matter told Reuters.

March 4, 202512:38 AM GMT+3


4 Mar, 2025 00:06


Mambo yanaenda kasi sana! Kuna jambo zito linaendelea nyuma ya pazia!Ni mtazamo tu!
 
Back
Top Bottom