RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
duuu waswahili jamani wana roho mbaya wengine walikuwa wanasema anaenda kuuza suraMimi ni mpongeze tu, kwa kuyashinda majungu ya nchi ya waswahili na kufika huko aliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuu waswahili jamani wana roho mbaya wengine walikuwa wanasema anaenda kuuza suraMimi ni mpongeze tu, kwa kuyashinda majungu ya nchi ya waswahili na kufika huko aliko.
GENK-BELGIUM,,, alhamis wana mechi ya europa legue utamuonaAnachezea tim gani vile?
Sema wanapenda waliofanikiwa tu. Mimi wa kiumeni nilikuwa nafanya jokes tu na mrembo mcheshi Miss Chagga.haaaa mnapenda waliofanikiwa tu
Ndala bhana..., mwisho bafuni!wewe una matatizo.
Ana matatizo vp.. Au kaongea uwongo.wewe una matatizo.
Tanzania ya viwandaBig up kijana wa Msimbazi.. Siku zote tutajivunia wewe.
Safi sana ingwa wengine hawatapenda mafanikio yakeBig up kijana wa Msimbazi.. Siku zote tutajivunia wewe.
Mkuu mbona una mawazo kama Bashite!!! Hapo kipi kilichokufanya uje kutoa ushauri ambao hata Samata hapo alipofikia hajawahi kupewa.na
we fanya mambo uliletee sifa taifa lako acha siasa
timu wanazocheza hazifahamiki sanaVip faridi musa na ulimwengu siwasikii.......!
kichuya akishaifunga yanga anajiona amemalizaSafi sana kwa kuwafungulia njia vizuri vijana wetu, sasa waige mfano mzuri kutoka kwake sio kulewa sifa za SIMBA na yanga
mawazo tegemezi hayo ok endelea kumuwaza bashiteMkuu mbona una mawazo kama Bashite!!! Hapo kipi kilichokufanya uje kutoa ushauri ambao hata Samata hapo alipofikia hajawahi kupewa.
Naamini kwanza katika kuangalia maisha yangu binafsi halafu taifa baadae kwani Taifa mimi limenipa sifa gani mpaka sasa hivi ili kunishawishi na mimi nirudishe hisani?