Historia imejirudia! 20% walitaka vyama vingi na 80% walitaka chama kimoja

Hii thread ni ya wale wenye akili kubwa. Wewe tafuta threads za udaku. Hapa hutaona ndani.
Huyo muandishi wako mwenyewe ana IQ ndogo.. Maana hata uandishi wake ni mbovu kuwah kutokea hapa JF
 
Mtoa mada umeelezea vitu vingi japokuwa ni kwa code lakin uzi wako umenifanya nifikirie sana ulichoandika ila nakuomba siku ukipata muda uje kuelezea jambo mojamoja ili tupate kuelewa .
 
Niliwahi piga stori na jini akanigusia hiki unachokisema hapa nchi ya ahadi waliyohaidiwa israeli ni Tanzania nini huyo sio mimi
 
Korona haipo au sababu tumeacha kupima?
 
Wapumbavu wanazidi kuongezeka hii nchi
 
Nyerere alielewa wale 80% waliokataa mfumo Wa vyama vingi walikuwa hawajui wafanyalo. Akakubaliana Na 20% waliokubali mfumo Wa vyama Vinci. Nafikiri inaeleweka, rejea uchaguzi Wa mwaka huu!
 
Umezaja taka taka Mbona tunaambiwa hii ni nchi yenye watu waso na furaha duniani, na nchi maslini Sana funiani
 
Labda kama uko kwa mabeberu ndiyo unaweza sema hivyo! Lakini sisi tulioshiriki kwenye uchaguzi huu tunaona ulienda safi mno ukilinganisha na ule wa 2015.
Uchagu ambao mpaka leo tume bado inajumlisha Kura kupata matokea halisi Wakati raisi ameshatangazwa

Kabla ya Tarehe 27 p tulishajua matokea ya nec TISs police
 
Umezaja taka taka Mbona tunaambiwa hii ni nchi yenye watu waso na furaha duniani, na nchi maslini Sana funiani
Wanawapima nyinyi ambao hamna furaha kwenye mitandao lakini mitaani watu wanapata wanachopenda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…