GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Lissu anaweza kuwa na mapungufu yake kwa sababu ni binadamu. Lakini kwa jinsi alivyoipigania Tanganyika tokea akiwa bungeni hata sasa akiwa nje ya Bunge, Historia haitamsahau.
Watanganyika wa leo wasipomwelewa, wazalendo wa kesho watakuja kumjengea sanamu la heshima kumuenzi.
Kajipatia heshima Zanzibar na Tanganyika kwa kuusimamia ukweli kuhusu Muungano.
Mungu ambariki Tundu A. Lissu.
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Watanganyika wa leo wasipomwelewa, wazalendo wa kesho watakuja kumjengea sanamu la heshima kumuenzi.
Kajipatia heshima Zanzibar na Tanganyika kwa kuusimamia ukweli kuhusu Muungano.
Mungu ambariki Tundu A. Lissu.
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?