Historia fupi ya Kilwa katika maandishi

Historia fupi ya Kilwa katika maandishi

Kilwa nimekaa apo
1. Ushirikina mfano kmpny y busi mpk apo ni moja tu Mashallah jaribu kufany wewe uone moto

2. Dini nlienda kilwa visiwan watoto wako madrasa mda wa masomo shule walimu wapo 2 tu wanepumzik wanafunzi ata 50 hawafiki (nlienda katik mradi siku 7)

3.umwinyi bado upo watu hawafanyi kazi zaidi ya kukaa vijiweni.

4.wazawa ni wengi kuliko wahamiaji ivyo hawana uelewa wa mambo mengi nje ya mji wao

5.uwekezaji hafifu pale kilwa miaka yote kuna hotel moja mbovu sana inaitwa nangurukuru watu wanaogopa kuwekeza, uwekezaji katika nyanja nyingine ni mdogo kulingana na mzunguko wa pesa.

6. Kusini swala la elimu sahau wengi wanasoma waendeshe boda boda , wanawake waolewe basi elimu kwao ni tatizo kubwa vizazi na vizazi havipendi maswala ya elimu kabisa wao wanapenda mambo ya kilimo, vijiwe na ulozi basi

Ntarudi baadae
 
Babluu

Vipi hakusomewa albadil au itikafu au kisomo!

Maana huyu Vasco da Gama aliwahi kuteka meli ya mahujaj kule India wakitoka kuhij maka akawaua wote
 
Bagamoyo, ujiji, Zanzibar, kondoa kote huko walipita waarabu Hakuna Maendeleo
Hahahahaaaaaaa... mbona umeiruka Dar-es-Salaaaaaaaaam ..jiji la majiji.. a very well blessed city... jina la DarEsSalaam linatosha kufunika mazandiqi, Mafatani,Mafisadi,Maqatili wote..
Home/House/Heavan of peace....

BTW... maendeleo kwako ni majumba au barabara.. Mbona huoni Civilisation na Ustaarabu Uungwana wa wakazi ??????
 
Babluu

Vipi hakusomewa albadil au itikafu au kisomo!

Maana huyu Vasco da Gama aliwahi kuteka meli ya mahujaj kule India wakitoka kuhij maka akawaua wote
Kwa ukatili huo... ndiyo maana Laana ilmkuta yeye na nchi yao Portugal ndiyo Masikini wa kufugwa!! Japo wao walivumbua mabara mengi... ila hopeless nation kw sbb ya uharamia wa baharini....na wizi wa rasilimali za watu..
 
Lakini si tunaambiwa waarabu walikuja afrika mashariki kumuondoa mreno kabla ya hapo hawakuepo.

Waarabu wa biashara walikuwepo karne nyingi na walikuwa wanakuja na kuondoka kwa kufuata Monsoon winds.

Waarabu unaozungumzia wewe ni Albusaidy dynasty ya Oman.
 
Nu ukumbusho mkubwa na wenye maarifa ndaniake.
Tujivunie na kile tulishopewa....
 
Back
Top Bottom