Historia : Mfahamu Ernesto Che Guevara

I will be like Ernest Che,,God Help me,,sipendi,kuona jinsi tunavyonywa na kuzid,kutawaliwa,,wazungu washenzi sana
 
Very poor Guy.Alikufa km terrorist wengine akisema maneno ya shujaa.Alipigana kumkomboa nani tena?Tz ya ccm?Cuba ya castro, zimbabwe ya mugabe, bolivia na colombia ya wauza unga? palestina ya wafilisti ambao siku hizi wanaitwa waarabu ,ingawa waarabu wanawaita wafilist hadi leo. Watu wamejilisha sana ujinga duniani.Na kupiga wrong wars.
 
usiwe mbishi kijana, che alikuja congo na mtu,aliyeshirikiana naye ni kabira,kabira hakuanza harakati hizi juzi ni wa zamani tangu kifo cha patrice Lumumba 1960.
 
Watanzania ni lazima tuachane na kuiga historia za mnyonyaji bepari bali tuchukue historia za watu kama guevara tuziapply vema dhid ya bepari wa ndani na nje ya nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…